😂😂hayo mambo mkifanya nyie inatosha, wacha me nienjoy vitu vya uwanjani.Taratibu naona mmeanza kusogea mmoja mmoja.
Leo umeanza na post moja, keep going bro that's big progress I can say.
Kesho unaweza kuachia mbili mpaka tatu kulingana na hali ya majeraha maana vidonda najua bado ni vibichi.
And I promise you, when you post it I will be there to congratulate for the little step that you've made.
Nyie ndio mfano halisi wa ile kauli maarufu ya "time heals"
Baada ya game ilionekana ngumu sana kutegemea kuona hiki ulichoweza kukifanya leo.
Could you give us some tips, so maybe we can help other brothers too who shared the same pain but don’t seem to have recovered yet?
Da'Vinci herman joshua ombeni maujanja hayo kwa jamaa sio mpaka mimi nijiongeze.
Nitawasaidia mpaka lini? Kuna muda na mimi nitakuwa nachoka, jiongezeni.
Ni rahisi kwa aie kuongea maana hatujiu pesa zinazohusika hapoFIFA wapuzuzi sana wanambeba sana huyu ANDUNJE😊
View attachment 3635293
😂😂😂😂 sie tunalo, labda irudowe kwanza mechi na portugal.comrade_kipepe Mjomba Malume Da'Vinci herman joshua hearly Ziroseventytwo hydroxo Countrywide Al-mukheef Mi mi moudgulf Poker
adrenaline BUSH BIN LADEN
🚨Breaking News: fainali inaweza kurudiwa!
FIFA imesema maamuzi tayari yamefanyika kupitia kikao chake cha dharula huku tangazo rasmi likitarajiwa kutolewa asubuhi ya kesho.
View attachment 3634344
Kulingana na repoti kutoka vyanzo vya ndani, Kocha wa Argentina amedai kuwa baada ya mechi kulikuwa na matukio yasiyo ya kawaida kwenye dressing room wakati wa half time.
Refa huyo aliendelea kusema, walichagua kukaa kimya wakati wa mchezo lakini waliapa kufunguka baada ya mchezo kuisha.
Ripoti ya Argentina ya malalamiko tayari imewasilishwa rasmi FIFA ikiomba uanzishwe uchunguzi.
Inadaiwa kwamba CCTV footage zinaonesha kuna vitu visivyokuwa vya kawaida (liquid substance) kuwekwa katika vyakula kwenye dressing room waliyotumia Argentina.
Madaktari na wataalamu wa FIFA wamebaini kuwa vimiminika hivyo vilikuwa na uwezo wa kusababisha misuli kukaza na mwili kuchoka.
Meanwhile, ile footage ambayo inasemwa kuwa ni ya siri, tayari imevujishwa na sasa imeanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
View attachment 3634336
Kufuatia haya madai, FIFA imeamua fainali kurudiwa upya.
Mechi hiyo ya fainali inatarajiwa kupangwa mwezi August tarehe 35
Ulikuwa unajua kuwa Cristiano Ronaldo kwenye career yake hajawahi cheza mechi akamaliza bila kupiga shuti?😂😂😂😂 sie tunalo, labda irudowe kwanza mechi na portugal.View attachment 3635770
Thomas Muller juzi amefunguka kusimulia tukio la mwaka 2010 kwenye World Cup lililomsababishia kupata kadi ya njano.FIFA wapuzuzi sana wanambeba sana huyu ANDUNJE😊
View attachment 3635293
Nilikuwa napitia pitia baadhi ya receiptsRonaldo ashindwa kuibeba timu yake kama anavyofanya Messi na Argentina
Kesho kutwa itakuwa ni anniversary ya wiki ya kusherehekea Argentina kukosa ubingwa tena bila shot on target kwa dakika 120There's time namimi nitacheka tu