watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. GE2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

    Habari za jioni watanzania! Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa. Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji...
  2. Kwa mkupuo, Twitter imeverify account za Watanzania zaidi ya 6

    Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo. Tundu Lissu Fatma Karume Chadema Tanzania John Mnyika Zitto Kabwe Carherine Ruge ACT Wazalendo Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na...
  3. M

    Watanzania hatupaswi kumlaumu Magufuli, tujilaumu wenyewe kwa kuishi kwa mazoea

    Watanzania wa kipindi cha kwanza cha Mkapa watakubaliana nami kuwa mazoea yanaharibu sana fikra za jamii. Kipindi cha kwanza cha Mkapa nchi ilikuwa imetoka katika uongozi wa ruksa maana yake nchi ilikuwa haina mifumo imara hivyo alipoingia Mkapa alisababisha watu wengi kuanza...
  4. GE2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

    Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji. Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena...
  5. GE2020 Oktoba 28 ni Dkt. Magufuli tu ndio chaguo la Watanzania

    October 28 ,2020 Watanzania twendeni tukamsimike Dkt. Magufuli Kwa ushindi wa kishindo ,miaka mitano mingine ya kazi, Afrika inajua ,Dunia inajua kazi ya Mtoto wa Afrika kutoka Chato ,mwana Mageuzi ya kweli. Tunajua nchi za Magharibi hawapendi Juhudi za mwamba JPM kuipeleka nchi katika...
  6. S

    Je vioja vya Tume za uchaguzi ndio vinatuwakilisha waTanzania wote Jinsi tulivyo ?

    Huwaga naona aibu sana sana,yanapojitokeza mambo yanayoonyesha ni ukosefu wa elimu au WaTanzania hatufai kupewa dhamana ,na hii hali inayojitokeza ambayo matatizo yanatokana na Tume za uchaguzi ,kusema kweli yanatuchafua waTanzania wote kwa kiasi fulani. Tume wangejiandaa kwa wizi sio...
  7. Ni kweli kabisa Tundu Lissu 'Kura' tutapiga sana tu hiyo 28, Oktoba 2020 ila Watanzania 'Watamchagua' JPM pekee

    LISSU: TUKAPIGE KURA JUMATANO IJAYO Watanzania wenzangu, Jumatano ijayo tutapiga kura. Katika kipindi muhimu kama hiki, nawaomba Watanzania wenzangu wa dini zote tushirikiane kuiombea nchi yetu tuwe na Uchaguzi Huru na Haki, unaokubalika na unaoeleweka dunia kote ambapo sisi ni sehemu yake...
  8. Ukisema: "Ili nilete Mradi wa maji hapa jimboni ni lazima Mnichagulie Mbunge kutoka chama changu." Hapo umewagawa Watanzania na hufai kuwa Rais wetu

    Kikatiba, ni haki ya mpiga kura kuchagua Mbunge au muwakilishi anayeona anafaa. Kanuni na maadili ya Uchaguzi yanakataza kutisha, kutoa rushwa au ahadi za vitu kwa upendeleo . Maji ni hitaji la lazima kwa mtu achilia mbali viumbe hai wengine. Fedha za miradi zinatokana na kodi inayolipwa na...
  9. Ni Rais wa Watanzania wote au ni Rais wa waliompigia kura tu?

    Majuzi hapa Rais Magufuli alinukuliwa akiwaasa watu waukatae ubaguzi. Lakini kwa baadhi ya kauli zake, watu wanaweza kusema aanze yeye kwanza kuufanyia kazi huo ushauri wake maana mara kadhaa keshawahi kutoa kauli ambazo zilionekana kuwa ni za kibaguzi. Karibu miaka 3 ilopita, niliwahi kumsema...
  10. GE2020 TBC, hata kama Watanzania wanashindwa la kuwafanya lakini waonesheni heshima kidogo...

    Nimesikitishwa na kitendo cha TBC1 kutumika kumfanyia kampeni mgombea Urais wa CCM. Kumekuwa na vipindi kadhaa vya kumpigia kampeni Mgombea Urais wa CCM lakini kitendo cha kuweka vipindi kadhaa wakati huo huo kukiwa na background ya wimbo wa Zuku akiimba wapinzani wanyong'onyee ni kuwakosea...
  11. GE2020 Kama Watanzania hatuwezi kumuunga mkono Lissu kwa hali zozote"tumpe tu Magufuli kura zote"

    Huenda wengi wasinielewe kwenye hili. Nani anakumbuka 2018 harakati za Mange? Sasa kama bado tuko na akili na uoga huo basi bora tumpigie Magufuli kura kwa sababu hizi. 1. Sehemu zenye Wapinzani maendeleo hayataletwa(Magu mwenyewe anasema sana) 2. Kutakuwa na wimbi kubwa la waunga mkono...
  12. H

    GE2020 Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na ya chama kilichopo madarakani?

    Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu. Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani...
  13. J

    Watanzania wameamua!

    Habari wanajamvi! Naam, hukumu imekatwa. Watanzania wameamua kwa dhati ya mioyo yao kuwa CCM wapumzike. Tanga kwa bashasha wamesema ni yeye! Kagera wamenena ya moyoni bila kificho kuwa ni yeye! Mara yote walisha kata shauri toka mwanzo wa kampeni kuwa ni yeye Tundu Lissu! Usukumani kwa umoja...
  14. Ni Watanzania wangapi wanamudu kusafiri na ndege kwa pesa kutoka mifukoni mwao?

    Tumekuwa tukisikia wanasiasa fulani wakijisifu kuleta maendeleo kwa kununua ndege na wengine wakikosoa vikali uamuzi huo. Ukweli unaokubalika kwa makundi yote mawili kuhusu usafiri wa ndege ni kuwa; usafiri wa ndege ni jambo la gharama kubwa na huenda ni mahususi kwa baadhi ya watu tu. Nimekaa...
  15. GE2020 Dkt. Magufuli ataka Watanzania kukataa ubaguzi

    Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea. Pia amewatahadhalisha Watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa...
  16. T

    GE2020 Watanzania, uongozi haujaribiwi. Chagua kwa ajili ya Uhuru na Amani ya Watanzania

    Habari za muda huu ndugu wanabodi wenzangu? Leo nimerudi tena baada ya takribani siku kadha zilizopita kuwa na majukumu mengine na hasa ya kiuchumi pamoja na ya kisiasa. Tumetafuta kura za kutosha na kwa tathimini ya haraka tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweza kuwafahamisha watanzania wengi...
  17. GE2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

    Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili; 1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake) 2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara...
  18. GE2020 Pale Polepole akiwatambia Watanzania kuwa Watendaji wa CCM wanatembelea Land Cruiser V8

    Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao? Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ? Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini. Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.
  19. S

    Alhamdulillah - WaTanzania tumeanza kuelewa faida ya kupiga kura - CCM ni waongo tunaiondoa

    Hili si jambo dogo na ndio maendeleo ya demokrasia,sasa waTanzania tunaenda kupiga kura tarehe 28/10/2020. Na sio tunaenda kupiga kura kuchagua chama au mgombea hapana ukweli tunaenda kupiga kura kuondoa utawala uliotoa ahadi na hazikutimizwa,hali ya maisha tuliyoahidiwa na haikutimizwa na...
  20. M

    GE2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

    Kwenu Masheikh na wahadhiri wetu Nawasalimien Assalam Aleikum. Jana mmefanya press conference, mmezungumza na kutoa kauli yenu kuhusu hatua ya Sheikh Ponda kusimama na kuwataka Waislamu na wananchi wamchague mheshimiwa Lissu katika uchaguzi huu. Mmepinga vikali kauli yake kuwa Waislamu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…