watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. CCM kumuita Lissu kibaraka wa mabeberu haitusaidii. Watanzania ni waelewa sana

    CCM let's be matured, hii propaganda ya kumuita Tundu Lissu kibaraka wa mabeberu imebumba tutafute neno lingine zuri la kummaliza. Kutumia hili neno hakujabadili kitu kabisa mtaani kila ninapopita sioni sehemu yeyote akiitwa Bebebru zaidi ya kuitwa Mkombozi, mimi sijui ni mkombozi wa nini...
  2. Ili Kupambana na 'Umasikini' Serikali ya Tanzania haiwezi 'Kutulazimisha' Watanzania wote tuutumie 'Ubini' wa 'Laizer' ambao una 'Nyota' ya Utajiri?

    Mshindi wa Jackpot ya SportPesa, Lilian Ngitoria Laizer, amekabidhiwa kitita chake kiasi cha Sh. 267,800,060 na Kampuni ya Michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania, huku akieleza mipango yake ni kufungua biashara kubwa. Nipashe Kuna Mtu aliwahi kuniambia huko zamani kuwa Pesa, Elimu na...
  3. GE2020 Watanzania tuisikilize hii sauti ya Mungu "Huyu ni Mwanangu Mpendwa Mpeni Kura Zenu"

    Hii ni sauti inayonisumbua kila kukicha ya Mungu Ikiniambia Huyu Ni Mwanangu Mpendwa Nimpe Kura yangu. Naamini ni sauti inayokusumbua pia wewe Mtanzania ikijurudirudia na kukusii uitii kua " Huyu alie Hai leo ni Mwanake Mpendwa na Tumpe Kura Zetu" Tanzania itapona tu kwa Kuitii Sauiti Hii ya...
  4. J

    GE2020 Watanzania mkirudia tena kosa mmekwisha

    Huu ni ujumbe toka kwa sauti ya mtu aliyae nyikani. Baada ya kulimia meno for 5 yrs Safari hii mtalimia kucha tabia ya mtu ni ngozi, furaha yake ni kuona machozi ya watu wakilia. Kuna watu Kama wakipewa haki ya kugawa pumzi duniani Wallah hakuna ambae angebaki duniani. Kama Kimara...
  5. Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu Watanzania eti; Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)? (1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi...
  6. Ni kwanini watanzania ni wafupi wafupi ukilinganisha na raia wa nchi zingine?

    Kwa ambao washawahi kuishi nje ya Tanzania nina imani watakuwa na ufaham wa hiki nilichokiandika hapa. Nimewahi kuishi ktk nchi ambayo ina mchanganyiko wa raia kutoka katika nchi mbali mbali duniani nikajiridhisha kwa macho yang kwamba raia wengi wanaotoka Tanzania ni wafupi wafupi mno...
  7. S

    GE2020 Salaam kwa Watanzania wote Kupitia JamiiForums - Tunaomba kura zenu za Ndio mumpe Tundu Lissu

    Wanajamiiforums, fikisheni salamu hizi kwa kila Mtanzania mpiga kura bila ya kujali itikadi ya chama chake kwani kama ni CCM huenda akaiona haki na yeye akatamani kutenda haki. Haki ambayo inahubiriwa na Tundu Lissu ,ya kuwa Mashehe wote wakiislamu walioko magerezani bila ya hatia yeyote...
  8. D

    GE2020 Watanzania tusiyumbishwe, chagua CCM, chagua Magufuli chagua maendeleo na maisha yako. Usindanganyike!

    Kwa hali ilivyo kwa sasa na maendeleo yaliyofikiwa tukae chini na kufikiri kwa makini tuchague CCM kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Tusifanye ushabiki na wala tusifanye hamaki na kuchagua kwa mihemko tutajuta sana. Ninaamini Watanzania wamekuwa makini muda wote linapofikia suala la...
  9. CCM mpya imetugawa sana Watanzania

    Ninapozungumzia CCM mpya ninamaanisha hii CCM iliyoibuka kuanzia 2015, kuna wanaoiita CCM ya Magufuli. Matatizo yalianzia kwenye kusimamisha shughuli za ziasa kwa vyama vya upinzani baada ya uchaguzi. Kazi ya vyama vya upinzani zaidi ya kuikosoa serikali ni kutoa elimu ya uraia kwa wananchi na...
  10. Hoja ya Ndege na ujinga wa Watanzania

    Nyakati zinabadilika aisee,inaonesha Tanzania ya nyakati hizi imekuwa na wajinga wengi kuliko nyakati za kale. Leo hi Mtanzania anyepinga ndege za Magufuli halafu akaonekana anapanda ama anashuka ndani ya Ndege hizo Basi Lumumba B7 watamsema.kwamba alikua anapinga Nini na amepanda Nini. Hoja ya...
  11. GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho. Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na...
  12. Ni dhahiri. Watanzania wali miss sana siasa za Upinzani

    Ukiona yanayo tokea, badhasha, furaha inayoambatana na mapokezi ya Wagombea udiwani, ubunge na Urais kupitia Chadema na ACT wazalendo unagundua yafuatayo. - wanainchi walikua na kiu ya kusikia Sera mbadala za upinzani , - kuna kundi la wananchi ni die hard wa upinzani hivyo katazo la shugjuri...
  13. GE2020 Prof. Lipumba: Nchi hii inahitaji Rais mchumi na mwenye huruma na Watanzania. Mkinichagua kuwa Rais nitafuta umasikini katika nyanja zote

    "NCHI HII INAHITAJI RAIS MCHUMI NA MWENYE HURUMA NA WATANZANIA MKINICHAGUA KUWA RAIS NTAFUTA UMASIKINI KATIKA NYANJA ZOTE," PROF. LIPUMBA, NZEGA - TABORA Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa...
  14. E

    GE2020 Sababu zinazofanya Magufuli apendwe na Watanzania wengi

    Habari ndugu zangu wana JamiiForums. Katika uzi huu nitaelezea sababu zinazofanya Magufuli apendwe na watanzania wengi zaidi. Mimi mwenyewe binafsi najikuta sana navutiwa na mwanasiasa mchapakazi Dkt Magufuli kama ilivyo kwa watanzania wengine hili hata wanasiasa wa vyama upinzani wanalijua na...
  15. GE2020 Chama kinachotaka kuhudumia Watanzania, kinabagua na kuweka nongwa maendeleo yakipelekwa sehemu fulani ya nchi

    Kampeni za vyama mbalimbali vya siasa zimeendelea kutimua vumbi maeneo mbalimbali ya nchi yetu. Leo naomba nitoe dukuduku langu kwa uchache sana. Kwa mshtuko sana nimesikitika kuona baadhi ya vyama vya upinzani kuanza ubaguzi wa waziwazi kwa kuumia na kuweka nongwa Serikali kupeleka maendeleo na...
  16. Kumbe ndio maana Watanzania wamelialia sana, kwa hili la corona na mindege ya KQ Wakenya hatujawa "fair"

    Hii issue binafsi nilikua nimeielewa visivyo, muda wote nilijua kwamba Watanzania wanagoma tusiwe tunawapima wakija huku, na ili kushinikiza waingie watakavyo bila kupimwa wakazuia ndege zetu, ila kuna hizi taarifa nimezisoma kumbe tulikua tunawaweka karantini ya siku 14, akija anatiwa lockup...
  17. Addressing People: Kwanini baadhi ya watanzania wana tabia ya kupenda kuwafafanua binadamu wenzao kwa kutumia ulemavu/udhaifu wa maumbile walio nayo?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu Watanzania eti; Kwanini baadhi ya watanzania wana tabia ya kupenda kuwafafanua binadamu wenzao kwa kutumia ulemavu/udhaifu wa maumbile walio nayo? Yaaani unakutana na mtu anaanza kukuelezea kuhusiana na rafiki yenu mliesoma naye...
  18. M

    GE2020 Tundu Lissu akifanya hili kwa Watanzania anashinda Urais asubuhi na mapema

    Aombe msamaha Watanzania kwa ile biti ya hatari aliyoichimba maana Watanzania wote kutoka katika vyama vyote na wasio na vyama, haja kubwa ilikuwa inagonga nguo za ndani kwa hofu. Watanzania wengi waliingiwa na hofu kuu hasa ukinzingatia hatuna uzoefu wala mazoea ya kuvamiwa kivita kwani hata...
  19. GE2020 Tundu Lissu Watanzania waliungana siku ulipopigwa risasi

    Lengo la kukupiga risasi lilikua Ni kukuua,ufe kabisa halafu usiwepo Tena juu ya uso wa Dunia. Naamini baadhi wangelipwa kwa kazi ya Kukuondoa na wengine wangepongezana. Hata hivyo Kuna mamilioni ya Watanzania waliungana kwa kulia na kuugulia, walifanya vitu ambavyo havijawahi kufanyika hapa...
  20. Watanzania wakamatwa na vilipuzi wakiviingiza Kenya kimagendo

    Haijajulikana nia yao ilikua nini ila ndio hivyo majirani inatubidi tuwe makini sana dhidi yenu watu. ======= The Anti-Terror Police Unit (ATPU) is holding three people among them Tanzania nationals who were nabbed with 1,000 pieces of explosive detonators in Taita Taveta. The suspects were...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…