wazanzibari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Kero za Muungano: Ni wakati muafaka kwa Wazanzibari kufanya Referendum

    Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
  2. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Ni asilimia 21 tu zitaenda kwa Wazanzibari katika Nafasi 1,097 za kazi kutoka TRA, marekebisho yanahitajika

    Kwanza nitoe pongezi kwa serikali iliyosikia kilio cha vijana kwa kutoa ajira zaidi ya elf 1 TRA. Kama mnavyojua, Kwenye ajira wazanzibar hupewa asilimia 21, kwa hio katika hizi nafasi 1,097 ni sawa na wazanzibari 230 tu, 230 hao bado ni wachache kulingana na idadi kubwa ya vijana wanaomaliza...
  3. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Kwanini wazanzibari wengi weusi na machotara wanaikana asili yao

    Katika sehemu mbali mbali nimeona wazanzibar weusi na machotara wakikataa asili yao ya kutokea huku bara, sasa sijajua wanaukataa ukweli kwanini. Hapo zamani wafanya biashara wa watumwa walifika visiwa vya zanzibar na kulikuwa na watu wenye asili ya kibantu wachache kwenye visiwa hivyo, hawa...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazanzibari wamebobea kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza. Wabara mhh!!!

    Natanguliza shukrani zangu kwa JamiiForums kwa kazi nzuri mnayoifanya. Yaani mpaka nje ya nchi Watanzania na wasiokuwa utawakuta wanasoma na kutoa maoni katika mtandao huu maarufu. Hongereni sana. Sasa nije kwenye mada yangu. Sisi Wazanzibari tupo vizuri sana tena sana katika lugha zetu mbili...
  5. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Asanteni Wazanzibari kwa kuleta biashara Lamu port

    Undugu ni kufaana. Asanteni ndugu zetu Wazanzibari kwa kuleta biashara nzuri Lamu port. Wiki iliyopita Lamu port ilipokea containers 364 kutoka Ulaya zilizokuwa zinaelekea Zanzibar. Hii inaitwa transhipment business. Tunashukuru sana kwa biashara nzuri kati yetu. Sisi nasi tutaendelea kununua...
  6. Leak

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tusaidie Watanzania wote tuweze kumiliki ardhi Zanzibar

    Mh Rais, Bwana asifiwe! Nimatumaini yangu wewe ni mzima wa afya na sisi Watanzania tunaendele kukuombea uendelee kuwa na afya njema. Mh Rais wewe umeonesha wazi ni mpenda haki na ni wazi umeonesha unataka muungano ulio imara kabisa bila kujali chochote umehakikisha Wazanzibari wanapata nafasi...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi umetudhalilisha Wazanzibari. Waziri wa Michezo angetosha mazungumzo na Mamadou Sakho

    Nimeona aibu sana na niliondoka kimya kimya huku nikisononeka inakuwaje Rais wa Nchi anajidhalilisha kwa mcheza mpira? Au ndio ukisikia itifaki imezingatiwa ndio huku? Tena kwa red carpet kesho na kesho kutwa mchezaji anakunya mbovu inakuwaje hapo? Au kuna mtonyo wa 10% Kusema kweli ni aibu...
  8. safuher

    JamiiForums Tanzania Sio kweli kwamba Wazanzibari hawana makabila

    Suala la kwamba wazanzibari hawana makabila sio sahihi kabisa,wanayo makabila. Huu uzi siandikii ati kwa kuwa makabila yataleta manufaa yoyote kwa wazenji ama madhara yoyote,bali naandika kusahihisha ufahamu tu. Kwanza Kabila ni jamii ya watu yenye umoja fulani upande wa lugha na tamaduni, si...
  9. LaRosa

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto. Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa...
  10. Sarikiaeli

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi BAWACHA: Sharifa Suleiman aibuka kidedea Uenyekiti Taifa

    Mheshimiwa Susan Kiwanga na wenzake Monica Nsaro na Aisha Luja wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Kwa msingi huo, Sharifa ambaye ni kama makamu mwnyekiti wa Bawacha-Zanzibar, ndiye amechukua nafasi ya mheshimiwa Halima Mdee ya mwenyekiti wa Bawacha taifa...
  11. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari wana maisha mazuri kuliko watu wa bara

    Kuna kipimo cha kupima maendeleo ya binadamu, kinaitwa HDI (human development index). Hiki hupima elimu, umri wa kuishi na kipato cha mtu. Kinapima kuanzia 0 hadi 1. Tanzania yote kipimo hiki kinasoma 0.529. hii ni chini na ni alama ya umaskini na kutoendelea. Zanzibar kinasoma 0.72 na ni...
Back
Top Bottom