2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Umeanza kuchanganyikiwa sasa 🤣 kuchukua WC ni bonus??? Hilo kombe sio NBC ujue, sio UEFA.
Hilo kombe hata mchezaj akikaa benchi tu wakati wa michuano basi ataji feel proud.
Nikuambie tu 2030 Ronaldo atarudi kwenye haya mashindano akiwa kama coaching staff au technical bench au mhamasishaji ili tu aone kama ataweza kubeba kombe
Tokapa unanipotezea muda
 
Ronaldo ni goti au sio?
FB_IMG_1782544911990.jpg
 
Mwanafalsafa mmoja anaitwa Machiavelli alisema "The end justifies the means".

Mjadala wa nani ni bora zaidi umehitimishwa na Matokeo ya mwisho...

Sio kila anayeitwa mwanafalsafa basi nukuu zake zinatakiwa kuchukuliwa serious.

Nyie ndio mnakujaga kutapeliwa.

Wengine ni psychopath

Ni sawa na watu walioko nje ya JF wana amini JF kuna watu wenye akili kubwa na fikra pana.

Watu hao wanakuwa wana amini hivyo kwasababu hawajakuona wewe na ndugu zako hapo juu.
 
Back
Top Bottom