2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

A very BIG POINT, nilikuwa nabishana na washkaji hapa, ukibaki kuzuia utafungwa TU au utasababisha fouls za kufungwa

Egypt walipaswa waache washambuliaji watatu au wanne kule mbele ili Argentina wasijae golini kwao
Exactly!

Unapoweka shinikizo la mashambulizi maana yake ni kwamba unaizuia timu pinzani kufanya mashambulizi kwako.
 
Back
Top Bottom