Addressing People: Kwanini baadhi ya watanzania wana tabia ya kupenda kuwafafanua binadamu wenzao kwa kutumia ulemavu/udhaifu wa maumbile walio nayo?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kwanini baadhi ya watanzania wana tabia ya kupenda kuwafafanua binadamu wenzao kwa kutumia ulemavu/udhaifu wa maumbile walio nayo?

Yaaani unakutana na mtu anaanza kukuelezea kuhusiana na rafiki yenu mliesoma naye zamani shule ya sekondari ila kwa kuwa humfahamu vizuri na anataka kukufanya umkumbuke kwa kuanza ktaja ulemavu aliokuwa nao jamaa.

Kwa mfano: Just imagine umeenda kariakoo unakutana na rafiki yako Edgar mliesoma naye kisha anaanza kukupa "breaking news" kuhusiana na mtu mmoja mmliyekuwa mnasoma naye shule moja ila kwa sasa ana mafanikio makubwa na anaitwa Alfred. unaweza kumsikia jamaa anasema hivi baada ya kusalimiana na kupiga stories kadhaa;

Edgar: "mzee baba ulisikia kwenye taarifa ya habari jule jamaa tuliyekuwa naye darasani alipewa shavu na CCM sasa hivi ni DAS wilaya moja hivi huko Mwanza"

Wewe: Jamaa gani huyo mkuu, mbona mimi kama simkumbuki.

Edgar: Humkumbuki wapi wewe, acha hizo. Yani wewe humjui yule Alfred tulikuwa tunasoma naye HGL, jamaa mmoja ana bichwa kubwaaaaa na masikio marefu alafu macho yake kama ana makengeza hivi akitembea mbele utafikiri anarudi nyuma.......

Come on guys. Acheni hizo bhana kwa maana Mungu hapendi. Ina maana hakuna namna bora ya kumtolea mtu ufafanuzi mpaka uanze kuelezea udhaifu/ulemavu wake?

Kwanini yeye aliomba kwa Mungu awe na maumbile yenye ulemavu wa namna hiyo ya bichwa kubwa au makengeza?

Some people really need to change seriously.
==========
Kum address mtu kwa muonekano si vyema kabisa. Me naona waweza kumrefer mtu kwa vitu positive alivyofanya huko nyuma kwani itapelekea hata huyo unayemuambia ajenge picha nzuri kwa huyo unayemsemea.

Mfano; Unamkumbuka Peter tuliyesoma nae ambaye siku ile tuna ubao akatununulia maandaza mawili mawili pale canteen??
==========
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
But just jokes brother
emoji109.png
One love brother
 
Ila si anaweza akasema kwamba, "nimemuelezea hivyo lakini sikuwa na lengo la kumnyanyapaa"

Simple and Poloite.
Ni kweli mkuu lakini asili ya watanzania tulio wengi hupenda kutumia namna hiyo ya kumtambulisha mtu.

Ni mengi tunayafanya tu ya kinyanyapaa, sema ishakuwa kawaida hata ile dhana ya unyanyapaa inakuwa kama utani tu.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kwanini baadhi ya watanzania wana tabia mbaya ya kupenda kuwafafanua binadamu wenzao kwa kutumia ulemavu/udhaifu wa maumbile walio nayo?

Yaaani unakutana na mtu anaanza kukuelezea kuhusiana na rafiki yenu mliesoma naye zamani shule ya sekondari ila kwa kuwa humfahamu vizuri na anataka kukufanya umkumbuke kwa kuanza ktaja ulemavu aliokuwa nao jamaa.

Kwa mfano: Just imagine umeenda kariakoo unakutana na rafiki yako Edgar mliesoma naye kisha anaanza kukupa "breaking news" kuhusiana na mtu mmoja mmliyekuwa mnasoma naye shule moja ila kwa sasa ana mafanikio makubwa na anaitwa Alfred. unaweza kumsikia jamaa anasema hivi baada ya kusalimiana na kupiga stories kadhaa;

Edgar: "mzee baba ulisikia kwenye taarifa ya habari jule jamaa tuliyekuwa naye darasani alipewa shavu na CCM sasa hivi ni DAS wilaya moja hivi huko Mwanza"

Wewe: Jamaa gani huyo mkuu, mbona mimi kama simkumbuki.

Edgar: Humkumbuki wapi wewe, acha hizo. Yani wewe humjui yule Alfred tulikuwa tunasoma naye HGL, jamaa mmoja ana bichwa kubwaaaaa na masikio marefu alafu macho yake kama ana makengeza hivi akitembea mbele utafikiri anarudi nyuma.......

Come on guys. Acheni hizo bhana kwa maana Mungu hapendi. Ina maana hakuna namna bora ya kumtolea mtu ufafanuzi mpaka uanze kuelezea udhaifu/ulemavu wake?

Kwanini yeye aliomba kwa Mungu awe na maumbile yenye ulemavu wa namna hiyo ya bichwa kubwa au makengeza?

Some people really need to change seriously.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tabia chafu chafu za uswazi
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kwanini baadhi ya watanzania wana tabia mbaya ya kupenda kuwafafanua binadamu wenzao kwa kutumia ulemavu/udhaifu wa maumbile walio nayo?

Yaaani unakutana na mtu anaanza kukuelezea kuhusiana na rafiki yenu mliesoma naye zamani shule ya sekondari ila kwa kuwa humfahamu vizuri na anataka kukufanya umkumbuke kwa kuanza ktaja ulemavu aliokuwa nao jamaa.

Kwa mfano: Just imagine umeenda kariakoo unakutana na rafiki yako Edgar mliesoma naye kisha anaanza kukupa "breaking news" kuhusiana na mtu mmoja mmliyekuwa mnasoma naye shule moja ila kwa sasa ana mafanikio makubwa na anaitwa Alfred. unaweza kumsikia jamaa anasema hivi baada ya kusalimiana na kupiga stories kadhaa;

Edgar: "mzee baba ulisikia kwenye taarifa ya habari jule jamaa tuliyekuwa naye darasani alipewa shavu na CCM sasa hivi ni DAS wilaya moja hivi huko Mwanza"

Wewe: Jamaa gani huyo mkuu, mbona mimi kama simkumbuki.

Edgar: Humkumbuki wapi wewe, acha hizo. Yani wewe humjui yule Alfred tulikuwa tunasoma naye HGL, jamaa mmoja ana bichwa kubwaaaaa na masikio marefu alafu macho yake kama ana makengeza hivi akitembea mbele utafikiri anarudi nyuma.......

Come on guys. Acheni hizo bhana kwa maana Mungu hapendi. Ina maana hakuna namna bora ya kumtolea mtu ufafanuzi mpaka uanze kuelezea udhaifu/ulemavu wake?

Kwanini yeye aliomba kwa Mungu awe na maumbile yenye ulemavu wa namna hiyo ya bichwa kubwa au makengeza?

Some people really need to change seriously.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwenye Ufafanuzi wa auelewa Kuna wasifu wa Ndani na Wasifu wa Nje na endapo unakuwa hujaelewa Fanani anao uwezo na Uhuru wa kuelezea Wasifu wa Mhusika mpaka kieleweke, sio kosa la Fanani Mkuu lengo ni wewe Uelewe siyo Vinginevyo.
 
Back
Top Bottom