watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. CalvinKimaro

    Watanzania wenzangu, biashara ya usafiri wa anga (ndege) sio kama Uber jamani

    Tunapoambiwa ATCL imepata hasara tusibeze sana. Kuna American Express na Delta Lines wanachungulia kaburi! Na Amar hapo UK British Airways imegubikwa madeni nusura izame! Tatizo lenu ni uzungu pori? Ni mashirika ya wenye mafuta kina EMIRATES, QATAR na wenzao Serikali zao zimenunua madeni...
  2. Emanueli misalaba

    Naomba kuelimishwa kuhusu Deep State

    Waungwana, Shalom Shalom na kwa jamaa zangu Asalaam aleykum, Kama ambavyo kichwa husika hapo juu kilivyo, wacha nisiwapotezee muda nijielekeze moja kwa moja kwenye maswali kwa Watanzania wenzangu. Nimekuwa nikisikia tu kitu kinachoitwa Deep State ingawa kiundani sikijui. Hapa JF bila shaka...
  3. V

    Tuamke Watanzania na kwa umoja tuliombee taifa letu

    Habari zenu wakuu JF. Kwanza kabisa nitoe pole zangu watanzania wenzangu kwa upande wa bara na visiwani na kwa Wote walioguswa na Msiba Wa Raisi wetu John Joseph Pombe Magufuli. Ni wazi kuna mambo mengi ameyafanya ambayo kwa namna moja ni sawa na anastahili pongezi kwa jinsi Mungu alivyomtumia...
  4. E

    Tatizo la simu fake Kariakoo kwanini vijana tusijiingize kwenye hii biashara tusaidie watanzania wenzetu wanaolizwa kila siku?

    Habari za leo wakuu, Nimekua nikifuatilia baadhi ya nyuzi hapa jamii forum, Kuna watanzania wamekuwa wakilalamika juu ya bidhaa za kielectronic zinazouzwa Kariakoo na kwamba watu wanauziwa simu feki. Watanzania wanashindwa kutumia simu zenye viwango kwasababu tu wauzaji wa Kariakoo wamekosa...
  5. J

    Watanzania tuchukue tahadhari ya Corona. Jirani zetu Kenya hali ni tete haspitali zimezidiwa wagonjwa

    Tunakumbushana tu hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mikusanyiko ya kila aina na majirani wa nchi jirani wanavuka mipaka kuja kuhani msiba huu mkubwa tulionao. Tafadhali tuchukue tahadhari wenzetu Kenya hali ni tete. Zaidi soma > Wataalamu wa afya wanahofia kuwa wagonjwa wengi wa Corona...
  6. Haitham Kim

    Tunalia Watanzania

    Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia, Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia, Itakuja siku moja tena tutaonana tena, Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema, Hivi ndio kweli hatukuoni tena, Itakuaje ile mitano tena, Wasanii tulikupenda sana, Wanakulilia wakina mama.
  7. Haitham Kim

    Tunalia Watanzania

    Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia, Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia, Itakuja siku moja tena tutaonana tena, Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema, Hivi ndio kweli hatukuoni tena, Itakuaje ile mitano tena, Wasanii tulikupenda sana, Wanakulilia wakina mama.
  8. M

    Kifo cha Magufuli: Dunia imeshuhudia Watanzania walivyokuwa wanampenda Magufuli

    Mawakala wa mabeberu walikuwa wanajitahidi Sana kuiaminisha Dunia kuwa Watanzania wako kwenye mateso Sana chini ya utawala wa Rais Magufuli. Waliamini watanzania walio wengi watafurahi Sana na kushangilia Magufuli atakapoondoka madarakani au atakapofariki. Kinyume chake mabeberu na mawakala wao...
  9. Nyani Ngabu

    Macho yangu yananidanganya?

    Mimi si kipofu wala si kiziwi. Uwezo wangu wa kuona na kusikia upo juu. Hivi hiki ninachokiona kwa macho yangu na kukisikia kwa masikio yangu ni uongo? Nina maruerue labda? Hayo ninayoyaona ni mazingaombwe? Kwa nyomi hizi zinazojipanga barabarani mwili wa Rais Magufuli unapopitishwa ndo...
  10. Chaliifrancisco

    Watanzania Tunahitaji Reality Check

    Katika pita pita zangu hapa JF na mitandao mingine naona watu wanashangilia sana Magufuli kuagwa kwa nyomi ya watu. Kuna wengine wana "spam" nyuzi za wengine kwa picha za kujirudia rudia zikionyesha idadi kubwa ya watu waliojitokeza tokea jana mpaka leo katika uwanja wa Uhuru na barabarani...
  11. mama D

    Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

    Mods Moderator naomba msiunganishe huu uzi🙏 Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe...
  12. sammosses

    R.I.P Rais Magufuli; Ni nyakati mpya na kurasa mpya kwa watanzania

    Mwenyezi Mungu akurehemu katika Safari yako JPM, sisi ni wake na hakika kwake ni marejeo. Umetangulia hatujui inayo fuata ni zamu ya nani kati yangu Mimi na wewe unaye soma mada hii,ila inshallah Allah atufanyie wepesi katika Safari yetu tuondokane na ujasiri na kibri usio na tija kwa jamii...
  13. LIKUD

    Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

    SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio...
  14. Nyankurungu2020

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuwajibika kwa kudanganya Taifa lililokuwa na taharuki kubwa

    Wanabodi najua kabisa tupo kwenye msiba mkubwa. Msiba ambao umemgusa kila mtu na mpaka sasa kila Mwananchi haamini kilichotokea. Lakini yapata kama wiki moja iliyopita taifa zima lilikumbwa na taharuki kubwa. Kila raia mwenye mapenzi na mkuu wa nchi yetu alitaka kujua kama anaumwa au haumwi...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Wito kwa Viongozi wengine na watanzania kwa ujumla

    WITO KWA VIONGOZI WENGINE NA WATANZANIA KWA UJUMLA Na, Rpbert Heriel Kwanza namshukuru Mungu, yeye aliyemuweza wa yote, mwenye mamlaka atupaye mamlaka, mwenye nguvu atupaye nguvu, mwenye elimu atupaye elimu, Huyo mwenye kila sifa njema ndiye namshukuru. Baada ya hapo, niwape pole wote...
  16. Francis12

    Baba Askofu Bagonza: Naendelea kuleta salaam za pole kwa watanzania wote. Poleni kwa msiba mzito. Faraja ya kweli itufunike sote

    Anaandika Baba Askofu Bagonza MASUALA siyo MAJINA Naendelea kuleta salaam za pole kwa watanzania wote. Poleni kwa msiba mzito. Faraja ya kweli itufunike sote. Katika nyakati za kutafuta au kuchagua Viongozi, Baba wa Taifa alikuwa akisisitiza umuhimu wa kuchambua na kuorodhesha masuala kuliko...
  17. Replica

    Kenyatta aihutubia Kenya msiba wa Magufuli, atangaza siku saba za maombelezo na bendera nusu mlingoti

    Leo Rais wa Kenya amelihutubia Taifa la Kenya juu ya kifo cha Rais Magufuli na kutoa pole kwa mama Janeth Magufuli na watanzania. Amesema anakumbuka ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya na kwa pamoja wakafungua barabara inayoitwa 'Seven Bypass' na kwake binafsi anaikumbuka heshma kubwa...
  18. T

    Mama Samia aliposema tushikamane ni muda sasa wa Watanzania waishio nje ya nchi kurudi kuijenga nchi yetu

    Mshikamano huu si kwa walio nchini tu bali wale wote wanaoishi nchi za nje bila kupenda. Kama kuna Mtanzania yeyote aliikimbia nchi, naomba arudi 'tushikamane' tujenge nchi yetu. Kama kuna mfanyabiashara yeyote alihamishia biashara yake nje ya nchi, naomba arudi 'tushikamane' tuijenge Tanzania...
  19. Mzee Mwanakijiji

    Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan

    Naomba kuwapa pole Watanzania wenzangu kufuatia msiba huu mkubwa wa Taifa letu. Kifo cha Rais John J. P. Magufuli kumeacha ombwe na pia mafunzo kwa maisha yetu sote. Nimepokea kwa masikitiko makubwa msiba huu. Vyovyote vile ilivyo, kama nilivyowahi kusema huko nyuma hakuna ombwe la uongozi...
  20. Nyankurungu2020

    Je, CCM ni chama kisichopenda Watanzania wawe na maisha bora? Tangu kitawale nchi hakuna mtawala aliyewaacha vizuri wananchi

    Tangu tupate Uhuru CCM imekuwa initawala hii nchi. Hakuna mtawala ambae kama Rais wa nchi alishawaacha watanzania na maisha bora. Awamu ya Kwanza ya Mwl. iliacha watanzania wakiwa na hali mbaya sana ya kimaisha. Watu walivaaa masempele. Mahala pa kulala palikuwa hovyo kabisa. Awamu ya pili...
Back
Top Bottom