Habari wanajamvi!
Naam, hukumu imekatwa. Watanzania wameamua kwa dhati ya mioyo yao kuwa CCM wapumzike. Tanga kwa bashasha wamesema ni yeye! Kagera wamenena ya moyoni bila kificho kuwa ni yeye! Mara yote walisha kata shauri toka mwanzo wa kampeni kuwa ni yeye Tundu Lissu! Usukumani kwa umoja...