Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena, safari hii tutalia sana kwani kama alivyowahi kuonya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP), aliyeonja nyama ya mtu haachi.
SanaCCM ni chama cha amani sana
Sitashangaa kama baada ya tishio lake hili lililoonekana kuungwa mkono na uongozi wa juu wa CCM ndio kikosi cha wasiojulikana kikaundwa. RIP Ben Saanane, RIP Azory Gwanda, RIP Watanzania waliopotezwa katika hiyo miaka mitano.Binafsi sijaelewa, na huwa nauliza watu wangu mara kwa mara, hivi huyu mtu huwa anamtaja mungu yupi anaedai kumtanguliza, yaani umtangulize Mungu kwenye kupanga kuwapoteza watu ?, na huyu ni muuaji nasema kila siku.
Je usichoelewa hapo ni nini au hujui Kiswahili? Je huyo anayetishia kuwapoteza wasiomtaka hukumsikia? Je hao wanaoshangilia huwaoni? Je hiyo video ni fake? Imetengenezwa na Chadema? Kuwa mwana CCM mbona ni laana.Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Je usichoelewa hapo ni nini au hujui Kiswahili? Je huyo anayetishia kuwapoteza wasiomtaka hukumsikia? Je hao wanaoshangilia huwaoni? Je hiyo video ni fake? Imetengenezwa na Chadema? Kuwa mwana CCM mbona ni laana.
Kumwogopa Mungu ni tofauti na kumtanguliza Mungu. Mwovu anamwogopa sana Mungu na siku zote ana hofu na kuomba watu wamwombee. Sara zake pekee anajua fika Mungu hatamsikiliza.Binafsi sijaelewa, na huwa nauliza watu wangu mara kwa mara, hivi huyu mtu huwa anamtaja mungu yupi anaedai kumtanguliza, yaani umtangulize Mungu kwenye kupanga kuwapoteza watu ?, na huyu ni muuaji nasema kila siku.
Achana na hiyo takatakaJe usichoelewa hapo ni nini au hujui Kiswahili? Je huyo anayetishia kuwapoteza wasiomtaka hukumsikia? Je hao wanaoshangilia huwaoni? Je hiyo video ni fake? Imetengenezwa na Chadema? Kuwa mwana CCM mbona ni laana.
Kinachoogofya zaidi ni huyu mtu kupewa miaka mingine mitano licha ya kwamba hapendwi kabisa. Waoga, wanafiki na walafi wameamua kuvitumia vyombo vya dola kumsukumizia miaka mingine mitano, je tutapona? Hilo ndilo swali ambalo kila Mtanzania itabidi ajiulize.Huyu mzee hawezi kabisa kudhibiti matumizi ya kinywa chake..
Binadamu yeyote akiwa na weakness ya namna hii, wakati wote ataakuwa mtu wa kuingia matatizoni..
Na huyu asingekuwa na "kinga ya madaraka ya urais", hakika maisha yake yote yangekuwa jela tu..
Maana huyu ni mhalifu tu sawa walivyo wahalifu wengine kama vile majambazi waporao mali za watu kwa kutumia silaha..!