Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,686
- 130,505
Elezea pointi yako?
Elezea pointi yako?
Usisahau pia ndie mchezaji aliyenyanyUa kwapa mala nyingi zaidi ya yeyoteElezea pointi yako?
Hii ndio nini?
Sawa baki hvyo, wesi hyo clip ya sekunde 12 imetosha kumtafsir lionelHii ndio nini?
Yani hujaelezea hii inakusaidiaje wewe kwenye huu mjadala.
Mimi sijaweka kwa lengo la kumtafsiri Messi vibaya.Sawa baki hvyo, wesi hyo clip ya sekunde 12 imetosha kumtafsir lionel
hzo ni sababu zako ww, ila hcho kigezo lazima kisimame hapo.Mimi sijaweka kwa lengo la kumtafsiri Messi vibaya.
Nimeweka nikuoneshe mfano wa wazi ambao assist haioneshi ubora wa yule anayeitoa kwasababu mazingira kama hayo yanayomuonesha Messi akikosa magoli ya wazi ndio yaliowanyima credit za hao wachezaji waliotoa pasi za mwisho.
Hiyo inamaanisha kwamba huwezi ku judge ubora wa Ronaldo kwa kigezo cha assist kwasababu mazingira ya mfungaji kukosa bao yanaweza kuchangia kwa namna kubwa kumkosesha hiyo tittle Ronaldo.
Hizo ni sababu ambazo ziko universal, assist hai define uwezo wa mchezaji ikiwa ili ihesabike ni mpaka tukio la goli litokee. Goli ambalo linamtegemea mtu mwingine bila kuangalia uwezo wake.hzo ni sababu zako ww, ila hcho kigezo lazima kisimame hapo.
Vp me nkikwambia tutoe kigezo cha magoli sababu CR7 kacheza mechi nyingi kumzidi Lionel..?
Na kwani Messi hakuna nafasi alizotengeneza aliowatengenezea wakakosa..?
Ukitoa kigezo cha magoli kwasababu ya wingi wa mechi na mimi nitaleta hoja ya Negreria.Vp me nkikwambia tutoe kigezo cha magoli sababu CR7 kacheza mechi nyingi kumzidi Lionel..?
Na kwani Messi hakuna nafasi alizotengeneza aliowatengenezea wakakosa..?
Same kwa Real magoal ya ya ofside na penalty za uongo ndizo zilizo mpa faida zaidi Ronaldo ndio maana toka VAR ianze rate ya magoal ya cr7 imeshuka.Ukitoa kigezo cha magoli kwasababu ya wingi wa mechi na mimi nitaleta hoja ya Negreria.
Negreria alitumika kama daraja la kumsafishia njia Messi kupitia Barcelona kwani katika kipindi chake, Barcelona ilicheza mechi nyingi dhidi ya timu ambazo zilikuwa na kadi nyekundu.
Lakini wanapocheza mashindano ya UEFA takwimu za kadi nyekundu zinakuwa balanced kwasababu kule Negreira hana ushawishi.
Video zako zinaonesha incidents za Ronaldo aki-dive.Same kwa Real magoal ya ya ofside na penalty za uongo ndizo zilizo mpa faida zaidi Ronaldo ndio maana toka VAR ianze rate ya magoal ya cr7 imeshuka.
View attachment 3645684
Video zako zinaonesha incidents za Ronaldo aki-dive.
Hazioneshi magoli aliyopata kwa faida ya diving.
Na mimi sijawahi kataa wala kumtetea Ronaldo kuwa sio mtu wa diving.
Mara kadhaa humu nimesema kuwa pale Laliga, kuna wakati Ronaldo alishika nafasi ya 6 katika orodha ya wachezaji wanaoongoza kwa diving.
Na Ronaldo aliwahi kupata kadi zaidi ya 5 kwa kukutwa na hii hatia ya diving.
Naweza kutetea hoja yangu kuonesha upendeleo wa wazi ambao Messi aliwahi kunufaika katika kipindi cha Negreira kwa kufunga magoli yasiyo ya halali kwa mifano hai kama huu.
View attachment 3645775
Au tukio maarufu la June 9, 2007 kwenye mechi dhidi ya Espanyol ambapo Messi alifunga goli la mkono.
View attachment 3645805
Utakuwa una matatizo ya akili
Kama unakubaliana na ubora basi mjadala tunaufungia hapa.Utakuwa una matatizo ya akili
Hakuna kocha ambaye hakubaliani kuwa Messi ni mchezaji bora, hata mimi nakubali kuwa Messi ni mchezaji bora.
Mourinho kumpa hizo sifa Messi ni kumpa recognition pale anapoona anastahili.
Mimi nazungumzia kuhusu favouritism ambazo Messi amekuwa akinufaika nazo.
Ukitaka kugundua kuwa mimi na Morinho tunaongea lugha moja, kasikilize kauli aliyoitoa baada ya mechi kati ya Argentina dhidi ya Egypt
Alisema hiviView attachment 3648867
Sasa muda wote huo unafikiri kwanini nimekuwa namuita second GOAT?Kama unakubaliana na ubora basi mjadala tunaufungia hapa.
Sasa muda wote huo unafikiri kwanini nimekuwa namuita second GOAT?
Jana tumeamka na habari mpya kutoka shirikisho la soka la Amerika kusini (CONMEBOL) kurudisha ratiba ya awali ya Copa America ambayo ilikuwa ikifanyika kila baada ya miaka minne.I really missed world Cup, I wish ingekua kila baada ya mwaka mmoja.
View attachment 3649792
Sasa muda wote huo unafikiri kwanini nimekuwa namuita second GOAT?
Akianza MUNGU anafata Lionel tofauti na hapo hakuna, hata statistics hazidanganyiSasa muda wote huo unafikiri kwanini nimekuwa namuita second GOAT?
Labda Mungu kwa maana ya Ng'ombe kule India.Akianza MUNGU anafata Lionel tofauti na hapo hakuna, hata statistics hazidanganyi