Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Yaani mkusanye watu wasiofaa hata kutazamika kwa macho alafu mdanganye kuwa ni waumini wa dini fulani ambayo kataa usikatae ina ushawishi mkubwa hapa nchini basi wewe hako sawa.
Kwanza hii inaleta picha kuwa tayari una chuki na kinyongo juu ya hili dhehebu.
Pili hili dhehebu halikubaliani na mambo mnayoyafanya na halipo tayari hata kukaa kimya kwa maovu yenu.
Ni kama mnatapatapa ili kutumia kila namna ili kulipa kisasi.
Ila kwa maandamano ya kipuuzi kama haya. Ambayo ni wazi kuwa mmefikia hatua ya mwisho kabisa ya kuwa hamna hoja za maana kutetea maovu yenu.
Mnajijua.
Kwanza hii inaleta picha kuwa tayari una chuki na kinyongo juu ya hili dhehebu.
Pili hili dhehebu halikubaliani na mambo mnayoyafanya na halipo tayari hata kukaa kimya kwa maovu yenu.
Ni kama mnatapatapa ili kutumia kila namna ili kulipa kisasi.
Ila kwa maandamano ya kipuuzi kama haya. Ambayo ni wazi kuwa mmefikia hatua ya mwisho kabisa ya kuwa hamna hoja za maana kutetea maovu yenu.
Mnajijua.