Zanzibar Wanapiga kura ya mapema kwa watu maalumu na kura ya watu wote siku ya pili.
Maswali kwa ZEC
1. Tume itabandika majina ya watu hao maalumu wanaotakiwa kupiga kura ya mapema kwenye vituo. Je, tume itayajuaje majina ya watu maalumu hadi iyabandike vituoni?
2. Kama tume inayafahamu majina...