joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,386
- 41,494
Sasa kwanini asingepiga krosi ukizingatia walikuwa na no nzuri kwenye boksi.Ndio uwezo. Sio kwamba kachoma. Egypt huwa wanachoka mwishoni kama timu nyingi za Afrika. Kila mtu kachoka hapo.
Sasa kwanini asingepiga krosi ukizingatia walikuwa na no nzuri kwenye boksi.Ndio uwezo. Sio kwamba kachoma. Egypt huwa wanachoka mwishoni kama timu nyingi za Afrika. Kila mtu kachoka hapo.
NevaImagine 🤣🤣
Wew unavyona misri walikua hawaitaji subs.Amtoe nani sasa mkuu. Sio kila ubovu jibu lake ni sub. Egypt siwadai hawajakosa clear chance yeyote, hawajapaki basi, hawajaacha kushambulia.
NAWAKUMBUSHA TU vitukuu vya babu RonaldoNyie wajukuu wa kikongwe Ronaldo, mtake msitake Argentina anashinda hii game, iwe kwa halali au dhuluma 🤣😂 GOAT hawezi kutolewa na Egypt. Yaani leo hata red card itatoka tu ili Messi afuzu
Nimevunjika moyo Shadeeya yaani siku zote timu zetu ndio hazina bahati!?Sesten Zakazaka uko wapi kwani? 🤪
Daah! Hatimaye Mtani.Game over🔥🔥🔥🔥 @ shadeeya
Kweli, fifa ni yenu kweliFIFA boys katika ubora wetu mamaeh
View attachment 3624490
Exactly!A very BIG POINT, nilikuwa nabishana na washkaji hapa, ukibaki kuzuia utafungwa TU au utasababisha fouls za kufungwa
Egypt walipaswa waache washambuliaji watatu au wanne kule mbele ili Argentina wasijae golini kwao