2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

Nadhani kama anajua akishindwa hatotoka basi atakachofanya huyo mfalme wenu ni kuweka mazingira ya kutoshindwa kabisa,
Yaani afe kipa, afe beki yeye kushindwa hakutokuwepo kwa vyovyote vile na kwa namna yoyote ile

Ili aendelee kufunga watu???
 
Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.

Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.

Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa?

Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli? Yani wenzenu tuna mawazo.!
ATATOKA TU KWA STAILI YOYOTE
 
Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.

Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.

Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa?

Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli? Yani wenzenu tuna mawazo.!

kwani 2020 kuna uchaguzi.? kutakuwa na kumuidhinisha tu JPM aendelee na muhula mwingine. maana mpaka sasa JPM kashakubalika na hana upinzani kabisa. labda tujadili 2025 atagombea nani CCM.
 
kwani 2020 kuna uchaguzi.? kutakuwa na kumuidhinisha tu JPM aendelee na muhula mwingine. maana mpaka sasa JPM kashakubalika na hana upinzani kabisa. labda tujadili 2025 atagombea nani CCM.
Sasa mawe ya nini mnarusha
 
JAMAA NASIKIA MAREKANI INATAKA KU HACK DATABASE YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ILI KUMUINUA TAL
 
JAMAA NASIKIA MAREKANI INATAKA KU HACK DATABASE YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ILI KUMUINUA TAL
Hawawezi coz kwenye level ya halmashauri ambako matokeo yanachakachuliwa hawatumii digital database. Kule karatasi zikiishahesabiwa mkurugenzi anachakachua then figure chakachulifu inatumwa NEC
 
Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.

Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.

Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa?

Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli? Yani wenzenu tuna mawazo.!
Hayawi hayawi .................!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom