2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Elezea pointi yako?
Usisahau pia ndie mchezaji aliyenyanyUa kwapa mala nyingi zaidi ya yeyote
Screenshot_20260805-140706~2.jpg
 
Sawa baki hvyo, wesi hyo clip ya sekunde 12 imetosha kumtafsir lionel
Mimi sijaweka kwa lengo la kumtafsiri Messi vibaya.

Nimeweka nikuoneshe mfano wa wazi ambao assist haioneshi ubora wa yule anayeitoa kwasababu mazingira kama hayo yanayomuonesha Messi akikosa magoli ya wazi ndio yaliowanyima credit za hao wachezaji waliotoa pasi za mwisho.

Hiyo inamaanisha kwamba huwezi ku judge ubora wa Ronaldo kwa kigezo cha assist kwasababu mazingira ya mfungaji kukosa bao yanaweza kuchangia kwa namna kubwa kumkosesha hiyo tittle Ronaldo.
 
Mimi sijaweka kwa lengo la kumtafsiri Messi vibaya.

Nimeweka nikuoneshe mfano wa wazi ambao assist haioneshi ubora wa yule anayeitoa kwasababu mazingira kama hayo yanayomuonesha Messi akikosa magoli ya wazi ndio yaliowanyima credit za hao wachezaji waliotoa pasi za mwisho.

Hiyo inamaanisha kwamba huwezi ku judge ubora wa Ronaldo kwa kigezo cha assist kwasababu mazingira ya mfungaji kukosa bao yanaweza kuchangia kwa namna kubwa kumkosesha hiyo tittle Ronaldo.
hzo ni sababu zako ww, ila hcho kigezo lazima kisimame hapo.

Vp me nkikwambia tutoe kigezo cha magoli sababu CR7 kacheza mechi nyingi kumzidi Lionel..?

Na kwani Messi hakuna nafasi alizotengeneza aliowatengenezea wakakosa..?
 
hzo ni sababu zako ww, ila hcho kigezo lazima kisimame hapo.

Vp me nkikwambia tutoe kigezo cha magoli sababu CR7 kacheza mechi nyingi kumzidi Lionel..?

Na kwani Messi hakuna nafasi alizotengeneza aliowatengenezea wakakosa..?
Hizo ni sababu ambazo ziko universal, assist hai define uwezo wa mchezaji ikiwa ili ihesabike ni mpaka tukio la goli litokee. Goli ambalo linamtegemea mtu mwingine bila kuangalia uwezo wake.
 
Vp me nkikwambia tutoe kigezo cha magoli sababu CR7 kacheza mechi nyingi kumzidi Lionel..?

Na kwani Messi hakuna nafasi alizotengeneza aliowatengenezea wakakosa..?
Ukitoa kigezo cha magoli kwasababu ya wingi wa mechi na mimi nitaleta hoja ya Negreria.

Negreria alitumika kama daraja la kumsafishia njia Messi kupitia Barcelona kwani katika kipindi chake, Barcelona ilicheza mechi nyingi dhidi ya timu ambazo zilikuwa na kadi nyekundu.

Lakini wanapocheza mashindano ya UEFA takwimu za kadi nyekundu zinakuwa balanced kwasababu kule Negreira hana ushawishi.
 
Ukitoa kigezo cha magoli kwasababu ya wingi wa mechi na mimi nitaleta hoja ya Negreria.

Negreria alitumika kama daraja la kumsafishia njia Messi kupitia Barcelona kwani katika kipindi chake, Barcelona ilicheza mechi nyingi dhidi ya timu ambazo zilikuwa na kadi nyekundu.

Lakini wanapocheza mashindano ya UEFA takwimu za kadi nyekundu zinakuwa balanced kwasababu kule Negreira hana ushawishi.
Same kwa Real magoal ya ya ofside na penalty za uongo ndizo zilizo mpa faida zaidi Ronaldo ndio maana toka VAR ianze rate ya magoal ya cr7 imeshuka.
 
Same kwa Real magoal ya ya ofside na penalty za uongo ndizo zilizo mpa faida zaidi Ronaldo ndio maana toka VAR ianze rate ya magoal ya cr7 imeshuka.
View attachment 3645684
Video zako zinaonesha incidents za Ronaldo aki-dive.

Hazioneshi magoli aliyopata kwa faida ya diving.

Na mimi sijawahi kataa wala kumtetea Ronaldo kuwa sio mtu wa diving.

Mara kadhaa humu nimesema kuwa pale Laliga, kuna wakati Ronaldo alishika nafasi ya 6 katika orodha ya wachezaji wanaoongoza kwa diving.

Na Ronaldo aliwahi kupata kadi zaidi ya 5 kwa kukutwa na hii hatia ya diving.

Naweza kutetea hoja yangu kuonesha upendeleo wa wazi ambao Messi aliwahi kunufaika katika kipindi cha Negreira kwa kufunga magoli yasiyo ya halali kwa mifano hai kama huu.




Au tukio maarufu la June 9, 2007 kwenye mechi dhidi ya Espanyol ambapo Messi alifunga goli la mkono.

 
Video zako zinaonesha incidents za Ronaldo aki-dive.

Hazioneshi magoli aliyopata kwa faida ya diving.

Na mimi sijawahi kataa wala kumtetea Ronaldo kuwa sio mtu wa diving.

Mara kadhaa humu nimesema kuwa pale Laliga, kuna wakati Ronaldo alishika nafasi ya 6 katika orodha ya wachezaji wanaoongoza kwa diving.

Na Ronaldo aliwahi kupata kadi zaidi ya 5 kwa kukutwa na hii hatia ya diving.

Naweza kutetea hoja yangu kuonesha upendeleo wa wazi ambao Messi aliwahi kunufaika katika kipindi cha Negreira kwa kufunga magoli yasiyo ya halali kwa mifano hai kama huu.

View attachment 3645775


Au tukio maarufu la June 9, 2007 kwenye mechi dhidi ya Espanyol ambapo Messi alifunga goli la mkono.

View attachment 3645805
 
Utakuwa una matatizo ya akili

Hakuna kocha ambaye hakubaliani kuwa Messi ni mchezaji bora, hata mimi nakubali kuwa Messi ni mchezaji bora.

Mourinho kumpa hizo sifa Messi ni kumpa recognition pale anapoona anastahili.

Mimi nazungumzia kuhusu favouritism ambazo Messi amekuwa akinufaika nazo.

Ukitaka kugundua kuwa mimi na Morinho tunaongea lugha moja, kasikilize kauli aliyoitoa baada ya mechi kati ya Argentina dhidi ya Egypt

Alisema hivi
FB_IMG_1786520571629.jpg
 
Utakuwa una matatizo ya akili

Hakuna kocha ambaye hakubaliani kuwa Messi ni mchezaji bora, hata mimi nakubali kuwa Messi ni mchezaji bora.

Mourinho kumpa hizo sifa Messi ni kumpa recognition pale anapoona anastahili.

Mimi nazungumzia kuhusu favouritism ambazo Messi amekuwa akinufaika nazo.

Ukitaka kugundua kuwa mimi na Morinho tunaongea lugha moja, kasikilize kauli aliyoitoa baada ya mechi kati ya Argentina dhidi ya Egypt

Alisema hiviView attachment 3648867
Kama unakubaliana na ubora basi mjadala tunaufungia hapa.
 
I really missed world Cup, I wish ingekua kila baada ya mwaka mmoja.
View attachment 3649792
Jana tumeamka na habari mpya kutoka shirikisho la soka la Amerika kusini (CONMEBOL) kurudisha ratiba ya awali ya Copa America ambayo ilikuwa ikifanyika kila baada ya miaka minne.

FB_IMG_1786644269018.jpg


Kuanzia mwaka 2015 hadi 2024 kipindi cha miaka 9, yamefanyika jumla ya mashindano matano ya Copa America.

Meanwhile katika mfumo wake rasmi ambao ni wa asili katika duration hiyo ilifaa yachezwe mara 2 tu.

Ukirejea takwimu za Messi wakati huo alikuwa tayari amecheza fainali 2 yani ya 2007 na 2015 ambazo zote alipoteza.

Baada ya Conmebol ku rigg ratiba ikampa nafasi Messi kuweza kutwaa taji hilo mwaka 2021 na 2024. Bila kusahau kuwa 2016 tena alicheza fainali na hakufanikiwa.

Baada ya kupata mara mbili back to back, shirikisho limetangaza kurudisha mfumo wa zamani.
 
Akianza MUNGU anafata Lionel tofauti na hapo hakuna, hata statistics hazidanganyi
Labda Mungu kwa maana ya Ng'ombe kule India.

Na btw, ikiwa mambo hayawi vile unapenda, una uhuru wa kufikiri vile unavyotamani iwe (wishful thinking).

Unaweza kum-picture katika mitazamo tofauti ambayo wewe unaona itaku-satisfy kihisia lakini hiyo inabaki kuwa ni jambo binafsi na sio universal.
 
Ni ajabu kiasi gani? Hili ni jambo lililotokea miaka 6 iliyopita lakini ni kama limetokea jana.

FB_IMG_1786711217416.jpg
Screenshot_20260814-153707.png
FB_IMG_1786711231587.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20260814-153707.png
    Screenshot_20260814-153707.png
    2.3 MB · Views: 0
Back
Top Bottom