Hello JF,
Mwenzenu nahisi Bunge lijalo litakuwa very interesting...
Je, watanyamaza kimya pale mambo yatakapokuwa against matarajio yao?
Pale je mambo yakifanyika bila kuwashirikisha, watakua na uthubutu wa kuhoji?
I'm sure wengine japokua mmebebwa mkapelekwa Bungeni, still kuna some of you...
Hello,
If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs
Do you know other good apps?
5 start-up hubs to watch – beyond Silicon Valley
Tel Aviv: Israel has the highest number of start-ups per capita in the world
Start-ups were once synonymous with Silicon Valley or London - but that's no longer the case.
Here we look at five...
Human Rights Watch, shirikika la kimataifa la kutetea haki za kibinadamu, limeiangazia Tz kuhusu ukiukwaji wa haki za kibinadamu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba.
HRW inadai kwamba kwa muda wa miezi mitatu iliyopita wanachama wa upinzani 17 na watanzania wengine waliokashifu serikali...
Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch (HRW) linasema mamlaka nchini Tanzania imeongeza hatua ya ukandamizaji dhidi ya vyama vya upinzani na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Katika ripoti yake Human Rights Watch limekosoa sheria mpya...
Hotuba ya Tundu Lissu, FULL TEXT:
KWANINI NAGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Wananchi na raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania popote walipo, ndani na nje ya nchi yetu;
Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA);
Marafiki wa Jamhuri ya...
Shirika la kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch linataka uchunguzi ufanywe kubaini chanzo cha kifo cha mwanamuziki maarufu wa nyimbo za injili nchini Rwanda, Kizito Mihigo.
Mkurugenzi wa shirika hilo katika kanda ya Afrika ya kati Lewis Mudge, ameiambia BBC kuwa shirika hilo linatilia...
Jamaa hawa kwao kuua ni sawa walimuua
Gaddafi
Qasem Suleiman
Saddam Hussein
Osama Bin Laden
Wanagereza la Guantanamo yanayofanyika humo ni zaidi ya ushetani
Katika kila nyanja ya maisha uaminifu huwa ni mtaji mzuri sana ...!
Hii inakupelekea kuaminika sehemu nyingi sana...
Kutana na mwanamama mfanyabiashara alokutana na changamoto nyingi na ngumu sana... Lakini amekuja kufanikiwa!
Ukitia nia kbs kwa dhati mafanikio utayaona! Nilichojifunza kupitia...
Hii ni jumuiya na taasisi dhaifu kabisa zinazopokea hela chafu na nyingi kutoka USA.
Zimeanzishwa kwa ajili ya kulinda masilahi ya Marekani na Washirika wake.
Zimeanzishwa kuwalinda mawakala wao popote duniani; ukiwagusa unaambiwa unakiuka haki za binadamu.
Mawakala wao wakitengeneza scandal...
Kinachonishangaza ni kwanini mataifa mengine yako kmya juu ya mambo anayofanya marekani kwa kuchokoza mataifa madogo kisa ana nguvu ya kijeshi.
Pia ndio mwanzilishi wa migogoro ya kila aina kisa rasilimali za nchi husika lakini Umoja wa mataifa wako kimya na hakuna lolote wanaongelea juu yake...
Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April...
Habari kubwa nchini hivi sasa ni hizi ripoti za Amnesty International na Human Rights Watch kuionya Tanzania kuhusu mwenendo wake wa kila kukicha, tokea Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015, kupeleka sheria Bungeni za kukandamiza vyombo vya habari, kuziminya kampuni zisizo kuwa za...
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Mahiga amesema wameshapokea ripoti za Amnesty International na Human rights watch na wameshaanza kuzifanyia kazi.
Balozi Mahiga amesema kuna baadhi ya mambo walishayatolea maelezo huko nyuma na mengine yaliyobaki watayajibu mstari kwa mstari.
Dr. Mahiga...
Habari wakuu?
Wapi naweza kupata casio watch za model hii kwa hapa Dar?
1. Casio illuminator W-96H
2. Casio Telememo illuminator AW-81
Hizi zipo tofauti na zile casio za kawaida, kuna feature ya telememo ndani yake. inaweza kustore records kidogo, contacts. ina dual time, timer n.k
kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.