Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Hizo connection tupeane sote mkuuNilipokua
Nilipokua kwenye huo umri,mipango ikavurugika,nikarudi home,wa kwanza kunionesha dharau ni bi mkubwa,akawafundisha na watoto wa wadogo zangu pale home kunidharau,hakutosheka..akawa ananijengea dharau kwa watu mitaani,usiombe huo msongo wa mawazo,nikaanza kubeti nipate hela niondoke,mungu siyo benard Morrison network yangu ikalipa,kwa Sasa Nina kipato kuliko kunguni yoyote kwenye ukoo,na huwa sijui Cha kumfanya no mkubwa..Ila bado Nina grudge nae
Neema za inchi usizifaidi peke yako


wakati hao ndio wataandaa ratiba za kukuchimbia ft 6 kwenda chini
,.pia natamani Sana niwe na biashara zangu..binafsii...