Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 568
- 1,562
Hii ni sauti inayonisumbua kila kukicha ya Mungu Ikiniambia Huyu Ni Mwanangu Mpendwa Nimpe Kura yangu.
Naamini ni sauti inayokusumbua pia wewe Mtanzania ikijurudirudia na kukusii uitii kua " Huyu alie Hai leo ni Mwanake Mpendwa na Tumpe Kura Zetu"
Tanzania itapona tu kwa Kuitii Sauiti Hii ya Mungu.
Wewe Ulisikia wapi Mtu kupigwa Risasi zaidi ya Thelatha na akapona kama hii sio ni Makusudi ya Mungu.
Wewe Ulisikia Wapi Mtu kujaza Nyomi ka lote bila kusaidiwa na Media wala Wasanii kama hili sio kusudi la Mungu.
Wewe Ulisikia wapi Sehemu Raisi wa Nchi alipozomewa lakini Mpinzani wake akashangiliwa kama hii si Ishara ya Mungu kudhihilisha Mtu aliemchagua.
Watanzania tutapataje kupona tusiposikia Wito Huu Mkuu kutoka kwa Mungu ukitutaka kumchagua Mja wake Tundu Antipadi Lissu.
Naamini ni sauti inayokusumbua pia wewe Mtanzania ikijurudirudia na kukusii uitii kua " Huyu alie Hai leo ni Mwanake Mpendwa na Tumpe Kura Zetu"
Tanzania itapona tu kwa Kuitii Sauiti Hii ya Mungu.
Wewe Ulisikia wapi Mtu kupigwa Risasi zaidi ya Thelatha na akapona kama hii sio ni Makusudi ya Mungu.
Wewe Ulisikia Wapi Mtu kujaza Nyomi ka lote bila kusaidiwa na Media wala Wasanii kama hili sio kusudi la Mungu.
Wewe Ulisikia wapi Sehemu Raisi wa Nchi alipozomewa lakini Mpinzani wake akashangiliwa kama hii si Ishara ya Mungu kudhihilisha Mtu aliemchagua.
Watanzania tutapataje kupona tusiposikia Wito Huu Mkuu kutoka kwa Mungu ukitutaka kumchagua Mja wake Tundu Antipadi Lissu.