2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

kwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
Ndio maana mnafeli mitihani. Hapa anazungumzwa Mfalme wa kijiji huyo rais unauemzungumzia wewe ni nani?
 
Nikiona avatar yako nakumbuka maeneo fulan pale Rumba chini na kibogwa juu...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nasikia yule mfalme wa kile kijiji cha kule Gambia kaambiwa kama hutaki kuachia kigoda basi watatumiwa sungusungu wa kijiji au vijiji vya jirani kumuondoa kwenye kigoda. Nadhani huo utaratibu ndio sasa umeanza kutumika kwa wale waliko weka gundi aina ya superglue kwenye makalio ili wakikalia vigoda viwe vimeng'ang'ania na waseme mbona hakitoki sasa mimi nifanyeje?
Ninaomba sheria hii itumike kumtoa Kaguta, yeye ameota mizizi kabisa kwenye kigoda.
 
Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.
Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.
Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa? Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli?
Yani wenzenu tuna mawazo!!!!
Inaelekea tupo kijiji kimoja . .
Mfalme wetu hataki hata tumwambie lolote kuhusu njaa tuliyonayo, ukimtuma hata mjumbe wa kata akamweleze tulivyopigika ..., yeye anamjibu kuwa wananchi wake walizoea kupiga dili, sasa eti wacha tulimie meno ...
 
Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.
Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.
Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa? Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli?
Yani wenzenu tuna mawazo!!!!
Hahahaha. Hiz ndoto za mchanaa. Sasa tuambie atakapokua ameshindwa nani unadhani ambae ndie atakuwa ameshinda. Tuanzie hapo. Au una maana kutakuwa na mshindi hewa??
 
Tumieni nguvu ya umma, la sivyo hatotoka. Hata huku kijijini kwetu yupo tunamngoja 2020
Tuambieni msitoe matapishi kamanda. Akiwa ameshindwa ni nani unadhani kati ya hawa waliopo atakuwa amechaguliwa na wananchi kwenda ikulu. Manake msitupige na mapropaganda yenu yasiyokua na vichwa wala miguu. Kuweni wazi. Mzee atashindwa na fulani atakua rais,. Msiogope kutukanwa
 
Hata kafara tutafanya


Masheikh na waganga watausika tutasoma albadri ya kufa mtu mpaka atoke
Akishatoka ikulu itabaki empty sio... au..nani atakua anachukua nafasi yake.
 
Mimi Niko Gambia, wa huku kakataa matokeo.
Si haki yake ya kikatiba. Sheria si zipo zina govern haya. Kuna tatizo gani. Hiyo ndio demokrasia iliyoiva. Kama ana vigezo vya ku justify hayo why not
 
Tatizo ukawa wamekuwa wakala wa mafisadi hawafai tena kuwapa nchi
Pamoja na mapungufu ya aliyepo....bora tuendelee kukomaa naye hivyo hivyo
 
kwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.

Teh teh teh kazi ya kuteua kutumbua na kuteua
 
Tumieni nguvu ya umma, la sivyo hatotoka. Hata huku kijijini kwetu yupo tunamngoja 2020
Unajuaje kama nguvu ya umma wote wako against yeye. Mnajidanganya sana na mandoto yenu. Hahahahah. Eti nguvu ya umma. Unajua asilimia sasa 85 ya wananchi wanam support mzee kwa sasa. Nyie wapiga dili ndio asilimia ndogo iliyobaki. Sasa mtamuwezaje. Makelele meeengi lakini mko wachache sana!. Sasa hiyo nguvu ya umma itatoka wapi. Umma upo na kiongozi wa nchi kwa taarifa yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom