Pandikiza..Nipo kwenye hiyo age, Kwa kiasi changu baadhi ya mambo ninayo na mengine nimeacha Ila tatizo nina mtoto moja na Kwa maelezo ya daktari huenda wife akaishia mtoto huyo huyo mmoja. Hapa kichwa inauma kweli kweli.
NilipokuaMaisha ya dunia yakikuchapa mpaka umri huo Ni Bora kuanza kuwekeza kumjua mungu wako na kuitafuta pepo.
Sio pote pote ushindwe
Ushindwe duniani na ushindwe kuu-wona ufalme wa mungu.
Japo swala la kutoka kimaisha halina umri Wala nini. Ni muda wowote tu haijalishi
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge naeMaisha ya dunia yakikuchapa mpaka umri huo Ni Bora kuanza kuwekeza kumjua mungu wako na kuitafuta pepo.
Sio pote pote ushindwe
Ushindwe duniani na ushindwe kuu-wona ufalme wa mungu.
Japo swala la kutoka kimaisha halina umri Wala nini. Ni muda wowote tu haijalishi
🤣🤣🤣 under twenti au thateNgoja niaanzishe la wanangu wa undertwenti..
Kwahiyo unaita ndugu zako kunguni 😂 wakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chiniNilipokua
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge nae
Karibu ukubwani ‘30s dogoBado few years niifikie hiyo 30 halafu nikiangalia mambo yenyewe hayaeleweki kama mvua za Dar, mbona kuna kudata,
Huna mume, huna mtoto, pesa huzioni aaah' walaqhi tena..!!
Kunichimbia futi sita chini ni ili nisiwabughudhi,hawanifanyii hisaniKwahiyo unaita ndugu zako kunguni 😂 wakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chini
Achana na ujinga wala msihangaike na Umri..Hakuna umri ambao ni very crucial kama 30-36 yrs old.
Ni umri wa mixed feelings: Depression, Anxiety, Kujuta, Furaha, ninge zinakuwa nyingi.
Mara nyingi (sio mara zote) huu ni umri ambapo hali ulio nayo kisaikolojia, physicallity (unene, wembamba etc), kihisia na kijitihada ndio itakuwa nguzo maishani mwako hadi uzee.
Ni umri wa kujiuliza hapo ulipo ndipo ulipo taka kuwa kipindi cha ndoto, matarajio, maombi na mipango wakati una umri wa miaka 16-25.
Maswali kama
■Una mke/mme
■Umeshatoka kwa wazazi
■Umepanda cheo
■Ume/una jenga nyumba,
■Una/ume nunua gari,
■Unamiliki kiwanja
■Wazazi unawahudumia,
■Umepanda cheo
■Hali yako kifedha
■Akiba na assets
■Biashara na uwekezaji wako
■Umeacha utoto.
Ni thread ya kushare changamoto, matunda, ushauri, kuelimishana na jinsi ya ku handle huu umri kwa wale tulioteleza, kuchelewa ili tujinasue b4 its very late
Karibuni.
phaller mmoko, maandazi wewe..! 😂Karibu ukubwani ‘30s dogo
Uwe ukiamka unasalimia wakubwa zako kabla hujaanza kusave statusphaller mmoko, maandazi wewe..! 😂
Kunguni🤣🤣🤣Kwahiyo unaita ndugu zako kunguni 😂 wakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chini
Imagine ndio ndugu zake wamkute hapo 🤣🤣 anatafutia ubaya mashangazi na wale wamama wa ukoo’ wakubwa kwa wadogoKunguni🤣🤣🤣
Ila kuna ndugu wana makwazo basi tu
Noted.Bado few years niifikie hiyo 30 halafu nikiangalia mambo yenyewe hayaeleweki kama mvua za Dar, mbona kuna kudata,
Huna mume, huna mtoto, pesa huzioni aaah' walaqhi tena..!!
Bado few years niifikie hiyo 30 halafu nikiangalia mambo yenyewe hayaeleweki kama mvua za Dar, mbona kuna kudata,
Huna mume, huna mtoto, pesa huzioni aaah' walaqhi tena..!!
Atawekewa kikao cha ukooImagine ndio ndugu zake wamkute hapo 🤣🤣 anatafutia ubaya mashangazi na wale wamama wa ukoo’ wakubwa kwa wadogo
Kama Yesu arakati zake za ukombozi umri uo basi sijachelewa nipo pamoja na mwokoziNiko hapo,hata yesu alianza harakati umri huo