msomi kutoka znz
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 663
- 3,089
kwa jinsi mambo yalivyo sjui nitafute washirika tufungue kanisa?..kwa maana bila connection mjini unaweza fikia kulamba miguu watu ila chati yako ipande kama kina mwijaku... ndo nawewe upate clown athlete yakufichia aibu..hakuna kitu kibaya kama sytsem zote zinakutema at the age of 30 going ahead..yaani hata zile za ukarani unatoswa, za makazi inatoswa..na una gamba la yudism zuri ila ndo huna sifa za kujichetua kwa kina ridhwani ama kwa gsm
