Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,695
- 130,564
Leo nipo na siku nzuriNdugu mchambuzi mbona kinyonge sana🤣🤣🤣
Unaweza kuniuliza tena lile swali
Leo nipo na siku nzuriNdugu mchambuzi mbona kinyonge sana🤣🤣🤣
Uko wapi saizi?Bado nasisitiza..
Messi asifananishwe na vitu vya kidunia
Kibao kimegeukaSio shida zake, acha msagiwe
Dua zako zimepokelewaKabisa.
Washirika wenzake wameshalpigwa, naye apigwe ili mambo yasiwe mengi
Kombe la dunia, wachezaji zaidi ya 500 wanalo.Usiseme kila kitu wakati unajua hana kombe la dunia wala tuzo ya mchezaji bora wa mashindano ya kombe la dunia
Njoo leo tujadili kwa upana hii mada kuhusu ego.Ronaldo alipendwa Sana Ila ukichunguza Hadi mashabiki wa Manchester na Madrid wamemgeuka kwasabab ya Ego
Mbali na FIFA, tumejua ni nani aliyekuwa akiwabeba 2022.Umeanza kuchanganyikiwa sasa 🤣 kuchukua WC ni bonus??? Hilo kombe sio NBC ujue, sio UEFA.
Hilo kombe hata mchezaj akikaa benchi tu wakati wa michuano basi ataji feel proud.
Nikuambie tu 2030 Ronaldo atarudi kwenye haya mashindano akiwa kama coaching staff au technical bench au mhamasishaji ili tu aone kama ataweza kubeba kombe
Matokeo ya mwisho ni hayaMwanafalsafa mmoja anaitwa Machiavelli alisema "The end justifies the means".
Mjadala wa nani ni bora zaidi umehitimishwa na Matokeo ya mwisho...
Basi ulivyo jikausha, ni kama hakijatokea chochote.Unatumia nguvu nyingi saña kuuaminisha umma kwamba "Ronaldo is the best".
Messi anajipambania umaarufu wake, matendo zaidi.
Ronaldo anapambaniwa umaarufu wake, matokeo kidogo.
Ungewaonesha na hiiWC si kipimo cha mchezaji kuwa GOAT! bali mafanikio binafsi ya mchezaji na mchango wake katika football vinamfanya awe GOAT, CR7 anastahili kuwa GOAT hata kama hajachukua WC.
65 Legends is out,
Cristiano
Neymar
Neuer
Modric
Ochoa.
Leo hii mmebadilika 😄😄😄
Wakati Messi Hana WC mlikuwa mnasema Messi Hana hadhi ya kuwa Goat , mwanaume akapambana mpaka wakatwaa WC but Leo hii baada ya kuona cr7 kafeli kupata WC now mmekuja na hivi visingizio Binaadamu bhana 🙌
Messi akichekaUkitaka kujua umuhimu wa WC kwa CR7 angalia alivyokua analia baada ya kutolewa.
Cheki hapa ulivyoandikaMessi kwa penalty zinamsumbua sana
Bila wewe ulikuwa na upeo wa kujua hilo mapemaKweli mesi kaisha
Bora wewe ulimchana mapemaKiburi gani, acha kumpaka Mafuta bana, Sema tu kashindwa
Ilipofika zamu yake, Spain hawakumchelewesha.MESSI amenit0mbea hawa wasenge kmamakeeeeee
Kwanza penaldo alikutana na Spain hatua gani?Tujadili sasa stats za Anduje na Ronaldo kwenye mechi walizocheza dhidi ya Spaina.
Naanza na mimi, Ronaldo alikuwa na shot on target 2
Anduje alikuwa na nini?
Ukinionyesha mchezaji mwenye Ballon d'or zaidi ya 5, assists zaidi ya 400 na golden balls za kombe la dunia 2 nakuonyesha mchezaji mwenye hayo mabao 976Kombe la dunia, wachezaji zaidi ya 500 wanalo.
Nioneshe mchezaji mmoja mwenye magoli 976View attachment 3636299