Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,690
- 130,507
Mimi simdai kitu.Mimi GOAT wangu nilikua namdai wedikap, akaichukua 2022 maana ndio kilichokua kimebaki, wewe wako Bado unamdai na hiyo inakupain sana kwenye uwanda huu wa soka la DUNIA kuona kashazeeka ndoto zimezama.
Labda huyo GOAT wako ili aweze kukaa kwenye uzani sawa na Ronaldo at least akacheze EPL na a-maintain ubora
Akitoka hapo aende Italy kwenye ligi yenye mabeki wagumu aka shine na huko.
Baada ya hapo akachukue na UEFA 3
Hapo tutakuwa sehemu sahihi kufanya comparison.