Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,686
- 130,505
Unabeza?Eti hatua ya makundi🤣🤣🤣
Nipe stats za Mr Pimbi dhidi ya Spain akiwa na shot on target, namimi nikuoneshe manonyo ya nyoka
Unabeza?Eti hatua ya makundi🤣🤣🤣
Penaldo angekutana na Spain kwenye fainali asingegusa hata mpiraUnabeza?
Nipe stats za Mr Pimbi dhidi ya Spain akiwa na shot on target, namimi nikuoneshe manonyo ya nyoka
Angalia hii table inaonesha top scorers wa Laliga, Ronaldo ndio ana wastani mkubwa wa kufunga goli kwenye kila mchezoNenda kaangalie nani ana wastani mkubwa wa kufunga
Kwani utofauti wa 16 na fainali ni nini, ikiwa kuruhusu kufungwa kunakufanya utolewe nje ya mashindano?Penaldo angekutana na Spain kwenye fainali asingegusa hata mpira
Tupe kwa jumla sio La liga peke yakeAngalia hii table inaonesha top scorers wa Laliga, Ronaldo ndio ana wastani mkubwa wa kufunga goli kwenye kila mchezo View attachment 3636600
Subiri kwanza huyo mchezaji wenu afike hata fainali moja ya kombe la dunia kisha ndio tujaribu kumfananisha na GOAT mwenye fainali 3Kwani utofauti wa 16 na fainali ni nini, ikiwa kuruhusu kufungwa kunakufanya utolewe nje ya mashindano?
Jamaa Hadi nations league anaihesabu ni Moja ya mafanikio ya babu la kireno, jamaa hayupo serious huyuUnazungumzia ile fainali ya kombe la CHAN la Ulaya🤣🤣🤣
Hapa tunaongelea makombe ya maana sio mabonanza
Anafikaje na anastaafu mda sio mrefuSubiri kwanza huyo mchezaji wenu afike hata fainali moja ya kombe la dunia kisha ndio tujaribu kumfananisha na GOAT mwenye fainali 3
Kwa ujumla weka wewe.Tupe kwa jumla sio La liga peke yake
Wachezaji waliofika fainali ni zaidi ya 1,000Subiri kwanza huyo mchezaji wenu afike hata fainali moja ya kombe la dunia kisha ndio tujaribu kumfananisha na GOAT mwenye fainali 3
Sasa kama ndio hivyo basi mtakuwa mnakubali kuwa zile mechi za Argentina dhidi ya Algeria, Misri, Cape Verde, Austria hazikuwa na ubora wowote.Jamaa Hadi nations league anaihesabu ni Moja ya mafanikio ya babu la kireno, jamaa hayupo serious huyu
Portugal huko wameandamana wanataka jamaa acheze.Anafikaje na anastaafu mda sio mrefu
Ana mbili vipi Penaldo alishawahi hata kuhisiwa?
Kumbe jambajamba mwenzetu uliziona mapema.Hii jambajamba wanayopewa Spain wawe makini
Sawa tufanye mimi ni muongo maana siweki fact basi wewe weka fact kuonyesha Ronaldo ana wastani mkubwa wa kufunga kuliko Messi🤣🤣🤣Kwa ujumla weka wewe.
Hakuna sehemu umeweka fact ambayo iko supported na ushahidi afu unataka uaminike.
.
Za kupewa zile sio za kustahili.Ana mbili vipi Penaldo alishawahi hata kuhisiwa?
Hata mchezaji mwenye ballon d'Or 8 ni mmoja tu🤣🤣🤣🤣Wachezaji waliofika fainali ni zaidi ya 1,000
So hakuna kitu kitu kipya hapo.
Ila mchezaji mwenye magoli 976 ni mmoja tu.
Hata mabao ya Ronaldo yakupewaZa kupewa zile sio za kustahili.
Ndio maana alivyonyimwa ya awamu hii kaenda kumu unfollow kabisa baba yake.
Mimi nimewekaSawa tufanye mimi ni muongo maana siweki fact basi wewe weka fact kuonyesha Ronaldo ana wastani mkubwa wa kufunga kuliko Messi🤣🤣🤣