yako

Yakō Station (矢向駅, Yakō-eki) is a passenger railway station located in Tsurumi-ku, Yokohama, Kanagawa Prefecture, Japan, operated by the East Japan Railway Company (JR East).

View More On Wikipedia.org
  1. P

    Kocha Benchika unaharibu CV yako

    Bila kupoteza muda moja kwa moja kwenye mada. Kwa mambo na mwendelezo wa jaribu tena FC aka makolo,kocha Benchika ni vema ukajitenga na timu hii kwa faida yako. Timu ipo kiuswahili Swahili sana na kuendeshwa kijanja janja. Msimuu huu hutaambulia taji lolote hapa utaenda kuchafua CV yako nzuri...
  2. B

    Je, unatafuta Vifaa (Accessories) kwa ajili ya Laptop au Desktop yako?

    𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿i 𝗡𝗱𝘂𝗴𝘂, 𝗝𝗘 𝗪𝗔𝗝𝗨𝗔👉👉👉👉🔥🔥 𝗕𝗜𝗚𝗜𝗧𝗘𝗖𝗛 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗲𝗮 𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘇𝗮 𝗩𝗶𝗳𝗮𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗞𝗼𝗺𝗽𝘆𝘂𝘁𝗮 ( 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 & 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽 ) 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝗦𝗶𝗺𝘂. 𝗧𝘂𝗻𝗮𝘂𝘇𝗮 𝗔𝗱𝗮𝗽𝘁𝗲𝗿, 𝗕𝗲𝘁𝗿𝗶, 𝗥𝗮𝗺, 𝗘𝘅𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 & 𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 𝗛𝗗𝗗 ( 𝘂𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 ), 𝗠𝗼𝘂𝘀𝗲, 𝗞𝗲𝘆𝗵𝗼𝗮𝗿𝗱, 𝗩𝗶𝗼𝗼, 𝗦𝘆𝘀𝘁𝗲𝗺 𝗖𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲, 𝗛𝗱𝗺𝗶, 𝗩𝗚𝗔, 𝗗𝗩𝗜 𝗰𝗮𝗯𝗹𝗲𝘀, 𝗖𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮, 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 𝗻𝗮 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽. 𝗣𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝗼𝗮 𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮...
  3. Nyendo

    Mara yako ya mwisho kupiga kura ilikuwa mwaka gani? Kwanini?

    Kuna watu wamepoteza ari ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu. Wapo wanaosema waliacha kwa kuwa hawana imani kama kura wanazipiga ndizo zinaamua mshindi, wanaona kama uchaguzi ni kiini macho tu hivyo wamekata tamaa ya kushiriki. Wengine wakidai wanajichosha...
  4. hatym

    INAUZWA Imarisha afya yako ukiwa nyumban na mashine za mazoezi

    ubusy wa kazi unafanya tusahau sana afya zetu,foleni barabarani unafika nyumban muda umeenda na unashindwa kutoka na kwenda gym au kukimbia barabaran, lakini vipi ukiwa na mashine ya kukimbia nyumban kwako na ukatumia dakika 25 mpaka 45 jioni au asubuhi kabla ya kutoka? Utakuwa umefanya...
  5. Lady Whistledown

    Mara yako ya Mwisho kumaliza dozi ulipougua ni lini?

    Je, unazingatia 'dozi' unapoandikiwa na Daktari? 'Kuzingatia dozi' hujumuisha.... Kutumia dawa kwa Kipimo sahihi Kumeza/Kunywa Dawa kwa wakati Kumaliza dozi kamili Kutotumia dawa nyingine kujitibu Kuzingatia dozi ya dawa kunajumuisha kufuata maelekezo ya daktari au maelekezo yaliyomo...
  6. uhurumoja

    Ukitaka kwenda mbali nenda peke Yako ukitaka kwenda mbali sana nenda na wengine

    Wakuu kichwa Cha habari kinajieleza vizuri ,wote tumeona yaliyotokea ijumaa ambapo team zetu pendwa ziliondolewa katika cafcl Ukweli ni kwamba hakuna vibe zuri kama la cafcc na Cafcl Sasa tumelikosa huku tukiwaangalia wengine wakisonga mbele Kwa Sasa ni wito wangu kwa Yanga na Simba linapokuja...
  7. B

    Je unaelewa haya Kuhusu Betri kwenye Laptop yako..?

    Dondoo Mbalimbali Muhimu kwa Kuhusu Betri ya Laptop..!! 1. Je unajua Kuwa Unaponunua Betri Mpya Yafaa Uichaji kwa Dk. 20 kabla ya kuanza kujaribisha? Maana Betri nyingi zinakuwa Hazina Chaji. Hii husaidia katika utunzaji wa Betri ya Laptop yako. 2. Je unajua Kuwa kupata Joto sana...
  8. MNEKI

    Unasikiaga wanasema hakuna aijuaye kesho, si kweli. Nioneshe hivi vitu vitatu na mimi nitakuonesha kesho yako

    1. Nioneshe vitu unafuatilia mara nyingi mitandaoni au page unazo-follow (Insta, Facebook, WhasApp, TikTok n.k.) 2. Nioneshe marafiki zako angalau watano tu. 3. Nioneshe ratiba yako ndani masaa 24 ya siku
  9. Grahams

    Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

    Suala la Kuoa ama kuolewa bado litaendelea kuwa ni hitaji muhimu miongoni mwa Jamii ya watu wengi Ulimwenguni. Kwa Tanzania, tunazo Ndoa za aina mbalimbali ambazo zinatambulika kisheria ambazo ni Ndoa za Kidini, Kimila na Kiserikali. Mara baada ya kufunga Ndoa, maharusi wengi Kwa kushirikiana...
  10. Unique Flower

    Msaada ndio unachukuliwa riziki zako

    WAtu wengi wanajua waganga wanasaidia . Ila waganga hawasaidii waganga wanachukua mazuri yako anampa mteja wake mwaminifu halafu wewe anakusaidia some how unaona afadhali ila ukija jua kachukua nini au umeloose nini? Unazimia . Saivi maisha ya watu wengi yamezorota kisa kwenda kwa waganga cha...
  11. Prophet of Nations

    Unawezaje kuanza ujenzi wa nyumba yako Tanzania?

    Unahitaji kuwa na kiwanja hatua inayofata nikutuona sisi wataalamu wa uchoraji ramani zakisasa za nyumba ya ndoto yako kisha utapata vibali vya serikali na kuanza ujenzi wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi simu /whatsapp +255 717 040837 au 0767267664
  12. P

    Uko tayari mtoto wako aoe au kuolewa na mtu mweye tabia kama zako?

    Kila mtu anajujua tabia zake, kama wewe ni mwanamke je uko tayari mtoto wako wa kiume aowe mwanamke mwenye tabia zako? Na wewe mwanaume uko tayari mtoto wako wa kike aolewe na mwanaume mwenye tabia kama zako?
  13. N

    Jinsi ya kunywa wine yako

    Unapoitia mdomoni unaiskilizia fleva yake unaivuta kama Kwa sekunde tano mdomoni kisha unaipitisha taratibu katika koo na kuisikilizia Ladha ya kipekee ya mvinyo. Kwanini tunajiumiza Kwa mabia na mapombe makali wakati kuna kinywaji Safi cha wine hata ukijipatia vi image vyako vitatu vya baridi...
  14. Zero Competition

    Mpenzi wako akikukosea jitahidi usiwe wa kwanza kumtafuta ili kulinda heshima yako

    Wawili mnapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi suala la kugombana ni kitu cha kawaida na mkiona mna zaidi ta miaka miwili au mitatu hamjawahi hata kugombana basi ujue kuna tatizo katika mahusiano yenu. Inawezekana kwakua unampenda sana mwenzako inafikia wakati hata mkigombana kwa kosa...
  15. M

    Kuna nguvu gani muda wa asubuhi? Ni kama ndio inaamua siku yako nzima itakuwaje

    Habari za mchana wakuu. Kama thread inavyojieleza hapo juu kwanini kama ukikwazika asubuhi basi siku yako nzima utashinda vibaya na mihasira yani siku itakuwa mbaya kweli. Leo asubuhi kabisa kuingia tu ofisini nimekutana na incidence kutoka Kwa staff mwenzangu, nilikwazika na kuumia sana...
  16. N

    Ni mambo gani huwezi kufanya au kumwambia mama yako mzazi

    Kwa wale ambao mmepata neema ya kuwa na mama Mpaka sasa Hivi ni mambo gani haupo comfortable kabisa kuzungumza na mzazi wako labda itokee yeye aanzishe. Mimi binafsi yako mengi ila.:- 1.Siwezi kupiga picha na mama ya pamoja labda itokee bahati mbaya tumepiga ile ya familia pamoja ila sisi mimi...
  17. L

    Hongera Lema kwa kuiacha familia yako Canada maana Arusha sasa iko moto

    Arusha iko moto kama Mamelodi Sundowns, winga Gambo winga Makonda mshambuliaji mzee Sabaya. Kwa kweli nakushauri Lema rudi Canada ukale hela za bure huko, we unawaambia watu ubunge sio kazi kwako halafu hapo hapo unatangaza kugombea tena kama sio uchizi ni nini. Unawaambia watu huwezi kwenda...
  18. Brain Kingdom

    Yako Wapi Sasa? Nilisema Paul Makonda (Bashite) ni Dekio tu Safari Imeanza

    Paul Makonda ni sikio la kufa lisilo na dawa, maisha ni haya haya Makonda atabaki kuwa ni Dekio tu, Hana hulka ya utulivu, Hana hulka ya staha na utii, Hana adabu, Hana heshima, Hana heshima ya umri. Hulka za kisukuma ni za kishamba sana, sasa mziki ndio umeanza taratibu ili Makonda ajue yeye...
  19. Laptop bei nafuu

    Je unasumbuliwa na uchache wa Port kwenye laptop yako?

    Kama laptop au computer yako ina port chache bas hii USB HUB itakusaidia kusulisha tatizo lako kwa kuweza kuchomeka flash disk zaidi ya 8 kwa wakati mmoja. Utaipata kwa Tsh 25,000 tu Pigasimu 0687391033 WhatsApp 0652565597
  20. Zee la madawa

    Mchumba wangu kaniambia "Mimi ni mzuri bwana nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari juu"

    Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo...
Back
Top Bottom