Nadhani kama anajua akishindwa hatotoka basi atakachofanya huyo mfalme wenu ni kuweka mazingira ya kutoshindwa kabisa,Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.
Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.
Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa? Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli?
Yani wenzenu tuna mawazo!!!!
Unajua hapa,ndio unaelekea kudhihirisha ile ratio ya 4:1Tuambieni msitoe matapishi kamanda. Akiwa ameshindwa ni nani unadhani kati ya hawa waliopo atakuwa amechaguliwa na wananchi kwenda ikulu. Manake msitupige na mapropaganda yenu yasiyokua na vichwa wala miguu. Kuweni wazi. Mzee atashindwa na fulani atakua rais,. Msiogope kutukanwa
Hizi thread ndiyo zinazoponza akina Melo kuhangaika na kesi. Sababu anaambiwa kuwafichua, anawaonea haya na kuogopa lawama! Hakuna wazo jipya kuweza kujadiliwa na wanaforum, isipokuwa ni utawala kwa kejeli?
Mkuu,bado hatujafikia ukurasa huo.Shida sana, chama kinataka kuiondoa CCM madarakani huku kikiruhusu robo tatu ya wabunge toka CCM, na zaidi ya robo tatu ya madiwani CCM, hizo ni ndoto za mchana, upinzani ukuweza kupata zaidi ya 50% ya wabunge CCM itaachia madaraka, lakini kwa kupiga tu kelele kila uchaguzi kuwa kura za urais zimeibiwa ni ujuha!
Angalau umediriki kusema ukweli,id fake rahaa sanaNadhani kama anajua akishindwa hatotoka basi atakachofanya huyo mfalme wenu ni kuweka mazingira ya kutoshindwa kabisa,
Yaani afe kipa, afe beki yeye kushindwa hakutokuwepo kwa vyovyote vile na kwa namna yoyote ile
Ndio tuanze kujifunza mbinu za kukwepa mkono wa sheria[emoji23] [emoji23] [emoji23]........Kumbe siku JF tukidukuliwa na bwana yule bado tuna njia nyingi za kuwasilisha mada zetu!
Ata mimi nimecheka jf hapana !yaan huu uzi nimejikuta nacheka tu nikisoma coment za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani anamkwamisha na wakati hela za tetemeko kanunulia ndegekwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
Yeye mwenyewe amesema urais mgumu anatamani aache hata Leo wewe wampangia mpaka2025Magufuli ni hadi 2025
Yeye mwenyewe amesema urais mgumu anatamani aache hata Leo wewe wampangia mpaka2025
Shein yupo hadi Leo hiyo Albadri ni kwa mkristo tu?Hata kafara tutafanya
Masheikh na waganga watausika tutasoma albadri ya kufa mtu mpaka atoke
Anawatumbua tu 'tumbwi'. sasa hapo sijui unataka nini zaidi. au ulitaka awe anawapanga mstari anaita mmoja baada ya mwingine. kutumbuliwa bila shaka ni maumivu makali ila ndio matibabu sahihi ya jipu.Kumkwamisha au kujikwamisha yeye mwenyewe. Ivi nikuulize tokea aongee kuhusu wapiga dili Alisha wahikumtaja hata mmoja?
Na hii ni hatari sana maana chuma kinaweza kumkuta na kumsabaratisha mgombea/wagombea wa vyama vyote. Chuma hakichagu hali inapokuwa si shwari!Ana askari na wanajeshi. Hawaangalii pa kupiga