watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Just a reminder: Mwakani watoto waliozaliwa mwaka 2002 wanakua watu wazima, wanaruhusiwa kupiga kura😂.

    Huu ni ukumbusho tu kua mwakani watoto waliozaliwa mwaka 2002 wanakua watu wazima, wanakuja kuongeza ushindani sokoni, wanaruhusiwa kupiga kura na mambo mengine😂. Watoto wote waliozaliwa mwaka 2002 mwakani wanakua halali kuliwa kisheria, hapa hutahitaji chumvi. Pamoja na kua wamekua wakiliwa...
  2. Shinyanga: Wakinababa wadaiwa kuwaozesha watoto wao wadogo kwa pombe

    Jambo hili lilibainishwa jana katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto,yaliyofanyika katika kijiji cha Penzi kata ya Mondo kupitia Shirika lisilo la kiserikali la World Vision chini ya mradi wa Enrich. Taarifa inaeleza kuwa, wanawake...
  3. Mlioacha DNA’s zenu wakati wa puberty age fikirieni watoto wana hali gani?

    Wengi ni baada ya kumaliza mtihani wa kidato cha nne. Mzee anataka ufahamu mila za kwao, wengine ni kwa utukutu uliozidi wazazi wanaamua kukupeleka bush ukiwa unasubiri majibu. Kule kijijini wadada wote organic. Unawaona wakienda kuchota maji kisimani/mtoni au kutafuta kuni. Na wao wakijua...
  4. Watoto 56 wenye matatizo ya moyo wafanyiwa upasuaji mkubwa na mdogo katika taasisi ya moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

    Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka King Salman Humanitarian Aid and Relief Center wa nchini Saud Arabia wakimfanyia upasuaji wa bila kufungua kifua na kuziba tundu la moyo wa mtoto kwa kutumia mtambo wa Cathlab wakati wa...
  5. Majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2020 yatoka, mikoa 13 yafaulisha wanafunzi wote

    Dodoma. Wanafunzi 701,038 sawa na asilimia 92.27 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2019 wamechaguliwa kuendelea na kidato cha kwanza mwaka 2020. Wakati hao wakipata nafasi, wenzao 58,699 hawakupata nafasi kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa huku ikiagizwa ujenzi wa madarasa...
  6. Siku hizi watoto kugraduate chekechea imekuwa dili sana?

    Sijui ni uzungu au ni ulimbukeni, wazazi wanawapost watoto wao kwamba wamegraduate chekechea. Haya mambo mbona enzi zetu hayakuwepo, au watoto siku hizi wamekuwa vilaza sana!!
  7. Watoto wawili wafariki baada ya kusombwa na mafuriko

    Watoto wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti nchini Kenya baada ya kusombwa na mafuriko katika maeneo yaliyoathiriwa na mvua. Mmoja wa wahanga hao ni pamoja na mvulana wa miaka 13 aliyefariki katika kaunti ya Homa Bay baada ya mtumbwi aliokuwa akisafiria kupigwa na mawimbi mazito...
  8. Mkurugenzi wa taasisi ya saratani ya Ocean road ataja kuzaa watoto wachache kama chanzo cha saratani

    Imeelezwa kuwa kuzaa idadi ndogo ya watoto ni chanzo cha ugonjwa wa saratani ya matiti kwa wanawake. Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Julius Mwaiselage ameyasema hayo leo wakati akielezea mafanikio ya taasisi hiyo katika kipindi cha miaka minne. Amesema aina hiyo ya saratani...
  9. Watoto na Vijana 300 hufariki kila siku kutokana na UKIMWI

    Ripoti kuhusu watoto na UKIMWI iliyotolewa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF, inaonyesha kuwa watoto na vijana karibu 320 wanakufa kila siku kutokana na sababu zinazohusiana na ugonjwa huo. Chanzo kikubwa cha vifo hivyo ni upatikanaji mdogo wa matibabu ya ARV na ukosefu...
  10. Ukosefu wa mazoezi kwa watoto huathiri afya zao hivyo kuwafanya wawe dhaifu ukubwani

    Habari! Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa, watoto wanne kati ya watano wenye umri wa miaka 11-17 duniani hawafanyi mazoezi ya viungo ya kutosha. Shirika la afya duniani (WHO) limesema kuwa afya za watoto zinaharibiwa kutokana na ukosefu wa mazoezi hivyo kuathiri ukuaji wa ubongo na shughuli zao...
  11. F

    Tetesi: Alliance Schools yalazimisha watoto kuchanga Tzs100,000 ili kushiriki mahafali 2019/viongozi mlikane hili

    Wanafunzi waliomaliza mitihani yao kidato cha nne Alliance Schools zaidi ya 200, wanatakiwa kuchanga 100,000/-TZS ili kushiriki mahafali ya kidato cha nne 2019. Iwapo kila mwanafunzi atatoa pesa hiyo ni zaidi ya 20,000,000/- Milioni Ishirini, Mchango huo utahusisha mwanafunzi husika na wazazi...
  12. DRC: Watoto 5000 wafariki kwa ugonjwa wa Surua ndani ya mwaka 2019

    Wataalam wameonya hakuna chanjo za kutosha nchini humo. Ugonjwa wa ukambi ama Surua umewaua takriban watoto 5000 katika taifa la Jamhuri ya KidemokrasIa ya Congo mwaka 2019, kulingana na mamlaka baada ya ugonjwa huo kusambaa hadi mikoa yote. Takriban watoto 250,000 wameambukizwa mwaka huu...
  13. Rais Mstaafu Mwinyi ahimiza ushirikiano katika kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto

    Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi ametoa wito kwa Serikali kushirikiana na Taasisi zisizo za Kiserikali, katika kukabiliana na matukio ya ukatili dhidi ya Watoto. Alhaji Mwinyi ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati wa maadhimisho ya miaka 30 ya Siku ya Kimataifa ya...
  14. Wanaobusu watoto wa wenzao midomoni wananikera sana

    Unakuta mtu kaja kutembelea mtoto wako au kamkuta umemshika anamchukua na kuanza kumpiga mabusu ya mdomoni. Kwakweli ni uchafu sana mimi sipendi kabisa tabia hiyo. Wenzangu wenye watoto wadogo mnaniambiaje?
  15. Mwanajeshi aua mke na watoto wawili na kisha kuwazika

    Na NICHOLAS KOMU na CHARLES WASONGA MIILI mitatu inayoaminika kuwa ya mke wa mwanajeshi mmoja na wanawe wawili, waliotoweka majuma matatu yaliyopita, imepatikana imezikwa katika kaburi lenye kimo kifupi katika mtaa wa Thingithu, mjini Nanyuki ambapo imefukuliwa Jumamosi jioni. Maafisa wa...
  16. Wazazi wengi leo wanachukiwa na watoto wao kwa sababu hii

    Wazazi wetu wamekuwa wakijitahidi sana kuwajibika kutulea na kutujengea msingi walikuwa wakidhani utatusaidia lakini kosa kubwa sio malezi ila ni mkabala waliotumia. Mkabala unaoweka umbali badala ya ukaribu wa mzazi na mtoto, yaani mtoto anaishi na mzazi wake kama mfanyakazi na meneja na...
  17. Ajira za utotoni: Sheria inawalindaje watoto katika hili?

    Habari za muda wakuu. Katika pita pita zangu nimekutana na hii Sheria, kuna baadhi ya vitu najiuliza. Naomba muongozo kutoka kwa ndugu zetu wataalamu wa sheria. “Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Kazi, 2004, mtoto chini ya miaka 14 hapaswi kuajiriwa. Mtoto mwenye umri wa...
  18. Natoa onyo kwa wale wote wanaotoa pesa kwa hawa watoto wanaoomba pesa kwa gia ya shikamoo

    Ni siku ya ijumaa alasiri naelekea kituo cha mabasi ya usafiri kwa raia ndani ya jiji la dar es salaam, hii ni ijumaa tulivu jua lishaanza mapumziko yake, rangi yake maridadi ya kahawia iliyochanganyikana na yangi ya machungwa imetanda angani, hakika ni siku tulivu ndege wanaruka na kuimba kwa...
  19. Tuchangiane uzoefu katika malezi: Malezi yako yalikuwaje, unahisi yamekuathiri, ungependa kulea watoto wako kama ulivyolelewa?

    Habarini Wadau wa MMU, suala la malezi ni changamoto sikuzote,kulea watoto halijawahi kuwa rahisi hata mara moja tena wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,kwamba utu au tabia za mtoto wako ni matunda ya malezi yako,kama ni ukatili,upendo,huruma,uchapa kazi au uvivu vyote ni matokeo ya malezi...
  20. Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

    Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani. Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa: 1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi 2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan 3...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…