Tofauti na vipindi vya Uchaguzi wa vyama vingi nilio ushuhudia, 1995 Hadi 2015, Uchaguzi wa mwaka huu wananchi wengi zaidi wako radhi kusema hadharani ama kukuambia Kura yake atampa Nani.
Kwa Chaguzi zilizopita ilikua ni kwa wale wakereketwa wa vyama husika tu ndio walikua wakitoa misimamo yao...