Acha wivu. Kila mtu afanye kinachompendeza madam havunji sheriaSijui Ni uzungu au Ni ulimbukeni.. wazazi wanawapost watoto wao kwamba wamegraduate chekechea!!! Haya Mambo mbona enzi zetu hayakuwepo , au watoto siku hizi wamekua vilaza Sana!!
Kwa kuwa wewe hukuvaa basi usitake na wa kizazi hiki wasivae kwa kua kila zama na kitabu chakeSijui Ni uzungu au Ni ulimbukeni.. wazazi wanawapost watoto wao kwamba wamegraduate chekechea!!! Haya Mambo mbona enzi zetu hayakuwepo , au watoto siku hizi wamekua vilaza Sana!!
Enzi zenu chekechea hazikuwepo ndio maanaSijui Ni uzungu au Ni ulimbukeni.. wazazi wanawapost watoto wao kwamba wamegraduate chekechea!!! Haya Mambo mbona enzi zetu hayakuwepo , au watoto siku hizi wamekua vilaza Sana!!
Sijui Ni uzungu au Ni ulimbukeni.. wazazi wanawapost watoto wao kwamba wamegraduate chekechea!!! Haya Mambo mbona enzi zetu hayakuwepo , au watoto siku hizi wamekua vilaza Sana!!
Tena n umuka kweli mkuuchekechea kuvaa joho ni ulimbukeni.