2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nenda kaangalie nani ana wastani mkubwa wa kufunga
Angalia hii table inaonesha top scorers wa Laliga, Ronaldo ndio ana wastani mkubwa wa kufunga goli kwenye kila mchezo
Screenshot_20260725-135701.png
 
Kwani utofauti wa 16 na fainali ni nini, ikiwa kuruhusu kufungwa kunakufanya utolewe nje ya mashindano?
Subiri kwanza huyo mchezaji wenu afike hata fainali moja ya kombe la dunia kisha ndio tujaribu kumfananisha na GOAT mwenye fainali 3
 
Subiri kwanza huyo mchezaji wenu afike hata fainali moja ya kombe la dunia kisha ndio tujaribu kumfananisha na GOAT mwenye fainali 3
Wachezaji waliofika fainali ni zaidi ya 1,000

So hakuna kitu kitu kipya hapo.

Ila mchezaji mwenye magoli 976 ni mmoja tu.
 
Jamaa Hadi nations league anaihesabu ni Moja ya mafanikio ya babu la kireno, jamaa hayupo serious huyu
Sasa kama ndio hivyo basi mtakuwa mnakubali kuwa zile mechi za Argentina dhidi ya Algeria, Misri, Cape Verde, Austria hazikuwa na ubora wowote.

Na nambaza zozote alizopata Messi kwenye ile mechi hazipaswi kusimama kama takwimu kwasababu hazina ushindani.

Mnakubali?
 
Anafikaje na anastaafu mda sio mrefu
Portugal huko wameandamana wanataka jamaa acheze.

Kitu ambacho mimi na wewe tuna uhakika nacho ni kwamba hata katika age ya uzee bado Ronaldo hawezi maliza mechi bila shot on target.
 
Kwa ujumla weka wewe.

Hakuna sehemu umeweka fact ambayo iko supported na ushahidi afu unataka uaminike.
.
Sawa tufanye mimi ni muongo maana siweki fact basi wewe weka fact kuonyesha Ronaldo ana wastani mkubwa wa kufunga kuliko Messi🤣🤣🤣
 
Wachezaji waliofika fainali ni zaidi ya 1,000

So hakuna kitu kitu kipya hapo.

Ila mchezaji mwenye magoli 976 ni mmoja tu.
Hata mchezaji mwenye ballon d'Or 8 ni mmoja tu🤣🤣🤣🤣
Na mwenye golden balls 2 world cup ni mmoja tu🤣🤣🤣
 
Sawa tufanye mimi ni muongo maana siweki fact basi wewe weka fact kuonyesha Ronaldo ana wastani mkubwa wa kufunga kuliko Messi🤣🤣🤣
Mimi nimeweka

Na kuna takwimu zingine hutaki kabisa kuziongelea hata kwa hiyo hiyo staili yako ya maneno matupu bado nakuona unapiga chenga.

Hili swala la kukosa shot on target/off target kwa dakika 90 nataka tulijadili kwa mapana yake.

Nitajie timu ya hapa NBC iliyowahi kumaliza mechi kwa dakika 90 ikiwa haina shot on/off target.
 
Back
Top Bottom