GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,795
Nimeshtuka kuona sasa ni Wiki ya Tatu hii Watanzania wengi wa Mitandaoni ni kama vile tumezimwa ghafla na ule 'Mvumo' wetu wa Kumsagia Kunguni Ole Sabaya na Pacha wake wa Matukio ya 'hovyo hovyo' nchini Paul Makonda.
Ni kwanini Watanzania wa Mitandaoni humu na hata wale wa nje ( katika Jamii ) tukiwa tuna Jambo letu huwa hatuendi nalo hadi likamilike na badala yake huwa 'tunachepushwa' Kiaina kisha tunalisahau na kuachana nalo na kuwapa Ushindi wale tuliokuwa tukiwasagia Kunguni?
Ni kwanini Watanzania wa Mitandaoni humu na hata wale wa nje ( katika Jamii ) tukiwa tuna Jambo letu huwa hatuendi nalo hadi likamilike na badala yake huwa 'tunachepushwa' Kiaina kisha tunalisahau na kuachana nalo na kuwapa Ushindi wale tuliokuwa tukiwasagia Kunguni?