Dikteta anaweza ongoza,
Mzembe anaweza kuongoza
Asiejali anaweza kuongoza nk,
Nadhani uhuru wa kupeana mezani yaweza kua sababu, viongozi wanajiona kama malaika, wakishafanikiwa wao wengine hawana maana, mambo yanafanyika na hayatolewi majibu na hakuna anae wajibika, kila kitu ni drama na...