Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
" Lakini ukweli lazima usemwe kwa sasa tuna pambana kukaa juu ya Namungo na kwenye FA tu habari za ligi na nafasi ya pili zili komea jumapili, " Anton Nugaz.
Na kwa Kuwakumbusheni tu ili UTOPOLO FC msisahau Mnyama Mnyamani ( Simba Sports Club ) nikishinda tu Kesho dhidi ya Mchovu Mbeya City halafu Azam FC ama akatoka Sare au akafungwa na Kagera Sugar FC Mimi Jumapili nikishinda tena dhidi ya Maafande Magereza Wadhaifu Prisons FC basi nitakuwa ( nitatangazwa ) Bingwa wa mara Tatu Mfululizo na Kombe nalichukua moja kwa moja.
Mtanuna sana mwaka huu Kudadadeki zenu!
Na kwa Kuwakumbusheni tu ili UTOPOLO FC msisahau Mnyama Mnyamani ( Simba Sports Club ) nikishinda tu Kesho dhidi ya Mchovu Mbeya City halafu Azam FC ama akatoka Sare au akafungwa na Kagera Sugar FC Mimi Jumapili nikishinda tena dhidi ya Maafande Magereza Wadhaifu Prisons FC basi nitakuwa ( nitatangazwa ) Bingwa wa mara Tatu Mfululizo na Kombe nalichukua moja kwa moja.
Mtanuna sana mwaka huu Kudadadeki zenu!