Charles Hilary ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu - Zanzibar

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu Kuna Mabadiliko Ya Nafasi kule Ikulu Zanzibar.

Charles Hilary ameteuliwa na Rais Mwinyi Kuwa DG mpya Wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar..

Kulikoni Wa Kwetu Huyu Van Mohammed Tena Kuliwa Kichwa?
Screenshot_20211230-191726.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom