Uchaguzi 2020 Kama Watanzania hatuwezi kumuunga mkono Lissu kwa hali zozote"tumpe tu Magufuli kura zote"

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,457
Huenda wengi wasinielewe kwenye hili.

Nani anakumbuka 2018 harakati za Mange? Sasa kama bado tuko na akili na uoga huo basi bora tumpigie Magufuli kura kwa sababu hizi.

1. Sehemu zenye Wapinzani maendeleo hayataletwa(Magu mwenyewe anasema sana)

2. Kutakuwa na wimbi kubwa la waunga mkono juhudi (sababu ya kujipendekeza)

3. Mbinyo utakuwa mkali sana kwa wanasiasa wa upinzani.

Sasa kama tunajijua bado ni waoga hatuna ujasiri basi tumchague Magufuli tu ili kuondokana na ubaguzi wa CCM kwenye maendeleo
 
Mimi Niko jimbo la ccm na hakuna endeleo hata moja tulilopata, ukweli ni kwamba huyu Mzee maendeleo kapeleka chato na Dodoma tu

Usidanganywe mkuuu mimi nipo Dodoma.

Hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika Dododoma zaidi ya Ujenzi wa Ofisi tu.

1. Dodoma alituahidi uwanja mkubwa wa michezo imeshindikana.
2. Dodoma alituahidi ujenzi wa uwanja wa Ndege msalato imeshindikana.
3. Alituahidi Barabara ya Duara Ling road imeshindikana.
4. Ujenzi wa hospital kubwa ya uhuru imeahindikana.

AMESHINDWA KULETA MAENDELEO YOYOTE DODOMA.
 
Unapofananisha maandamano ya Mange kufeli na Sasa hivi kwamba huwenda Lisu akabaki mwenyewe unakosea pakubwa sana
Mawazo kama haya niliyasikia tena kwa kiongozi mmoja wa ccm tena mkubwa tu

kitu ambacho hamtaamini ni kile mtakachokiona watu wameshamchagua mtu wao na wanaamini ameshinda muwatangazie mtu mwingine tofauti inaumiza Sana moyo matarajio ya mamilioni ya watu walioweka kura kwa mtu wao mioyo itakata tamaa na kauli ya faraja pekee ni tuingie barabarani kutetea ushindi wetu
Sidhani Kama barabara zitatosha siku hiyo
Tusubiri na tuone

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Unapofananisha maandamano ya Mange kufeli na Sasa hivi kwamba huwenda Lisu akabaki mwenyewe unakosea pakubwa sana
Mawazo kama haya niliyasikia tena kwa kiongozi mmoja wa ccm tena mkubwa tu

kitu ambacho hamtaamini ni kile mtakachokiona watu wameshamchagua mtu wao na wanaamini ameshinda muwatangazie mtu mwingine tofauti inaumiza Sana moyo matarajio ya mamilioni ya watu walioweka kura kwa mtu wao mioyo itakata tamaa na kauli ya faraja pekee ni tuingie barabarani kutetea ushindi wetu
Sidhani Kama barabara zitatosha siku hiyo
Tusubiri na tuone

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kipindi cha Mange nilikua kwenye magroup yake na ujasiri huu pia kila mtu alikuwa nao
 
Unapofananisha maandamano ya Mange kufeli na Sasa hivi kwamba huwenda Lisu akabaki mwenyewe unakosea pakubwa sana
Mawazo kama haya niliyasikia tena kwa kiongozi mmoja wa ccm tena mkubwa tu

kitu ambacho hamtaamini ni kile mtakachokiona watu wameshamchagua mtu wao na wanaamini ameshinda muwatangazie mtu mwingine tofauti inaumiza Sana moyo matarajio ya mamilioni ya watu walioweka kura kwa mtu wao mioyo itakata tamaa na kauli ya faraja pekee ni tuingie barabarani kutetea ushindi wetu
Sidhani Kama barabara zitatosha siku hiyo
Tusubiri na tuone

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe, sikuile ya uzinduzi alipotangaza maandamano nchi nzima kabla ya mikutano uliandamana? weka picha tuone.
 
#ILIYOVUJA

Jinsi TISS walivyopanga kuvuruga uchaguzi Dar es Salaam(Kikao cha wasimamizi NIT -Mabibo leo 21.10.2020)

Inasimuliwa na mtu wetu tuliyempenyeza ndani ya NEC

👉Leo wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wote tumekusanywa kwenye HALL ukiingia getini lipo upande wa kulia,tukaamrishwa wote kuzima simu,ikatoe mwenzetu mmoja alikataa kuzimasimu yake na kuuliza kwa nini azime akafukuzwa.

👉Kuna jamaa(kutoka TISS) akawa anaongoza kikao na alipoanza kuongea cha kwanza akasema sisi ni wazalendo tumepata nafasi ya kipekee kupigiwa simu moja kwa moja kutoka NEC(kumbuka majina ya wasimamizi&makarani yalitoka jana), hivyo tunaenda kusimamia uchaguzi kwa maisha yetu yawe bora kwa miaka 5 ijayo.

👉 Jamaa akasema wasiokua na vyama wanyoshe mikono wakanyoosha watu 4 hapo hapo akawambia wasimame watoke nje, jamaa akafunguka na kuuliza ni nani kati yetu ambaye hajapendezwa na yaliyofanywa na Magufuli kwa miaka 5 iliyopita nani ambae hapendi Magufuli aendelee na mitano tena?Akasema wale waliotoka nje siyo wenzetu tuliobaki humu ni kitu kimoja akasema jamani ccm oyeee Magufuli oyeee Magufuli ng’ara…

👉Akaendelea sina mengi ya kuongea kuna mgeni ambae ataenda kumaliza kila kitu akaja huyo mgeni akajitambulisha yeye ni Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni na Kawe(kumbuka pale kulikuwa na watu kutoka kata mbalimbali) akasema yeye ndiye mgombea wa nafasi 3 uraisi ,ubunge na udiwani anaomba tusimwangushe CCMinataka kuchukua dola na haijawahi kushindwa, akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Tarimba oyeee, Gwajima safiii… Akaendelea kwa kusema sisi ndio tutampa kura, tumeitwa pale kwa kazi maalum kwa kua sisi ni wazalendo hivyo tuhakikishe kwa namna yoyote majimbo yote CCM inapata kura za kutosha, akasema cha muhimu sana kuliko vyote ni siri bila siri mambo hayaendi na hawapo tayari kupoteza mtu kwa kuvujisha siri kwa kua sisi ni wazalendo basi tutatunza siri akasema si huwa mnasikia watu wananyonya mate basi wao wananyonya pia na wakinyonya pua moja kwa moja wananyonya ubongo. Akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Sasa nini tunatakiwa kufanya kwa kazi maalum tuliyoitiwa kwa uzalendo wetu..

👉Akaendelea kusema hapa kuna makarani, wasimamizi wakuu na wasimamizi wasaidizi wa vituo. Tunachotakiwa kufanya tutafungua vituo saa 1 kamili asubuhi pale kwenye vituo tutakuta mawakala wa CCM wameshafika tayari, tutaendelea na taratibu tutawaonyesha wananchi box la kura kwamba liko tupu/halina kitu baada ya hapo tutaanza kupiga kura sisi wasimamizi na makarani halafu watafata mawakala. Hawa mawakala tayari watakua na kura(ambazo zinaandaliwa usiku wa tarehe 27.10.2020 zinapigwa mihuri kila kitu kama kura iliyokamilika) watakapoingia kwenye kituturi(kijumba cha kupigia kura)wakati wanatoka wanaenda kutumbukiza kwenye box la kura mkononi anakua na kura zaidi ya 10 mpaka 20 ama zinaweza kuzidi hapo, ataenda kutumbukiza kwenye box. Hili zoezi linafanyika kwa muda mfupi sana mpaka saa 1.30 linakua limeshakamilika kwa hiyo wao muda huo 1.30 ndio wanafika kwa kuwa vituo vinafunguliwa saa 2 asubuhi, hata kama wakiwahi asubuhi sana lazima utachezwa mchezo ili zoezi likamilike maana tumehakikishiwa ulinzi, tumeambiwa tukiona wakala wa upinzani anajua sana haki basi tunao uwezo wa kumuamrisha askari amtoe nje. Kwa sababu sisi wazalendo wa kazi maalum+mawakala wa ccm+askari ni kitu kimoja.

👉Akaendelea kusema mfano kituo kina wapiga kura 500 tuhakikishe kura 300 zinaenda CCM, tuhakikishe upinzani hawapati hata nafasi ya kupumulia. Kuna mtu akauliza itakuwaje endapo kura zikizidi kituo kina wapiga kura 500 wote wakapiga kura ukiplus na zile zao 300. Jumla kura zinakua 800 akajibu hilo halina shida kwa sababu hakuna uchaguzi wapiga kura wote wakapiga kura akatoa mfano mwaka 2015 waliojiandikisha kwenye daftari walikua 22M waliopiga kura walikua 8M na hizo zao za magumashi zilikuepo akaendelea kusema na huo ndio ulikua uchaguzi ambao upinzani walikua na kelele sana lakini walifanikiwa kama mtu akiongea sana atapewa fomu ya malalamiko ambapo ikimfikia yeye mchezo unakua umemalizika

JINSI TULIVYOITWA KWENYE KIKAO NIT- MABIBO.

👉Kwanza kila mtu kapigiwa simu na namba tofauti, wakati wa kuingia unaonyesha namba ya mtu aliyekupigia ndio unaingia ndani . Wakati unapigiwa unaambiwa muda wa kwenda mimi niliambiwa saa 10jioni Ila nilifika pale saa 6.40mchana nikakuta kuna bonge la nyomi , kumbe kuna watu waliambiwa waende saa 1 asubuhi wengine saa 3asb,saa 5asb,saa8 na sisi wa saa 10. Ukiingia ndani unasaini kwenye jina lako alafu unaenda kwenye chumba cha uzalendo.

👉Haya ndiyo mambo yaliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS na iko hivi nchi nzima
Sisi fichuaTanzania yaani tutapenyeza watu kila mahali na kujua kila wanalolipanga na kuja kuwajulisha hapa mjue jinsi mlivyo na serikali ya hovyo.

Mipango yote inasukwa na Bwana Harlod Kagurumjuni pichani. Mawasiliano yake ni 0767124646.
 
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe, sikuile ya uzinduzi alipotangaza maandamano nchi nzima kabla ya mikutano uliandamana? weka picha tuone.
Maandamano yajayo hayafanani na yoyote yaliyowahi kupita na hapa tunakwenda kushiriki kura na kukaa kungoja matokeo
Ama ushindi utangazwe kwetu au tuandamane kutetea ushindi wetu Kama tusipotangazwa lazima niwe front mzee



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
#ILIYOVUJA

Jinsi TISS walivyopanga kuvuruga uchaguzi Dar es Salaam(Kikao cha wasimamizi NIT -Mabibo leo 21.10.2020)

Inasimuliwa na mtu wetu tuliyempenyeza ndani ya NEC

Leo wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wote tumekusanywa kwenye HALL ukiingia getini lipo upande wa kulia,tukaamrishwa wote kuzima simu,ikatoe mwenzetu mmoja alikataa kuzimasimu yake na kuuliza kwa nini azime akafukuzwa.

Kuna jamaa(kutoka TISS) akawa anaongoza kikao na alipoanza kuongea cha kwanza akasema sisi ni wazalendo tumepata nafasi ya kipekee kupigiwa simu moja kwa moja kutoka NEC(kumbuka majina ya wasimamizi&makarani yalitoka jana), hivyo tunaenda kusimamia uchaguzi kwa maisha yetu yawe bora kwa miaka 5 ijayo.

Jamaa akasema wasiokua na vyama wanyoshe mikono wakanyoosha watu 4 hapo hapo akawambia wasimame watoke nje, jamaa akafunguka na kuuliza ni nani kati yetu ambaye hajapendezwa na yaliyofanywa na Magufuli kwa miaka 5 iliyopita nani ambae hapendi Magufuli aendelee na mitano tena?Akasema wale waliotoka nje siyo wenzetu tuliobaki humu ni kitu kimoja akasema jamani ccm oyeee Magufuli oyeee Magufuli ng’ara…

Akaendelea sina mengi ya kuongea kuna mgeni ambae ataenda kumaliza kila kitu akaja huyo mgeni akajitambulisha yeye ni Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni na Kawe(kumbuka pale kulikuwa na watu kutoka kata mbalimbali) akasema yeye ndiye mgombea wa nafasi 3 uraisi ,ubunge na udiwani anaomba tusimwangushe CCMinataka kuchukua dola na haijawahi kushindwa, akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Tarimba oyeee, Gwajima safiii… Akaendelea kwa kusema sisi ndio tutampa kura, tumeitwa pale kwa kazi maalum kwa kua sisi ni wazalendo hivyo tuhakikishe kwa namna yoyote majimbo yote CCM inapata kura za kutosha, akasema cha muhimu sana kuliko vyote ni siri bila siri mambo hayaendi na hawapo tayari kupoteza mtu kwa kuvujisha siri kwa kua sisi ni wazalendo basi tutatunza siri akasema si huwa mnasikia watu wananyonya mate basi wao wananyonya pia na wakinyonya pua moja kwa moja wananyonya ubongo. Akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Sasa nini tunatakiwa kufanya kwa kazi maalum tuliyoitiwa kwa uzalendo wetu..

Akaendelea kusema hapa kuna makarani, wasimamizi wakuu na wasimamizi wasaidizi wa vituo. Tunachotakiwa kufanya tutafungua vituo saa 1 kamili asubuhi pale kwenye vituo tutakuta mawakala wa CCM wameshafika tayari, tutaendelea na taratibu tutawaonyesha wananchi box la kura kwamba liko tupu/halina kitu baada ya hapo tutaanza kupiga kura sisi wasimamizi na makarani halafu watafata mawakala. Hawa mawakala tayari watakua na kura(ambazo zinaandaliwa usiku wa tarehe 27.10.2020 zinapigwa mihuri kila kitu kama kura iliyokamilika) watakapoingia kwenye kituturi(kijumba cha kupigia kura)wakati wanatoka wanaenda kutumbukiza kwenye box la kura mkononi anakua na kura zaidi ya 10 mpaka 20 ama zinaweza kuzidi hapo, ataenda kutumbukiza kwenye box. Hili zoezi linafanyika kwa muda mfupi sana mpaka saa 1.30 linakua limeshakamilika kwa hiyo wao muda huo 1.30 ndio wanafika kwa kuwa vituo vinafunguliwa saa 2 asubuhi, hata kama wakiwahi asubuhi sana lazima utachezwa mchezo ili zoezi likamilike maana tumehakikishiwa ulinzi, tumeambiwa tukiona wakala wa upinzani anajua sana haki basi tunao uwezo wa kumuamrisha askari amtoe nje. Kwa sababu sisi wazalendo wa kazi maalum+mawakala wa ccm+askari ni kitu kimoja.

Akaendelea kusema mfano kituo kina wapiga kura 500 tuhakikishe kura 300 zinaenda CCM, tuhakikishe upinzani hawapati hata nafasi ya kupumulia. Kuna mtu akauliza itakuwaje endapo kura zikizidi kituo kina wapiga kura 500 wote wakapiga kura ukiplus na zile zao 300. Jumla kura zinakua 800 akajibu hilo halina shida kwa sababu hakuna uchaguzi wapiga kura wote wakapiga kura akatoa mfano mwaka 2015 waliojiandikisha kwenye daftari walikua 22M waliopiga kura walikua 8M na hizo zao za magumashi zilikuepo akaendelea kusema na huo ndio ulikua uchaguzi ambao upinzani walikua na kelele sana lakini walifanikiwa kama mtu akiongea sana atapewa fomu ya malalamiko ambapo ikimfikia yeye mchezo unakua umemalizika

JINSI TULIVYOITWA KWENYE KIKAO NIT- MABIBO.

Kwanza kila mtu kapigiwa simu na namba tofauti, wakati wa kuingia unaonyesha namba ya mtu aliyekupigia ndio unaingia ndani . Wakati unapigiwa unaambiwa muda wa kwenda mimi niliambiwa saa 10jioni Ila nilifika pale saa 6.40mchana nikakuta kuna bonge la nyomi , kumbe kuna watu waliambiwa waende saa 1 asubuhi wengine saa 3asb,saa 5asb,saa8 na sisi wa saa 10. Ukiingia ndani unasaini kwenye jina lako alafu unaenda kwenye chumba cha uzalendo.

Haya ndiyo mambo yaliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS na iko hivi nchi nzima
Sisi fichuaTanzania yaani tutapenyeza watu kila mahali na kujua kila wanalolipanga na kuja kuwajulisha hapa mjue jinsi mlivyo na serikali ya hovyo.

Mipango yote inasukwa na Bwana Harlod Kagurumjuni pichani. Mawasiliano yake ni 0767124646.
Hahahaa...kelele za chura!
 
#ILIYOVUJA

Jinsi TISS walivyopanga kuvuruga uchaguzi Dar es Salaam(Kikao cha wasimamizi NIT -Mabibo leo 21.10.2020)

Inasimuliwa na mtu wetu tuliyempenyeza ndani ya NEC

👉Leo wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wote tumekusanywa kwenye HALL ukiingia getini lipo upande wa kulia,tukaamrishwa wote kuzima simu,ikatoe mwenzetu mmoja alikataa kuzimasimu yake na kuuliza kwa nini azime akafukuzwa.

👉Kuna jamaa(kutoka TISS) akawa anaongoza kikao na alipoanza kuongea cha kwanza akasema sisi ni wazalendo tumepata nafasi ya kipekee kupigiwa simu moja kwa moja kutoka NEC(kumbuka majina ya wasimamizi&makarani yalitoka jana), hivyo tunaenda kusimamia uchaguzi kwa maisha yetu yawe bora kwa miaka 5 ijayo.

👉 Jamaa akasema wasiokua na vyama wanyoshe mikono wakanyoosha watu 4 hapo hapo akawambia wasimame watoke nje, jamaa akafunguka na kuuliza ni nani kati yetu ambaye hajapendezwa na yaliyofanywa na Magufuli kwa miaka 5 iliyopita nani ambae hapendi Magufuli aendelee na mitano tena?Akasema wale waliotoka nje siyo wenzetu tuliobaki humu ni kitu kimoja akasema jamani ccm oyeee Magufuli oyeee Magufuli ng’ara…

👉Akaendelea sina mengi ya kuongea kuna mgeni ambae ataenda kumaliza kila kitu akaja huyo mgeni akajitambulisha yeye ni Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni na Kawe(kumbuka pale kulikuwa na watu kutoka kata mbalimbali) akasema yeye ndiye mgombea wa nafasi 3 uraisi ,ubunge na udiwani anaomba tusimwangushe CCMinataka kuchukua dola na haijawahi kushindwa, akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Tarimba oyeee, Gwajima safiii… Akaendelea kwa kusema sisi ndio tutampa kura, tumeitwa pale kwa kazi maalum kwa kua sisi ni wazalendo hivyo tuhakikishe kwa namna yoyote majimbo yote CCM inapata kura za kutosha, akasema cha muhimu sana kuliko vyote ni siri bila siri mambo hayaendi na hawapo tayari kupoteza mtu kwa kuvujisha siri kwa kua sisi ni wazalendo basi tutatunza siri akasema si huwa mnasikia watu wananyonya mate basi wao wananyonya pia na wakinyonya pua moja kwa moja wananyonya ubongo. Akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Sasa nini tunatakiwa kufanya kwa kazi maalum tuliyoitiwa kwa uzalendo wetu..

👉Akaendelea kusema hapa kuna makarani, wasimamizi wakuu na wasimamizi wasaidizi wa vituo. Tunachotakiwa kufanya tutafungua vituo saa 1 kamili asubuhi pale kwenye vituo tutakuta mawakala wa CCM wameshafika tayari, tutaendelea na taratibu tutawaonyesha wananchi box la kura kwamba liko tupu/halina kitu baada ya hapo tutaanza kupiga kura sisi wasimamizi na makarani halafu watafata mawakala. Hawa mawakala tayari watakua na kura(ambazo zinaandaliwa usiku wa tarehe 27.10.2020 zinapigwa mihuri kila kitu kama kura iliyokamilika) watakapoingia kwenye kituturi(kijumba cha kupigia kura)wakati wanatoka wanaenda kutumbukiza kwenye box la kura mkononi anakua na kura zaidi ya 10 mpaka 20 ama zinaweza kuzidi hapo, ataenda kutumbukiza kwenye box. Hili zoezi linafanyika kwa muda mfupi sana mpaka saa 1.30 linakua limeshakamilika kwa hiyo wao muda huo 1.30 ndio wanafika kwa kuwa vituo vinafunguliwa saa 2 asubuhi, hata kama wakiwahi asubuhi sana lazima utachezwa mchezo ili zoezi likamilike maana tumehakikishiwa ulinzi, tumeambiwa tukiona wakala wa upinzani anajua sana haki basi tunao uwezo wa kumuamrisha askari amtoe nje. Kwa sababu sisi wazalendo wa kazi maalum+mawakala wa ccm+askari ni kitu kimoja.

👉Akaendelea kusema mfano kituo kina wapiga kura 500 tuhakikishe kura 300 zinaenda CCM, tuhakikishe upinzani hawapati hata nafasi ya kupumulia. Kuna mtu akauliza itakuwaje endapo kura zikizidi kituo kina wapiga kura 500 wote wakapiga kura ukiplus na zile zao 300. Jumla kura zinakua 800 akajibu hilo halina shida kwa sababu hakuna uchaguzi wapiga kura wote wakapiga kura akatoa mfano mwaka 2015 waliojiandikisha kwenye daftari walikua 22M waliopiga kura walikua 8M na hizo zao za magumashi zilikuepo akaendelea kusema na huo ndio ulikua uchaguzi ambao upinzani walikua na kelele sana lakini walifanikiwa kama mtu akiongea sana atapewa fomu ya malalamiko ambapo ikimfikia yeye mchezo unakua umemalizika

JINSI TULIVYOITWA KWENYE KIKAO NIT- MABIBO.

👉Kwanza kila mtu kapigiwa simu na namba tofauti, wakati wa kuingia unaonyesha namba ya mtu aliyekupigia ndio unaingia ndani . Wakati unapigiwa unaambiwa muda wa kwenda mimi niliambiwa saa 10jioni Ila nilifika pale saa 6.40mchana nikakuta kuna bonge la nyomi , kumbe kuna watu waliambiwa waende saa 1 asubuhi wengine saa 3asb,saa 5asb,saa8 na sisi wa saa 10. Ukiingia ndani unasaini kwenye jina lako alafu unaenda kwenye chumba cha uzalendo.

👉Haya ndiyo mambo yaliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS na iko hivi nchi nzima
Sisi fichuaTanzania yaani tutapenyeza watu kila mahali na kujua kila wanalolipanga na kuja kuwajulisha hapa mjue jinsi mlivyo na serikali ya hovyo.

Mipango yote inasukwa na Bwana Harlod Kagurumjuni pichani. Mawasiliano yake ni 0767124646.
Duh!! Kitakachomwokoa Lissu labda nguvu toka nje ila sio ndani
 
Kipindi cha Mange nilikua kwenye magroup yake na ujasiri huu pia kila mtu alikuwa nao
Lisu akishinda itakuwa ni kama sikukuu kitaifa
Kama akishindwa ni majonzi kitaifa
Lisu yupo Tanzania na atakuwa wa mbele kabisa katika maandamano
Chadema ni chama pinzani hapa inajulikana mitaa yote nchi hii kila mtu amepata kusikia habari zake na kuhamasika mpaka kuwapa kura zao
Who is Mange Kimambi na maandamano yake? Instagram USA
Leo Tanzania kuna maelfu ya akina Mange kimambi namaanisha Kuna maelfu ya madiwani,wabunge na viongozi wengine wengi pamoja na wafuasi wao ambao wanahamasisha na kuwaonyenyesha watanzania wote ni jinsi gani CCM na mwenyekiti wao hawafai na kivipi chadema inafaa
Kweli mapokei haya unayafananisha na Mange?


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
#ILIYOVUJA

Jinsi TISS walivyopanga kuvuruga uchaguzi Dar es Salaam(Kikao cha wasimamizi NIT -Mabibo leo 21.10.2020)

Inasimuliwa na mtu wetu tuliyempenyeza ndani ya NEC

👉Leo wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wote tumekusanywa kwenye HALL ukiingia getini lipo upande wa kulia,tukaamrishwa wote kuzima simu,ikatoe mwenzetu mmoja alikataa kuzimasimu yake na kuuliza kwa nini azime akafukuzwa.

👉Kuna jamaa(kutoka TISS) akawa anaongoza kikao na alipoanza kuongea cha kwanza akasema sisi ni wazalendo tumepata nafasi ya kipekee kupigiwa simu moja kwa moja kutoka NEC(kumbuka majina ya wasimamizi&makarani yalitoka jana), hivyo tunaenda kusimamia uchaguzi kwa maisha yetu yawe bora kwa miaka 5 ijayo.

👉 Jamaa akasema wasiokua na vyama wanyoshe mikono wakanyoosha watu 4 hapo hapo akawambia wasimame watoke nje, jamaa akafunguka na kuuliza ni nani kati yetu ambaye hajapendezwa na yaliyofanywa na Magufuli kwa miaka 5 iliyopita nani ambae hapendi Magufuli aendelee na mitano tena?Akasema wale waliotoka nje siyo wenzetu tuliobaki humu ni kitu kimoja akasema jamani ccm oyeee Magufuli oyeee Magufuli ng’ara…

👉Akaendelea sina mengi ya kuongea kuna mgeni ambae ataenda kumaliza kila kitu akaja huyo mgeni akajitambulisha yeye ni Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni na Kawe(kumbuka pale kulikuwa na watu kutoka kata mbalimbali) akasema yeye ndiye mgombea wa nafasi 3 uraisi ,ubunge na udiwani anaomba tusimwangushe CCMinataka kuchukua dola na haijawahi kushindwa, akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Tarimba oyeee, Gwajima safiii… Akaendelea kwa kusema sisi ndio tutampa kura, tumeitwa pale kwa kazi maalum kwa kua sisi ni wazalendo hivyo tuhakikishe kwa namna yoyote majimbo yote CCM inapata kura za kutosha, akasema cha muhimu sana kuliko vyote ni siri bila siri mambo hayaendi na hawapo tayari kupoteza mtu kwa kuvujisha siri kwa kua sisi ni wazalendo basi tutatunza siri akasema si huwa mnasikia watu wananyonya mate basi wao wananyonya pia na wakinyonya pua moja kwa moja wananyonya ubongo. Akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Sasa nini tunatakiwa kufanya kwa kazi maalum tuliyoitiwa kwa uzalendo wetu..

👉Akaendelea kusema hapa kuna makarani, wasimamizi wakuu na wasimamizi wasaidizi wa vituo. Tunachotakiwa kufanya tutafungua vituo saa 1 kamili asubuhi pale kwenye vituo tutakuta mawakala wa CCM wameshafika tayari, tutaendelea na taratibu tutawaonyesha wananchi box la kura kwamba liko tupu/halina kitu baada ya hapo tutaanza kupiga kura sisi wasimamizi na makarani halafu watafata mawakala. Hawa mawakala tayari watakua na kura(ambazo zinaandaliwa usiku wa tarehe 27.10.2020 zinapigwa mihuri kila kitu kama kura iliyokamilika) watakapoingia kwenye kituturi(kijumba cha kupigia kura)wakati wanatoka wanaenda kutumbukiza kwenye box la kura mkononi anakua na kura zaidi ya 10 mpaka 20 ama zinaweza kuzidi hapo, ataenda kutumbukiza kwenye box. Hili zoezi linafanyika kwa muda mfupi sana mpaka saa 1.30 linakua limeshakamilika kwa hiyo wao muda huo 1.30 ndio wanafika kwa kuwa vituo vinafunguliwa saa 2 asubuhi, hata kama wakiwahi asubuhi sana lazima utachezwa mchezo ili zoezi likamilike maana tumehakikishiwa ulinzi, tumeambiwa tukiona wakala wa upinzani anajua sana haki basi tunao uwezo wa kumuamrisha askari amtoe nje. Kwa sababu sisi wazalendo wa kazi maalum+mawakala wa ccm+askari ni kitu kimoja.

👉Akaendelea kusema mfano kituo kina wapiga kura 500 tuhakikishe kura 300 zinaenda CCM, tuhakikishe upinzani hawapati hata nafasi ya kupumulia. Kuna mtu akauliza itakuwaje endapo kura zikizidi kituo kina wapiga kura 500 wote wakapiga kura ukiplus na zile zao 300. Jumla kura zinakua 800 akajibu hilo halina shida kwa sababu hakuna uchaguzi wapiga kura wote wakapiga kura akatoa mfano mwaka 2015 waliojiandikisha kwenye daftari walikua 22M waliopiga kura walikua 8M na hizo zao za magumashi zilikuepo akaendelea kusema na huo ndio ulikua uchaguzi ambao upinzani walikua na kelele sana lakini walifanikiwa kama mtu akiongea sana atapewa fomu ya malalamiko ambapo ikimfikia yeye mchezo unakua umemalizika

JINSI TULIVYOITWA KWENYE KIKAO NIT- MABIBO.

👉Kwanza kila mtu kapigiwa simu na namba tofauti, wakati wa kuingia unaonyesha namba ya mtu aliyekupigia ndio unaingia ndani . Wakati unapigiwa unaambiwa muda wa kwenda mimi niliambiwa saa 10jioni Ila nilifika pale saa 6.40mchana nikakuta kuna bonge la nyomi , kumbe kuna watu waliambiwa waende saa 1 asubuhi wengine saa 3asb,saa 5asb,saa8 na sisi wa saa 10. Ukiingia ndani unasaini kwenye jina lako alafu unaenda kwenye chumba cha uzalendo.

👉Haya ndiyo mambo yaliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS na iko hivi nchi nzima
Sisi fichuaTanzania yaani tutapenyeza watu kila mahali na kujua kila wanalolipanga na kuja kuwajulisha hapa mjue jinsi mlivyo na serikali ya hovyo.

Mipango yote inasukwa na Bwana Harlod Kagurumjuni pichani. Mawasiliano yake ni 0767124646.

Haya ni maandishi tuu kila mtu anaweza kuandika. Leta uthibitisho makini
 
#ILIYOVUJA

Jinsi TISS walivyopanga kuvuruga uchaguzi Dar es Salaam(Kikao cha wasimamizi NIT -Mabibo leo 21.10.2020)

Inasimuliwa na mtu wetu tuliyempenyeza ndani ya NEC

Leo wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wote tumekusanywa kwenye HALL ukiingia getini lipo upande wa kulia,tukaamrishwa wote kuzima simu,ikatoe mwenzetu mmoja alikataa kuzimasimu yake na kuuliza kwa nini azime akafukuzwa.

Kuna jamaa(kutoka TISS) akawa anaongoza kikao na alipoanza kuongea cha kwanza akasema sisi ni wazalendo tumepata nafasi ya kipekee kupigiwa simu moja kwa moja kutoka NEC(kumbuka majina ya wasimamizi&makarani yalitoka jana), hivyo tunaenda kusimamia uchaguzi kwa maisha yetu yawe bora kwa miaka 5 ijayo.

Jamaa akasema wasiokua na vyama wanyoshe mikono wakanyoosha watu 4 hapo hapo akawambia wasimame watoke nje, jamaa akafunguka na kuuliza ni nani kati yetu ambaye hajapendezwa na yaliyofanywa na Magufuli kwa miaka 5 iliyopita nani ambae hapendi Magufuli aendelee na mitano tena?Akasema wale waliotoka nje siyo wenzetu tuliobaki humu ni kitu kimoja akasema jamani ccm oyeee Magufuli oyeee Magufuli ng’ara…

Akaendelea sina mengi ya kuongea kuna mgeni ambae ataenda kumaliza kila kitu akaja huyo mgeni akajitambulisha yeye ni Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni na Kawe(kumbuka pale kulikuwa na watu kutoka kata mbalimbali) akasema yeye ndiye mgombea wa nafasi 3 uraisi ,ubunge na udiwani anaomba tusimwangushe CCMinataka kuchukua dola na haijawahi kushindwa, akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Tarimba oyeee, Gwajima safiii… Akaendelea kwa kusema sisi ndio tutampa kura, tumeitwa pale kwa kazi maalum kwa kua sisi ni wazalendo hivyo tuhakikishe kwa namna yoyote majimbo yote CCM inapata kura za kutosha, akasema cha muhimu sana kuliko vyote ni siri bila siri mambo hayaendi na hawapo tayari kupoteza mtu kwa kuvujisha siri kwa kua sisi ni wazalendo basi tutatunza siri akasema si huwa mnasikia watu wananyonya mate basi wao wananyonya pia na wakinyonya pua moja kwa moja wananyonya ubongo. Akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Sasa nini tunatakiwa kufanya kwa kazi maalum tuliyoitiwa kwa uzalendo wetu..

Akaendelea kusema hapa kuna makarani, wasimamizi wakuu na wasimamizi wasaidizi wa vituo. Tunachotakiwa kufanya tutafungua vituo saa 1 kamili asubuhi pale kwenye vituo tutakuta mawakala wa CCM wameshafika tayari, tutaendelea na taratibu tutawaonyesha wananchi box la kura kwamba liko tupu/halina kitu baada ya hapo tutaanza kupiga kura sisi wasimamizi na makarani halafu watafata mawakala. Hawa mawakala tayari watakua na kura(ambazo zinaandaliwa usiku wa tarehe 27.10.2020 zinapigwa mihuri kila kitu kama kura iliyokamilika) watakapoingia kwenye kituturi(kijumba cha kupigia kura)wakati wanatoka wanaenda kutumbukiza kwenye box la kura mkononi anakua na kura zaidi ya 10 mpaka 20 ama zinaweza kuzidi hapo, ataenda kutumbukiza kwenye box. Hili zoezi linafanyika kwa muda mfupi sana mpaka saa 1.30 linakua limeshakamilika kwa hiyo wao muda huo 1.30 ndio wanafika kwa kuwa vituo vinafunguliwa saa 2 asubuhi, hata kama wakiwahi asubuhi sana lazima utachezwa mchezo ili zoezi likamilike maana tumehakikishiwa ulinzi, tumeambiwa tukiona wakala wa upinzani anajua sana haki basi tunao uwezo wa kumuamrisha askari amtoe nje. Kwa sababu sisi wazalendo wa kazi maalum+mawakala wa ccm+askari ni kitu kimoja.

Akaendelea kusema mfano kituo kina wapiga kura 500 tuhakikishe kura 300 zinaenda CCM, tuhakikishe upinzani hawapati hata nafasi ya kupumulia. Kuna mtu akauliza itakuwaje endapo kura zikizidi kituo kina wapiga kura 500 wote wakapiga kura ukiplus na zile zao 300. Jumla kura zinakua 800 akajibu hilo halina shida kwa sababu hakuna uchaguzi wapiga kura wote wakapiga kura akatoa mfano mwaka 2015 waliojiandikisha kwenye daftari walikua 22M waliopiga kura walikua 8M na hizo zao za magumashi zilikuepo akaendelea kusema na huo ndio ulikua uchaguzi ambao upinzani walikua na kelele sana lakini walifanikiwa kama mtu akiongea sana atapewa fomu ya malalamiko ambapo ikimfikia yeye mchezo unakua umemalizika

JINSI TULIVYOITWA KWENYE KIKAO NIT- MABIBO.

Kwanza kila mtu kapigiwa simu na namba tofauti, wakati wa kuingia unaonyesha namba ya mtu aliyekupigia ndio unaingia ndani . Wakati unapigiwa unaambiwa muda wa kwenda mimi niliambiwa saa 10jioni Ila nilifika pale saa 6.40mchana nikakuta kuna bonge la nyomi , kumbe kuna watu waliambiwa waende saa 1 asubuhi wengine saa 3asb,saa 5asb,saa8 na sisi wa saa 10. Ukiingia ndani unasaini kwenye jina lako alafu unaenda kwenye chumba cha uzalendo.

Haya ndiyo mambo yaliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS na iko hivi nchi nzima
Sisi fichuaTanzania yaani tutapenyeza watu kila mahali na kujua kila wanalolipanga na kuja kuwajulisha hapa mjue jinsi mlivyo na serikali ya hovyo.

Mipango yote inasukwa na Bwana Harlod Kagurumjuni pichani. Mawasiliano yake ni 0767124646.
ARON KAGURUMJULI
 
#ILIYOVUJA

Jinsi TISS walivyopanga kuvuruga uchaguzi Dar es Salaam(Kikao cha wasimamizi NIT -Mabibo leo 21.10.2020)

Inasimuliwa na mtu wetu tuliyempenyeza ndani ya NEC

Leo wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wote tumekusanywa kwenye HALL ukiingia getini lipo upande wa kulia,tukaamrishwa wote kuzima simu,ikatoe mwenzetu mmoja alikataa kuzimasimu yake na kuuliza kwa nini azime akafukuzwa.

Kuna jamaa(kutoka TISS) akawa anaongoza kikao na alipoanza kuongea cha kwanza akasema sisi ni wazalendo tumepata nafasi ya kipekee kupigiwa simu moja kwa moja kutoka NEC(kumbuka majina ya wasimamizi&makarani yalitoka jana), hivyo tunaenda kusimamia uchaguzi kwa maisha yetu yawe bora kwa miaka 5 ijayo.

Jamaa akasema wasiokua na vyama wanyoshe mikono wakanyoosha watu 4 hapo hapo akawambia wasimame watoke nje, jamaa akafunguka na kuuliza ni nani kati yetu ambaye hajapendezwa na yaliyofanywa na Magufuli kwa miaka 5 iliyopita nani ambae hapendi Magufuli aendelee na mitano tena?Akasema wale waliotoka nje siyo wenzetu tuliobaki humu ni kitu kimoja akasema jamani ccm oyeee Magufuli oyeee Magufuli ng’ara…

Akaendelea sina mengi ya kuongea kuna mgeni ambae ataenda kumaliza kila kitu akaja huyo mgeni akajitambulisha yeye ni Mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni na Kawe(kumbuka pale kulikuwa na watu kutoka kata mbalimbali) akasema yeye ndiye mgombea wa nafasi 3 uraisi ,ubunge na udiwani anaomba tusimwangushe CCMinataka kuchukua dola na haijawahi kushindwa, akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Tarimba oyeee, Gwajima safiii… Akaendelea kwa kusema sisi ndio tutampa kura, tumeitwa pale kwa kazi maalum kwa kua sisi ni wazalendo hivyo tuhakikishe kwa namna yoyote majimbo yote CCM inapata kura za kutosha, akasema cha muhimu sana kuliko vyote ni siri bila siri mambo hayaendi na hawapo tayari kupoteza mtu kwa kuvujisha siri kwa kua sisi ni wazalendo basi tutatunza siri akasema si huwa mnasikia watu wananyonya mate basi wao wananyonya pia na wakinyonya pua moja kwa moja wananyonya ubongo. Akapiga CCM oyeee, Magufuli oyeee, Magufuli ng’ara, Sasa nini tunatakiwa kufanya kwa kazi maalum tuliyoitiwa kwa uzalendo wetu..

Akaendelea kusema hapa kuna makarani, wasimamizi wakuu na wasimamizi wasaidizi wa vituo. Tunachotakiwa kufanya tutafungua vituo saa 1 kamili asubuhi pale kwenye vituo tutakuta mawakala wa CCM wameshafika tayari, tutaendelea na taratibu tutawaonyesha wananchi box la kura kwamba liko tupu/halina kitu baada ya hapo tutaanza kupiga kura sisi wasimamizi na makarani halafu watafata mawakala. Hawa mawakala tayari watakua na kura(ambazo zinaandaliwa usiku wa tarehe 27.10.2020 zinapigwa mihuri kila kitu kama kura iliyokamilika) watakapoingia kwenye kituturi(kijumba cha kupigia kura)wakati wanatoka wanaenda kutumbukiza kwenye box la kura mkononi anakua na kura zaidi ya 10 mpaka 20 ama zinaweza kuzidi hapo, ataenda kutumbukiza kwenye box. Hili zoezi linafanyika kwa muda mfupi sana mpaka saa 1.30 linakua limeshakamilika kwa hiyo wao muda huo 1.30 ndio wanafika kwa kuwa vituo vinafunguliwa saa 2 asubuhi, hata kama wakiwahi asubuhi sana lazima utachezwa mchezo ili zoezi likamilike maana tumehakikishiwa ulinzi, tumeambiwa tukiona wakala wa upinzani anajua sana haki basi tunao uwezo wa kumuamrisha askari amtoe nje. Kwa sababu sisi wazalendo wa kazi maalum+mawakala wa ccm+askari ni kitu kimoja.

Akaendelea kusema mfano kituo kina wapiga kura 500 tuhakikishe kura 300 zinaenda CCM, tuhakikishe upinzani hawapati hata nafasi ya kupumulia. Kuna mtu akauliza itakuwaje endapo kura zikizidi kituo kina wapiga kura 500 wote wakapiga kura ukiplus na zile zao 300. Jumla kura zinakua 800 akajibu hilo halina shida kwa sababu hakuna uchaguzi wapiga kura wote wakapiga kura akatoa mfano mwaka 2015 waliojiandikisha kwenye daftari walikua 22M waliopiga kura walikua 8M na hizo zao za magumashi zilikuepo akaendelea kusema na huo ndio ulikua uchaguzi ambao upinzani walikua na kelele sana lakini walifanikiwa kama mtu akiongea sana atapewa fomu ya malalamiko ambapo ikimfikia yeye mchezo unakua umemalizika

JINSI TULIVYOITWA KWENYE KIKAO NIT- MABIBO.

Kwanza kila mtu kapigiwa simu na namba tofauti, wakati wa kuingia unaonyesha namba ya mtu aliyekupigia ndio unaingia ndani . Wakati unapigiwa unaambiwa muda wa kwenda mimi niliambiwa saa 10jioni Ila nilifika pale saa 6.40mchana nikakuta kuna bonge la nyomi , kumbe kuna watu waliambiwa waende saa 1 asubuhi wengine saa 3asb,saa 5asb,saa8 na sisi wa saa 10. Ukiingia ndani unasaini kwenye jina lako alafu unaenda kwenye chumba cha uzalendo.

Haya ndiyo mambo yaliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS na iko hivi nchi nzima
Sisi fichuaTanzania yaani tutapenyeza watu kila mahali na kujua kila wanalolipanga na kuja kuwajulisha hapa mjue jinsi mlivyo na serikali ya hovyo.

Mipango yote inasukwa na Bwana Harlod Kagurumjuni pichani. Mawasiliano yake ni 0767124646.
Basi sawa. Penye ukweli uongo hujitenga
 
Huenda wengi wasinielewe kwenye hili.
Nani anakumbuka 2018 harakati za Mange? Sasa kama bado tuko na akili na uoga huo basi bora tumpigie Magufuli kura kwa sababu hizi.

1. Sehemu zenye wapinzani maendeleo hayataletwa(Magu mwenyewe anasema sana)

2. Kutakuwa na wimbi kubwa la waunga mkono juhudi (sababu ya kujipendekeza)

3. Mbinyo utakuwa mkali sana kwa wanasiasa wa upinzani.

Sasa kama tunajijua bado ni waoga hatuna ujasiri basi tumchague Magufuli tu ili kuondokana na ubaguzi wa CCM kwenye maendeleo

Kama hataleta maendeleo ni kwakuwa hana hela, hivyo atatumia kigezo cha kuchagua wapinzani kama kisingizio cha kutokupeleka maendeleo. Halafu kuna hadaa fulani inaendelea hivi sasa kutaka kuonyesha kama Magufuli ndio alfa na omega ya maendeleo ya nchi hii, kitu ambacho si kweli. Sisi kwetu hatumchagui na hayo maendeleo yake uchwara hatutaki. Yeye sio nchi bali kiongozi wa serikali, hivyo atatoka madarakani yataletwa na serikali nyingine.
 
Back
Top Bottom