Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano.
Kwanza, anaridhiana na nani?
Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani?
Tatu, ni kiasi gani?
Nne, ina faida gani?
Tano, je, walengwa nni nani?
Sita, kupata wajumbe, ametumia vigezo gani na...