A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

To make your story total and complete add this!!1. Afsa aliyekuwa naongea naye alimchukua alimuita kando akiwa hapo LEADERS CLUB! Na Ma Dr wenzake usiku huo.2. Baada ya kutoonekana wenzake hapo Leders Club waliwasilina na Watu wa haki za binadamu na kuwajulisha.3. Ma Dr wenzake this time wakina na Hellen Kijo Bisimba ... (manomuona hapo kwenye picha za DR ulimboka)... waliondoka na kwenda kuripoti kwenye vituo kadhaa vya polisi.4. Polisi wote walisema hawana taaarifa ya mtu kama huyo na walishauriwa kurejea subuhi .5. Asubuhi wakapata taarifa toka kituo cha polisi cha Tegeta kuwa ameletwa na wanchi waliomuokota njiani...6. Source ... Hellen Kijo Bisimba ...Mwanaharakati ...!!!
 
serikali inatufundisha sasa wanachi tutumie nguvu, Serikali ni wauwaji, wameshauwa wengi na wanaendelea. Ni wakati wa kuchukua hatua.
 
Hivi kama kumuua dr. Ulimboka ni ufumbuzi wa kudumu wa tatizo lililopo kwa nini wasiwakamate madaktari wote nchini wawapeleke gas chamber wawaue kama Adolf Hitler alivyowafanyia wayahudi?! damu ya Ulimboka iliyovuja itakuwa chachu ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Ewe Mwenyezi Mungu inusuru Tanzania yetu isibadilike na kuwa "A man eat man society" kama nchi fulani hapa afrika mashariki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Before the victory is won, even some will have to face physical death. But if physical death is the price that some must pay, to free their children from a permanent psychological death,then nothing shall be more redemptive. We shall over come.
 
Ninamfahamu vizuri Albanie Marcossy. Ni mtu makini kwenye kufatilia mambo bila woga, bila shaka tutapata taarifa ya uhakika iliyofanyiwa uchunguzi pia.
 
Mama Heleni Kidjo bisimba mungu akujalie Kwa ujasiri ulionao kama Njelekela na Mwafongo aliadhibiwa kwa kuwa na watoto madawa ya kulevya wanaweza kukataa kutoa gari lakini wewe ukaweza kumsaidia tunakupongeza sana wewe ni Mwanamke jasiri wa Mfano nchii hii
 
Hii hatari sana maana nchi yetu ni ya amani lakini kuna matukio huwa yanatokea ukiyaangalia yanatia kichefuchefu, hii yote ni kutokana na nchi yetu bado watu wake wengi si waumini wa kutofautiana hoja ndio maana hata katika maisha yetu ya kwaida huwa mtu akiwa mbishi sana kwenye jamii huwa anachukuliwa kama adui badala ya kumkusanyia vielelezo ili aache kubisha vivyo hivyo kwenye serikali yetu nako ni yaleyale mtu anafanya kosa ambalo linaleta madhara kwa taifa akiambiwa wakati na yeye anajua amefanya kosa anawaona wale waliogundua uovu kama ni maadui. Kiukweli tumeshuhudia mashaidi wa kesi mbalimbali wanakufa katika mazingira ya utata wakati kesi zipo katika hatua ngumu na huwezi sema wameuliwa kwa kuwa hakuna ushahidi. Hii ni sawa na Kubenea alivyomwagiwa tindikali kutokana na kusema ukweli
 
Yan haya ni mauaji kbisa na tunahitaji tamko la serikali kwa hili.

Kumbe ndio maana ya msemo wa liwalo na liwe.
 
Too sad,
Tumuombee apone haraka ili tuujue ukweli. ni nafasi nyingine tena Watanzania tumepewa na Mungu ili tuikomboe nchi toka wa wadhalimu CCM.

Kwa asilimia kubwa mazingira yanaonyesha serikali imehusika moja kwa moja na tukio hili, ngoja tusubiri statements zao, maana wamezoea kupindisha ukweli wakidhani bado tuko mwaka 47.
 
Huu ndo mwisho wa serikali ya kiuaji ya CCM! Watanzania wenzangu tuungane kuichukia MUNGU ataiondoa kwa udhalimu wake!
 
To make your story total and complete add this!!1. Afsa aliyekuwa naongea naye alimchukua alimuita kando akiwa hapo LEADERS CLUB! Na Ma Dr wenzake usiku huo.2. Baada ya kutoonekana wenzake hapo Leders Club waliwasilina na Watu wa haki za binadamu na kuwajulisha.3. Ma Dr wenzake this time wakina na Hellen Kijo Bisimba ... (manomuona hapo kwenye picha za DR ulimboka)... waliondoka na kwenda kuripoti kwenye vituo kadhaa vya polisi.4. Polisi wote walisema hawana taaarifa ya mtu kama huyo na walishauriwa kurejea subuhi .5. Asubuhi wakapata taarifa toka kituo cha polisi cha Tegeta kuwa ameletwa na wanchi waliomuokota njiani...6. Source ... Hellen Kijo Bisimba ...Mwanaharakati ...!!!

kumbe jamaa alichukuliwa mapema tena akiwa na madokta wenzake na huyo afisa anafahamika changanya na askari kukamatwa akiwasiliana na wakubwa wake= jibu ni serikali 100%
 
Dah, this is so bad! Kwa kweli kwa hali hii imefikia pabaya. Serikali lazima itoe tamko!
 
Inahuzunisha,,,any way mchakato wa maisha una stages nyiiing na event nyiing,,,,namuombea apone,kama kuna anayefurahia hili si binadam LIWALO NA LIWE
 
Yaani kumbe nia na madhumuni ya hilo linalojiita jeshi la polisi ilikua ni kumtoa uhai Dr. Ulimboka??? So sad :angry:
 
Auuuuuuuuwi Dhaifu wameanza kazi, ila haina noma iko siku. Ni mbaya kuweka kisasi moyoni lakin kama ilivyo "Liwalo Na Liwe" siku kikinuka tutakutana tu
 
Back
Top Bottom