ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 606
- 1,540
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad hivi sasa yuko katika Kiwanja cha Mnazi Mmoja Unguja kuhitimisha Kampeni zake za kuelekea Ikulu.
Maalim Seif akiingia Kiwanja cha Mnazi Mmoja
Wanawake hawako nyuma katika shughuli ya kumpeleka Maalim Seif Ikulu
Sehemu ya Umati wa watu waliojitokeza leo kwenye Mkutano wa Mgombea Urais wa Zanzibar
Maalim Seif akiingia Kiwanja cha Mnazi Mmoja
Wanawake hawako nyuma katika shughuli ya kumpeleka Maalim Seif Ikulu
Sehemu ya Umati wa watu waliojitokeza leo kwenye Mkutano wa Mgombea Urais wa Zanzibar