2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nimeisapoti Portugal kwasababu ya Ronaldo.

And now he's gone that means my support also will gone.

FB_IMG_1783376953329.jpg
 
Kabisa naunga mkono hoja
Bado wame kariri badala ya kujenga kikosi. Hata zaman Brazil haikuwa nzuri ni vile nchi nyingi hazikuamua ku invest

Now nchi zinajiqndaa Na ku invest …. Wao Brazil wanabak na jina la zaman

Kikosi kizima kina mabishoo
Halaf kwa sasa Brazil wanachukua majina ambao washakuwq mabishoo kama kina Neymar

Zaman walikuwa wanaibua vipaji kutoka Uswahilini na
Kuwapa uwezo kama kina ronadinyo miaka hiyo … Yaani watu wanafanya kumsikia kwa mara ya kwanza in World Cup

Sisi wa Canada tumekosa tu striker wa maana

Kombe linaenda France this time
 
Ukiwa upo upande wa Ronaldo utagundua yule ni mdogo sana yule wala hawezi kumpa mtu shida.

Mechi yenu ya Afcon dhidi ya Egypt mnacheza lini?
Unatumia nguvu nyingi saña kuuaminisha umma kwamba "Ronaldo is the best".

Messi anajipambania umaarufu wake, matendo zaidi.
Ronaldo anapambaniwa umaarufu wake, matokeo kidogo.
 
Bado wame kariri badala ya kujenga kikosi. Hata zaman Brazil haikuwa nzuri ni vile nchi nyingi hazikuamua ku invest

Now nchi zinajiqndaa Na ku invest …. Wao Brazil wanabak na jina la zaman

Kikosi kizima kina mabishoo
Halaf kwa sasa Brazil wanachukua majina ambao washakuwq mabishoo kama kina Neymar

Zaman walikuwa wanaibua vipaji kutoka Uswahilini na
Kuwapa uwezo kama kina ronadinyo miaka hiyo … Yaani watu wanafanya kumsikia kwa mara ya kwanza in World Cup

Sisi wa Canada tumekosa tu striker wa maana

Kombe linaenda France this time
Sizani kama france anabeba kombe hili kombe linaenda tena amerika kusini
 




UEFA statement on the Balogun case
Monday, July 6, 2026


Media Releases
Statement on decision related to Folarin Balogun

UEFA statement on the Balogun case
UEFA statement on the Balogun case
©UEFA.com
" Yesterday’s decision to suspend for a probationary period of a year the implementation of the one-match automatic suspension following the red card issued to the player Folarin Balogun crossed a red line.

Football, like any other sports, relies on rules, which are the basis for fair, honest and transparent competition. Sometimes rules are open to interpretation. In this case not. A minimum automatic suspension of one match following a red card is not a discretionary option and does not require the decision of a competent body to be enacted. It is a principle embedded in regulations, which cannot be made subject to exceptions, let alone in the middle of a tournament where several other players have been in the same situation and regularly served their suspension.

When the certainty of rules is no longer guaranteed by its guardians, the integrity of the game is at stake and the credibility of a competition is undermined. Equally, such decision creates a precedent in the ongoing tournament, where similar situations will now require an equal treatment, to the detriment of the competition.

Football is the most loved sport in the world because it is a beautiful game and is trusted because it is played everywhere with the same laws. A tournament is never a pure standalone and, if the tournament in question is the World Cup, it has the power to drive positive or negative consequences on the game as a whole.

We express our disbelief at such an unprecedented, incomprehensible and unjustifiable decision."
 
Mwanafalsafa mmoja anaitwa Machiavelli alisema "The end justifies the means".

Mjadala wa nani ni bora zaidi umehitimishwa na Matokeo ya mwisho...
kwani CR7 na Messi walipoanza kucheza mpira waliwaarifu mashabiki kuwa wameanza kushindania kuwa nani bora kama si sisi tu wamatumbi kupenda kulinganisha? ronaldo amefanya kile awezacho bila kuangalia wala kujifananisha na yeyote,vilevile kwa messi,inakuwaje nyie mnawalinganisha? kwa nini msijilinganishe ninyi kwa ninyi namna mlivyofanikiwa mkaachana na mafanikio ya messi na ronaldo? Niwaulizeni, kipindi anacheza ronadinho gaucho mlikuwa mnamlinganisha na nani?Acheni uzwazwa,kila mtu anastahili heshima.
 
Back
Top Bottom