Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

wameshanikera sana!! mara waraka huu!! mara huu!!njia ya mwongo ni fupi!! tutaufahamu tu ukweli!!

Inavyoelekea, wanasubiri waraka kutoka Tengeru kwa mwenye mali!
 
Mtasubiri sana kuona hayo yakitokea. Huyo mbona tushamfukuza na chama hakija yumba. Mpeni nafasi ya uenyekiti ccm.
Akiingia ccm watamtumia 2015 kwenye uchaguzi kama chambo na alivyo hajitambui yeye ninani, ndo bas tena keshakuwa mateka kaungana na mazuzu wenzie CCM
 
mnaangaika sanaaaa kama kuku anatakutaga, waraka upo halali makao makuu ya cahana na zito/kitila ndio wanaujua kama fake aua orginal... Fanya kazi famila yako ukitumie acha ushabiki, sasa foleni ni tabu, umeme umepandishwa, maji hakuna waraka unakusaidia nini
 
Tuhuma (zenye ushahidi beyond reasonble doubts) dhidi ya Zitto ni nyingi. Ana makosa mengi ila hata kwa hayo machache bado hawezi pona. Amini usiamini lakini kama wakiyaanika yote si Zitto wala wapambe wake watathubutu kuonesha nyuso zao popote walipo waungwana.

CHADEMA haimini katika character assassinations na ndio maana wamekuwa wavumilivu na ku-exercise massive constraints ktk hili na mengine mengi tu.

Zitto na washirika wake wanapanga kuendesha kampeni chafu za propaganda kwa staili ile ile ya PM-7 aka Masalia. So tutaona mengi na kusikia mengi ktk hizi sarakasi lakini vumbi likitulia he will be down and out!

Si keshasema,atakuwa wa mwisho kutoka,baada ya babu kutoka Tengeru
 
nimesikia lisu akisema huu waraka tunaousoma hapa jf ni feki.nimeamini hawa jamaa ni makanjanja

Wanataka waandike waraka mwingine ndipo waturetee.
Mnaogopa nini, Kitila na Zitto si wapo? So far all your defensive arguments are null and void.
 
ungekuwa fake tunajua vijana wao wakina Mwita Maranya, Ben Saanane Yericko Nyerere, Henry Kilewo, Mungi wange shatoboa siri maana huwa hawawezi kunyamaza.

Katika hili wanazidi kujitia aibu na ni wazi wamesha tengeneza wa kwao.

Na kwanini hiwe siri?

Tundulisu anatumika sana na saccos.
 
Last edited by a moderator:
Tulia we mama! Kiongozi gani wa makao makuu aliuleta hapa?. Hatumtaki zitto,mchukueni magambani huko.

Sawa, hamumtaki, lakini msimbambikizie kesi kama mnaamini ktk demokrasia ya kweli.
 
Tuhuma (zenye ushahidi beyond reasonble doubts) dhidi ya Zitto ni nyingi. Ana makosa mengi ila hata kwa hayo machache bado hawezi pona. Amini usiamini lakini kama wakiyaanika yote si Zitto wala wapambe wake watathubutu kuonesha nyuso zao popote walipo waungwana.

CHADEMA haimini katika character assassinations na ndio maana wamekuwa wavumilivu na ku-exercise massive constraints ktk hili na mengine mengi tu.

Zitto na washirika wake wanapanga kuendesha kampeni chafu za propaganda kwa staili ile ile ya PM-7 aka Masalia. So tutaona mengi na kusikia mengi ktk hizi sarakasi lakini vumbi likitulia he will be down and out!

Well said Mkuu!!
 
Hii ni kama mwanamke anaetaka kuachwa na mwanaume halafu bado anampenda, basi vituko na uongo kila kukicha! sixgate
 
Last edited by a moderator:
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

mbona mnaanza kujihami,kwani aliyosema juzi alipangiwa na chadema,mwache aseme na kibuti cha mbavu atakula tu
 
Mnaogopa nini, Kitila na Zitto si wapo? So far all your defensive arguments are null and void.

Hakuna anae ogopa hapa.kama kuwa fukuza wafukuzeni tu cdm niyakwenu.tunachokataa nikutufanya sisi ni ubabaishaji wenu cdm
 
Huyu nae aibu iko wapi kwanza ulimuelewa vizuri tundu lisu, au tufanye summary, shida yako uko ignorant, nikupe ushauri rudi shule ukapate special course kunoa ubongo wako kuna virus,,, au tukutafutie antivurus
 
yani watu na korodani zao wamejadili waraka feki hadi zimefika post 500+! sasa mliowahukumu kina zitto subirini huo orijino ndo muanze kumuhukumu tena. tukisema chama kinaendeshwa kikameroon mnasema mimi gamba!! yaani lema na kilewo ndo think tank??
 
Hata kale ka dogo ka Ubungo, kanacheza midundo ya Mbowe bila kujua madhara ya baadae! Ngoja kapigwe chini ubungo tukakute mitaani, kataomba mpaka buku!

Yaani kwa mawazo ya kibw....ge ndo unategemea familia yako itaenda choo.....yani we ni sawa na fisi subiri mkono wa binadam udondoke. Inaonesha ulizaliwa bahati mbaya na unaishi kwa makusudi.
Go to hell. Mnyika our great leader
 
Zito hana lolote, yupo chadema kwa maslahi yake binafsi. Jamaa wamemshtukia japo kwa kuchelewa sana. Zito avuliwe uanachama haraka ni msaliti.
 
Last edited by a moderator:
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

Hembu na hayo aliyonayo ayaseme tuone.
 
Back
Top Bottom