Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.
Ndivyo unavyojifajiri?

Wakubwa zako,akina Wassira na Nape,nao ndiyo zilikuwa njozi zao,mara Chadema haiwezi kumaliza mwaka huu kabla hatujaizika.

Kumbe walikuwa wakijiamini hivyo,wakijua kwamba ndani ya CDM,wana watu wao,watakaowafanyia kazi ya "kuinyonga" Chadema.

Kwa bahati nzuri kwa CDM,na bahati mbaya sana kwa magamba,walisahau ule msemo unaosema Mungu si Athumani,ile mipango yao hao akina MM, M2,na M3 sasa imebumbuluka!

Na kinachoshangaza sana ni kuwa wanaomlilia Zitto,wengi wao ni wanaCCM kuliko wanaCDM!!

Ushahidi ni comments zilizotolewa mtandaoni na Ridhiwani na Mwigulu Nchemba!!

Huo ni uthibitisho mwingine kuwa,kiwiliwili cha ZZK kilikuwa CDM lakini moyo wake wote ulikuwa kwa magamba!!
 
Nyie mtaendelea Kukata Mauno kwa Mpini unaomwingia Sabina, Wasaliti wote tutafukuza na hamtatuambia chochote

Pole pole we Msukule! Punguza matusi, je, uchaguzi lini?
 
Sitaki kuamini kama sasa hii issue inaelekea kuwa mipasho..!!! Na kwanini watuwekee waraka feki inamaana ma-great thinkers wote tuliomo humu ni feki na hatupaswi kula vitu original..???? hahahahaaa im just saying najua huo atakaouleta ndo utakua FEKERO..!!!! Wanaona watanzania wenye akili tumeusoma and tumeona mantiki yake sasa wanaleta propaganda ili wakauchakachue...!!! Shame on you lisu unaanza na wewe kujipaka m.a.v sasa ile credibility yote tuliyokupa na imani tuliyokua nayo kwako is goin to negative caz is about to cross ZERO..!!!
 
nimeusoma umejaa!! udaku wa Kubenea!! poor chadema
Anawapoteza sana ni mwandishi mganga njaa kwa vile cdm wanapenda uongo basi kubenea kawapata kweli acha waendelee kumpa hela za bure kwa kuwapa tarifa za uongo.
 
Kama umeshindwa kuelewa jaribu ujinga.CDM mbele nyuma mwiko yeye Zito asepe tu.
 
Zitto na Kitilla ni lazima wafukuzwe Chadema hilo lipo wazi, sisi tunasubiri kwa hamu tutengeneze fitna.
 
Ndivyo unavyojifajiri?

Wakubwa zako,akina Wassira na Nape,nao ndiyo zilikuwa njozi zao,mara Chadema haiwezi kumaliza mwaka huu kabla hatujaizika.

Kumbe walikuwa wakijiamini hivyo,wakijua kwamba ndani ya CDM,wana watu wao,watakaowafanyia kazi ya "kuinyonga" Chadema.

Kwa bahati nzuri kwa CDM,na bahati mbaya sana kwa magamba,walisahau ule msemo unaosema Mungu si Athumani,ile mipango yao hao akina MM, M2,na M3 sasa imebumbuluka!

Na kinachoshangaza sana ni kuwa wanaomlilia Zitto,wengi wao ni wanaCCM kuliko wanaCDM!!

Ushahidi ni comments zilizotolewa mtandaoni na Ridhiwani na Mwigulu Nchemba!!

Huo ni uthibitisho mwingine kuwa,kiwiliwili cha ZZK kilikuwa CDM lakini moyo wake wote ulikuwa kwa magamba!!

Mfukuzeni haraka basi! Mnangojea nini? C'mon!
 
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

ID ya Trade name ya Condom, kama haujui unatumika hivyo halafu wakiisha kutumia hawarudii tena.
 
ID ya Trade name ya Condom, kama haujui unatumika hivyo halafu wakiisha kutumia hawarudii tena.

Yeah! Kama Mtei alivyomtumia Kitila kuingiza wanafamilia wake bungeni na sasa kazi yake imekwisha,na mnafanya kama condom sasa! Yaani Ralphryder!
 
Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.

Endelea kujifariji na wachumia tumbo wenzio. Zitto hata atimuliwe na wasaliti wenzie wote cdm haiwezi kufa na zaidi itaimalika na kuaminika zaidi na wenye akili timamu na mazombi yataendelea kudharau!
 
Zitto na Kitilla ni lazima wafukuzwe Chadema hilo lipo wazi, sisi tunasubiri kwa hamu tutengeneze fitna.

Ndugu ebu nipe ufafanuzi kidogo hili la KATIBU MWENEZI wa chama (CCM) kumuita Waziri alieteuliwa na Rais kumuhoji juu ya uwajibikaji limekaaje?
 
Hahahahahaha. Haya ni majanga sasa. Mbona hiki chama kinaongozwa kishetani shetani?
 
Duh hawa jamaa hawana aibu. Wameamua kuukana waraka. Watanzania watambue waraka uliochapishwa ni huohuo, na tena waliugawa wenyewe na kuutuma JF bila kujua madhara yake. Sasa wameumbuka kwa mambo yaliyopo ndani na sasa wanatapatapa.

Tundu Lissu aliwadanganya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa 'tukiwafukuza hawa chama kitakuwa imara mara kumi'.

Eti waraka wa kufanya mapinduzi. Mapinduzi kwenye chama cha siasa yanafanyikaje? Hili sakata limempunguzia heshima sana TL. Sasa Mnyika naye hata kwenye kikao hakuwepo ameingia kichwakichwa.



kichwa chako ni kwa ajili ya kufugia nywele tu.
 
Yeah! Kama Mtei alivyomtumia Kitila kuingiza wanafamilia wake bungeni na sasa kazi yake imekwisha,na mnafanya kama condom sasa! Yaani Ralphryder!

tumia akili.jpg
 
Ndugu ebu nipe ufafanuzi kidogo hili la KATIBU MWENEZI wa chama (CCM) kumuita Waziri alieteuliwa na Rais kumuhoji juu ya uwajibikaji limekaaje?

Ilani yamaendeleo ya ccm anaitekereza? ndicho anacho itiwa kuhojiwa
 
hiv huyu ------ anayejiita ben saa nane yuko wp,aje akanushe na hili manake yeye ndo katibu mwenez wa familia ya mbowe!!mtoto mjinga sna hyu,leo naona wameshikwa pabaya si kawaida yake kukaa kimya hiv,cijawahi kuona chama cha kikuda hv kama chadema
mishikaki ya lowasa mmemaliza sasa mnaanza kuvamia cdm , cdm hakuna ukuda wowote we mbwiga , huku ni utaratibu tu , masalia wote piga chini ! eti maarufu ! hivi kuna maarufu kuliko cdm ?
 
Back
Top Bottom