Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,759
[emoji23] [emoji23] [emoji23]........Kumbe siku JF tukidukuliwa na bwana yule bado tuna njia nyingi za kuwasilisha mada zetu!
Na wewe ni muathirika nini.?? Itakuwa hivyo.!! Basi vumilia tuTeh teh teh kazi ya kuteua kutumbua na kuteua
Na alivyo na ubishi sijui itakuweje!Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.
Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.
Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa? Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli?
Yani wenzenu tuna mawazo!!!!
Kumkwamisha au kujikwamisha yeye mwenyewe. Ivi nikuulize tokea aongee kuhusu wapiga dili Alisha wahikumtaja hata mmoja?kwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
raisi gani huyo mkuukwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tumieni nguvu ya umma, la sivyo hatotoka. Hata huku kijijini kwetu yupo tunamngoja 2020
hahahahaAtashinda Kwa Kishindo na Atarudi , Dua la Kuku Halimpati Mwewe [emoji23]
basi utaratibu huo ni mzuri sana na utaleta nidhamu kwa viongozi wapenda vingora.Nasikia yule mfalme wa kile kijiji cha kule Gambia kaambiwa kama hutaki kuachia kigoda basi watatumiwa sungusungu wa kijiji au vijiji vya jirani kumuondoa kwenye kigoda. Nadhani huo utaratibu ndio sasa umeanza kutumika kwa wale waliko weka gundi aina ya superglue kwenye makalio ili wakikalia vigoda viwe vimeng'ang'ania na waseme mbona hakitoki sasa mimi nifanyeje?
Unajipa shida sana kuwaza ya 2020 kama mimi nilivyojipa mateso miaka karibia kumi kwamba Chadema wako serious na kupambana na ufisadi kumbe hawana lolote,Magufuli na hizo chuki zako tele lakini ataongoza miaka kumiMwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.
Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.
Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa? Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli?
Yani wenzenu tuna mawazo!!!!