Watoto 56 wenye matatizo ya moyo wafanyiwa upasuaji mkubwa na mdogo katika taasisi ya moyo Jakaya Kikwete (JKCI)

Papaa Muu

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
243
292
Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka King Salman Humanitarian Aid and Relief Center wa nchini Saud Arabia wakimfanyia upasuaji wa bila kufungua kifua na kuziba tundu la moyo wa mtoto kwa kutumia mtambo wa Cathlab wakati wa kambi maalum ya matibabu inayofanyika katika Taasisi hiyo. Jumla ya watoto 33 wamefanyiwa upasuaji mdogo wa bila kufungua kifua ambapo hali zao zinaendelea vizuri na wengine wameruhusiwa kurudi nyumbani.
1575615423875.png
1575615389499.png
 
Selemani Jafo atakiongezea hicho kitengo wateja kwa matusi yake
 
Moyo huo uwe endelevu na siyo kwa maonyesho na kupata kiki kwa wanasiasa
 
Back
Top Bottom