johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Zile zililetwa na Halima James Mdee wa Chadema!Hamna mwananchi anayebeba kura za kwenye mabeg.
Zile zililetwa na Halima James Mdee wa Chadema!Hamna mwananchi anayebeba kura za kwenye mabeg.
Zile zililetwa na Halima James Mdee wa Chadema!
Kuna rafiki angu mpemba nafanya nae kazi huku wakati wa uchaguzi alirudi kwao zanzibar kupiga kura. Nilimwambia maneno kama uliyoyasema ww kuwa mpinzani wa kweli TZ ni Lissu hivyo nilimwambia relax inabidi ktk siasa za Tz kwa vyama pinzani uwe umejiandaa kisaikolojia vinginevyo yanaweza kutokea mambo ya kuumiza kama haya.Viongozi siyo wananchi bwashee?
Tangu lini wenye njaa na tamaa ya mbweha wakatumia akili?
SawaSawa Mkuu nimeacha, nimeshajua kosa langu, nisamehe bure, sitarudia tena.
Una ushahidi kuwa akina Mdee wamepelekwa bungeni na chama cha chadema au unapoteza muda wangu kwa porojo?Walipowapeleka akina Halima Mdee bungeni!
Kwa 100% cdm hawawezi kuingia kwenye huo mtego wa tamaa ya fisiWala sitaki kujua, ila wakosee tu watambue uwepo wa hao wahuni bungeni. Itakapofika wakati wa uchaguzi wawaombe wanaccm wajitokeze kuwaunga mkono, lakini kura zetu wasisahau rasmi. Sasa hivi wenye maamuzi ni sisi wapiga kura, na sio wao. Na uwezo wa kushawishi watu wasipige kura tunao.
Akili zako zinakuongoza tu kwenda msalaniMbowe atabariki muda si mrefu wabunge wake
Hapo ACT walichotazama ni maslahi binafsi ya viongozi wa chama chao na siyo maslahi ya watanzaniaKimsingi pamoja na kejeli zitakazoelekezwa na watu juu ya uamuzi huu kwa chama cha ACT Wazalendo mimi naona wametumia busara iliyopitiliza. Kwa mujibu wa Ado walitakiwa wachague jambo moja kati ya mawili, kuamua maamuzi mabaya au kuamua maamuzi mabaya zaidi.
Ninaamini mzee maalim anaijua zanzibar na anajua zanzibar inahitaji nini, ni maamuzi ya kikomavu sana.
Zitto ni state agent hilo lipo wazi na tumesema sana hapa jukwaani,Zitto yeye anachohitaji ni kuhakikisha ccm haikwamishwi na wapinzaniZito alisha saliti CHADEMA enzi hizo, kutaka uenyekiti wa Mbowe, si mtu wa kumwamini. Kwa hili mimi sioni ajabu maana Zito ana historia ya usaliti!
Viti maalum CDM wakiridhiana uni tagTuache unafiki,,wananchi wenyewe ndo walianza kuwasaliti wanasiasa,,hivyo mwanasiasa way out ni kuridhiana tu