Watanzania tuache hii tabia ya kuwasifia viongozi kupitiliza, tunawaharibu

Gulwa

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
9,789
14,873
Kuna tabia iliyojengwa miongoni mwetu ya kutoa sifa zilizopitilizakwa viongozi wapya, hasa rais, waingiapo madarakani. Tabia hii sijui tumeirithi wapi?

Tunawapa sifa mpaka wanajiona miungu. Tumejifunza kwa mwendazake na sasa tumehamia kwa mama. Baada ya siku 100 madarakani zimeimbwa ngonjera kila kona ya nchi kama vile samia mashuka juu. Radio, tv, magazeti, midahalo nk. vimesikiaka vikiumuona mama kama masiha au nabii.

Tutakuja kujuta baadaye kama tulivyojuta kwa kumsifia dikteta.
 
Kuna tabia iliyojengwa miongoni mwetu ya kutoa sifa zilizopitilizakwa viongozi wapya, hasa rais, waingiapo madarakani. Tabia hii sijui tumeirithi wapi?

Tunawapa sifa mpaka wanajiona miungu. Tumejifunza kwa mwendazake na sasa tumehamia kwa mama. Baada ya siku 100 madarakani zimeimbwa ngonjera kila kona ya nchi kama vile samia mashuka juu. Radio, tv, magazeti, midahalo nk. vimesikiaka vikiumuona mama kama masiha au nabii.

Tutakuja kujuta baadaye kama tulivyojuta kwa kumsifia dikteta.
Mimi bado sijaona cha kumsifia kwa siku zote mia moja.
 
Kuna tabia iliyojengwa miongoni mwetu ya kutoa sifa zilizopitilizakwa viongozi wapya, hasa rais, waingiapo madarakani. Tabia hii sijui tumeirithi wapi?

Tunawapa sifa mpaka wanajiona miungu. Tumejifunza kwa mwendazake na sasa tumehamia kwa mama. Baada ya siku 100 madarakani zimeimbwa ngonjera kila kona ya nchi kama vile samia mashuka juu. Radio, tv, magazeti, midahalo nk. vimesikiaka vikiumuona mama kama masiha au nabii.

Tutakuja kujuta baadaye kama tulivyojuta kwa kumsifia dikteta.
Mkuu asante sana sana. Wewe umeona ambacho wengi hawakioni. Kwangu mimi mama Samia hakuna kitu special sana amekifanya zaidi ya kutoendeleza ule ukatili wa Magufuli. Anyways siyo kama nadharau aliyofanya, amejitahidi kiasi chake, lakini haya mambo ya kusifu kama tunamsifu masiha au Mungu ni mambo yaliyopitwa na wakati. Yanafanya rais asione njia sahihi.
 
Kuna tabia iliyojengwa miongoni mwetu ya kutoa sifa zilizopitilizakwa viongozi wapya, hasa rais, waingiapo madarakani. Tabia hii sijui tumeirithi wapi?

Tunawapa sifa mpaka wanajiona miungu. Tumejifunza kwa mwendazake na sasa tumehamia kwa mama. Baada ya siku 100 madarakani zimeimbwa ngonjera kila kona ya nchi kama vile samia mashuka juu. Radio, tv, magazeti, midahalo nk. vimesikiaka vikiumuona mama kama masiha au nabii.

Tutakuja kujuta baadaye kama tulivyojuta kwa kumsifia dikteta.
Hii ilitokea kwa Mobutu pia, walimsifu sana na akawa anapenda sifa hizo, mwishowe akawachoka na kuanza kuwapuuza. Mwisho wa siku alipokufa wale waliokuwa wakimsifu wakaanza kujitetea kama vile walilazimishwa
Alipoingia kabila mkubwa naye akamwagiwa sifa kama samia, lakini alipokufa waliokuwa wanamsifu wakaanza tena kumnanga. Hata samia haitachukua miaka watamchoka
 
Back
Top Bottom