Wanaweza wakamuua Dr but hawawezi kuua mawazo yake ya ukombozi kwa wana taharuma ya Udaktari na tasnia ya afya kwa ujumla.Aluta continue, Ata tunisia wanyonge ndio waliotia chachu kuiondoa serikali ya kifedhuli madarakani, sitegemei mwana ccm au mafisadi waunge mkono jitihada hizi za ukombozi but ni wale tu wanaopata shida na kuathirika na wizi huu na uonevu.