Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,695
- 130,554
Tokapa unanipotezea mudaUmeanza kuchanganyikiwa sasa 𤣠kuchukua WC ni bonus??? Hilo kombe sio NBC ujue, sio UEFA.
Hilo kombe hata mchezaj akikaa benchi tu wakati wa michuano basi ataji feel proud.
Nikuambie tu 2030 Ronaldo atarudi kwenye haya mashindano akiwa kama coaching staff au technical bench au mhamasishaji ili tu aone kama ataweza kubeba kombe