2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

Huyu mfalme wa kijijini kwetu akishindwa uchaguzi na akatoka kwa hiari yake, nitatembea uchi wa mnyama toka Mbinga hadi Mwanza.
 
Kabla haujaenda mbali kwani 2015 alishiriki? Pili kwa katiba na tume yetu wapinzani wasahau
 
Bila katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi, 2020 Ni maigizo na Ukawa wakiingia kwenye Uchaguzi kwa lengo la Kuishinda CCM kwenye Urais itakuwa ni Kujidanganya sana! Na Upumbavu wa Kutisha. Magufuli hata kama akilata kura 5 kwa mazingira yalivyo Atatangazwa Kashinda tena kwa asilimia 81. Yaani hamkuelewa Code Language aliposema Jecha Apewe tuzo?

Mimi Najua jinsi ya Kuishinda CCM 2020, na Jinsi ya Kuifanya CCM kuleta katiba mpya na Tume mpya ya Uchaguzi kabla ya 2020 na Iwapo katika Mazingira hayo CCM wakishinda Urais kwa kuwa wamemweka Mgombea madhubuti na anayekubalika kwangu sawa tu. Ukawa wanitafute.
 
kwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
Mmh mimi sijui kusoma au, ni kama sijaona neno rais kwenye huu uzi! Ngoja nikanawe uso nitarudi
 
Dikteta Mkuu tangu lini akakubali kushindwa kwenye uchaguzi? Huoni kaanza maandalizi mapema ya kuweka mazingira bora ya kushinda ushindi wa Tsunami kwanza kwa kuvidhoofisha vyama vya UKAWA, "hakuna mikutano mpaka 2020" kuidharau katiba ya nchi na mazoezi ya polisi mtaani ili kututia hofu Watanzania. Nahisi tutakapokuwa tunakaribia 2020 mazoezi haya yataongezeka nchi nzima. Kila wiki ili kutuonyesha ubavu wa vyombo vya dola.

Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.

Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.

Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa?

Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli? Yani wenzenu tuna mawazo.!
 
kwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
Una tabia zote za kichawi...
Angalia ni wangapi humu hawamtaki? kisha utafute mazombi wenzako wanaounga mkono, asiyetaka kukosolewa ndo anaona alizaliwa kuwa mungu mtu, jitambue ju*ha wewe.
 
Mbona naishi hapa kijijini lakini sijabahatika kumuona mfalme..?
 
1482092612350.jpg
 
Una tabia zote za kichawi...
Angalia ni wangapi humu hawamtaki? kisha utafute mazombi wenzako wanaounga mkono, asiyetaka kukosolewa ndo anaona alizaliwa kuwa mungu mtu, jitambue ju*ha wewe.
Anakataa kukosolewa na watumbuliwa wapiga dili na nyumbu wasaka malisho. eti kwenye mitandao hawamtaki. wee lofa kwelikweli.
 
tatizo sio yeye kuachia uongozi,tatizo tume itakubali kusema ukweli au itapokea maelekezo kutoka juu
Mwaka 2020 kuna uchaguzi kijijini kwetu, mfalme anayetawala sasa ni katili, ashauriki na kila mtu anamuogopa, mpaka wasaidizi wake wa karibu kabisa.

Wananchi hawajui kesho yao hapa kijijini. Hali ya maisha imekuwa ngumu hamna mfano.

Bado tuna mashaka, kwa jinsi watu wanavyomuogopa hivi, 2020 iwapo atashindwa kwenye uchaguzi kuna atakayethubutu kumwambia kuwa umeshindwa?

Hata akiambiwa umeshindwa atakubali kutoka ampishe aliyeshinda kweli? Yani wenzenu tuna mawazo.!
 
kwenda zako wewe hata aibu huna. mumekaa kutumika na mtu anayeamini kazaliwa awe rais. uchaguzi juzi rais na serikali yake wanafanya kazi mumekaa kumkwamisha. 2020 ndio hampati kitu mtabakia kulialia zaidi.
Halafu wataanza kuisingizia katiba,nyumbu bwana kulialia ndio zao tushawazoea.
 
Halafu wataanza kuisingizia katiba,nyumbu bwana kulialia ndio zao tushawazoea.

Kwani uchaguzi si unasimamiwa na Wakurugenzi wa halmashauri .... ! wote kwanini watokane na CCM km nia sio kuitumia serikali kukataa vyama vingine?

Halafu rais anazuiwaje kufanya kazi? Wakati anaidadi kubwa bungeni... hivi watu km nyie mlisoma tanzania au ni wahamiaji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom