Hapo unaudanganya Umma nani kakwambia MaMedical Assistant bba Manesi wamegoma huku kwetu wanachapa kz tofautisha MaDoctor na Nurse mpaka N/Auxillary ni wazalendo hasa ambao wanajua uchungu wa kifo si km hao vijana ambao wako zaidi kisiasa wanataka 3.5m tena wapo huko kwenu MuhimbiliPole kweli wewe, hivi unawezaje kumuhudumia mgonjwa mahututi wakati huohuo unamwambia kalete Groves,
kwa huko vijijini mama mzizi anaambiwa njoo na na mafuta ya taa ya kuchemshia maji, kuwasha taa, groves na maji yake.
hii kazi ni ngumu sana na ni hatari pia (naamini unanielewa )
Hii hatari sana maana nchi yetu ni ya amani lakini kuna matukio huwa yanatokea ukiyaangalia yanatia kichefuchefu, hii yote ni kutokana na nchi yetu bado watu wake wengi si waumini wa kutofautiana hoja ndio maana hata katika maisha yetu ya kwaida huwa mtu akiwa mbishi sana kwenye jamii huwa anachukuliwa kama adui badala ya kumkusanyia vielelezo ili aache kubisha vivyo hivyo kwenye serikali yetu nako ni yaleyale mtu anafanya kosa ambalo linaleta madhara kwa taifa akiambiwa wakati na yeye anajua amefanya kosa anawaona wale waliogundua uovu kama ni maadui. Kiukweli tumeshuhudia mashaidi wa kesi mbalimbali wanakufa katika mazingira ya utata wakati kesi zipo katika hatua ngumu na huwezi sema wameuliwa kwa kuwa hakuna ushahidi. Hii ni sawa na Kubenea alivyomwagiwa tindikali kutokana na kusema ukweli
Mazingira na mpango wa tukio haukutekelezwa kitaalamu kwa kiwango cha wale wenye kazi hiyo unaofikiria wewe. Lazima tutizame pande zote kwani mpango na njama yenyewe haikufanywa kitaalamu. Tunakumbuka wengi waliokufa katika mazingira tata mfano Kolimba, Katabalo nk. Inaonekana waliofanya tukio hili hawana uzoefu unaomaanisha wewe.
Wewe wapi kisukali/kisukari? sasa mtu amechukuliwa na polisi halafu unataka taarifa apelekewe polisi? alitafutwa mtu wa msaada wa kisheria na Dr.Helen Kijo Bisimba ndiyo alikuwa mtu sahihi na ndiyo maana yeye alianza kwa kutoa taarifa vituo vyote ili polisi waseme wamempeleka wapi. Duuh kweli wewe KISUKALI
Mkuu umenena maisha magumu ni kwa kila Mtanzania...kila taaluma ina umuhimu wake.Watanzania wote tuwalaani madaktari kwa kitendo chao cha kinyama
Utasikia kujikosha anajidai serikali itagharamia matibabu yake apelekwe India..... hiyo ni baada ya kuona huyo bwana hakufa..... Madaktari kataeni asimwone... kwanza kwa hali yake hatakiwi kuonana na watu...wanaweza kumsababishia ugonjwa zaidi.
Si bora ya hao! Je wale wanaolala bungeni huku posho kwa siku ni Mshahara wa Mwalimu IIIA, V8 linawekwa mafuta lita sh 3000/= nkwanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
Madaktari wamkatalie, kwa sababu ya majeraha aliyonayo asije akamwambukiza magonjwa mengine kama ukimwi.
Unaweza kumkatalia mkuu wa nchi hasimuone mwananchi wake? sijui! Hata hivyo, huo si uamuzi wa maDaktari kumkatalia Rais kwenda kumuona Daktari mwenzao..bali ni uamuzi wa Dr Ulimboka mwenyewe na familia yake. Au Daktari mwangalizi wa Ulimboka anaweza kataa kwa misingi ya kitabibu kuwa mgonjwa wake hana hali nzuri kiasi cha kutembelewa!