30 - 36 years old: An Official Thread

30 - 36 years old: An Official Thread

Maisha ya dunia yakikuchapa mpaka umri huo Ni Bora kuanza kuwekeza kumjua mungu wako na kuitafuta pepo.

Sio pote pote ushindwe.

Ushindwe duniani na ushindwe kuu-wona ufalme wa mungu.

Japo swala la kutoka kimaisha halina umri Wala nini. Ni muda wowote tu haijalishi
Acha kuupotosha kwa %nyingi Africa wengi wakikfika 45 ndo umri wa ulichosema na sio chin ya hapo. Tunapambana hatuoni umri.
 
Nipo 36, ila najihesabia niko 44 ili nipate hasira zaidi ya kutafuta.

Kiukweli hapa nilipo ni Mungu tu, zaidi ya kujibana ( sinywi pombe, sihongi sanaaaa) kiuchumi sijahustle sana kupambania maisha.

Kwa wapambanaji sky is the limit , ukisema naweza hakuna wakukuzuia labda kama unawaambia watu wasiohusika.
Sure kabisa
 
Back
Top Bottom