Malick M. Malick
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 647
- 304
October 28 ,2020 Watanzania twendeni tukamsimike Dkt. Magufuli Kwa ushindi wa kishindo ,miaka mitano mingine ya kazi, Afrika inajua ,Dunia inajua kazi ya Mtoto wa Afrika kutoka Chato ,mwana Mageuzi ya kweli.
Tunajua nchi za Magharibi hawapendi Juhudi za mwamba JPM kuipeleka nchi katika Maendeleo ya kiuchumi, yatakaifanya Tanzania isimame Kwa miguu miwili bila kupiga magoti Kwa Taifa lolote.
Wanatamani watanzania wafanye makosa wachague mtu ambae wamemuweka mfukoni, ili tusijikomboe kiuchumi.
Watanzania wanajua Maendeleo ya kweli na Uhuru wa kweli Utaletwa na Mwamba JPM, ili kazi iendeleee.
Hasibaki mtu nyumbani October 28, tukachague miaka mingine ya kazi na Maendeleo
Timeona nchi nyingi Afrika waliochagua vyama vya upinzani walishaingia madarakani wanabadalisha katiba waendelee kubaki ,rejea Cote d'Ivoire , Guinea ya ikweta, Senegal, viongozi wanaotokea upinzani wakiingia hawataki kutoka.
Niwaombe Watanzania wasipige kura kwa hasira. Tuna Tanzania moja tu, Amani yetu Tuilinde, ni tunu. Tusikubali mtu atufarakanishe wakati hatuna nchi Nyingine.
Watanzania wengi hawana hati za kusafiria kama wale wanaotaka tuwe na chuki katika Taifa letu.
Tuchague mtu wa kazi, Dr Magufuli ameitunza Amani yetu Kwa miaka mitano, kila mtu shahidi.
Amani ndio utajiri wetu, hakuna mbadala wa Amani.
CCM imeitunza Amani ya nchi hii tokea tulipopata Uhuru
CHAGUA CCM, CHAGUA MAGUFULI
Tunajua nchi za Magharibi hawapendi Juhudi za mwamba JPM kuipeleka nchi katika Maendeleo ya kiuchumi, yatakaifanya Tanzania isimame Kwa miguu miwili bila kupiga magoti Kwa Taifa lolote.
Wanatamani watanzania wafanye makosa wachague mtu ambae wamemuweka mfukoni, ili tusijikomboe kiuchumi.
Watanzania wanajua Maendeleo ya kweli na Uhuru wa kweli Utaletwa na Mwamba JPM, ili kazi iendeleee.
Hasibaki mtu nyumbani October 28, tukachague miaka mingine ya kazi na Maendeleo
Timeona nchi nyingi Afrika waliochagua vyama vya upinzani walishaingia madarakani wanabadalisha katiba waendelee kubaki ,rejea Cote d'Ivoire , Guinea ya ikweta, Senegal, viongozi wanaotokea upinzani wakiingia hawataki kutoka.
Niwaombe Watanzania wasipige kura kwa hasira. Tuna Tanzania moja tu, Amani yetu Tuilinde, ni tunu. Tusikubali mtu atufarakanishe wakati hatuna nchi Nyingine.
Watanzania wengi hawana hati za kusafiria kama wale wanaotaka tuwe na chuki katika Taifa letu.
Tuchague mtu wa kazi, Dr Magufuli ameitunza Amani yetu Kwa miaka mitano, kila mtu shahidi.
Amani ndio utajiri wetu, hakuna mbadala wa Amani.
CCM imeitunza Amani ya nchi hii tokea tulipopata Uhuru
CHAGUA CCM, CHAGUA MAGUFULI