watanganyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Bila Suzan S. Kaganda kuwa IGP, tugomee maridhiano Samia Suluhu na Watanganyika. Wambura ni Pandikizi

    Jana nimekutana na balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe, Suzan S. Kaganda hazina ya Taifa. Baada ya kumsikiliza vizuri, nimeamini kumbe Nchi yetu bado ina Wazalendo. Tatizo Wazalendo CCM hawataki wakae karibu na Wananchi. Mfano Balozi Polepole alipelekwa Cuba, Balozi Suzan kapelekwa and Zimbabwe...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Iweje Mtanganyika akiagiza mafuata ya kupikia kutoka Zanzibar alipe ushuru na kodi?

    Tanganyika na Zanzibar ni nchi moja. Huwezi kufanya mapinduzi Zanzibar Sababu Zanzibar zio dola huru. Iweje Mtanganyika akiagiza mafuata ya kupikia kutoka Zanzibar alipe ushuru na kodi?
  3. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Rai: Tutengeneze database ya waliowasababishia madhila mengi Watanganyika kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo

    Hili ni wazo la mkuu Kalamu alilitoa tukiwa kwenye mjadala wa mada ya CHADEMA Alishauri tuweke kwenye kumbukumbu kwa faida ya historia Mambo ya hovyo, uvunjaji wa sheria na haki za binadamu ukiukwaji wa taratibu mbalimbali umefanywa na mamlaka mbalimbali aidha kwa ufinyu wa kuelewa lakini kwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi! Watanganyika ni watu au mizimu watu?

    Hawajui baya na zuri, zuri kwao ni baya, na baya kwao ni zuri! Samahanini Watanganyika kwa swali hili Ukisema Watanganyika ni watu Utaje na sababu zake Ndiyo maana mtu anaweza kuwatoa sadaka wote kabisa kwa miungu yake na msifanye chochote Kwamba Bandari tuliwapa wawekezaji, wawekezaji...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania TFF sio kundi la kigaidi kama wanavyosema polisi bali ni kundi la Watanganyika wazalendo. Ushindi upo karibu

    Moja ya kiongozi wa Kundi la Tanzania Freedom Fighters(TFF) amefafanua na kueleza maana halisi ya kundi hili Amesema TFF ni kundi la wananchi wa Tanganyika Wazalendo na sio kundi la kigaidi au la uasi kama wanavyosema Jeshi la Polisi. Aidha amesema kindi hili limezaliwa baada yaliotokea Oktoba...
  6. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama Watanganyika hata Wazenj wangeulizwa bila mizengwe kuhusu muungano, unadhani nini ingekuwa uamuzi wao?

    Kwa sasa, sina shaka muungano wetu ulioanzishwa na wakoloni hauna maana yoyote. Umegeuka mzigo na ukoloni kwa Tanganyika iliyouawa na ubinafsi na udkteta wa Nyerere na woga wa Karume asipinduliwe na waarabu. Hayo sasa yalishapita. Inakuwaje tunang'ang'ania kitu cha hasara hasa kwa Tanganyika...
  7. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Watanganyika wana akili sana. Wamemkataa Jesca Magufuli baada ya kutumiwa na mafisadi wa CCM kama chambo

    CCM mtandao ni wajinga na hawana akili za kuweza kuwadanganya Watanganyika. Walidhani Jesca Magufuli atakuwa bait ili wakubalike kwa Watanganyika. Yuko wapi Humphrey Polepole?
  8. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Aliyetoa hoja na waliokubaliana kuteka na kuua watanganyika kama njia ya kuwanyamazisha aambiwe imeshindwa na haina mashiko

    Kama kuna mtub huko serikalini aliye pendekeza kuwepo project ya kuteka na kuua watanganyika ili kuzima ukosoaji mwambieni project ime fail. Maana sasa output zake sio poa kabisa. 1. Inchi imechafuka kimataifa, 2. Ukosoaji unaongezeka, 3.Serikali inachukiwa na kuwa isolated na wananchi 4...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Usipokuwa na uwezo wa kufanya reasoning na kushndwa kuelewa historia, unaweza usielewe kuwa watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ujasiri na uthubutu walio nao ni kazi ya Nature ( Mungu) ili kupitia shida na mateso yao au hata vifo vyao, mlio wengi mkombolewe. Hata wale waliouwawa Oktoba 29...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Tuweke kumbukumbu ya kila kitu watanganyika, na si watanzania

    Weka kumbukumbu nzuri isiyo ya uonevu. Kipindi hiki toka Jiwe mpaka hapooooooo, weka kimbukumbu. Hata vizazi vyao walioshiriki kikamilifu kuiuza Tanganyika na wanufaika, will pay the price!
  11. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mimi naamini maneno ya Kitila matumizi ya fedha za dhahabu, kuliko ya hao wengine, Je, wewe?

    Kuhusu jambo linalotaka kufanyika la serikali kuuza hazina ya dhahabu na pesa kutumika kwenye miradi, scenario ya Bwana Mkumbo inaingia akilini kuliko ya Bwana Gavana. Huwezi kuja na maelezo kwamba ulijiwekea lengo na kinachozidi unaamua kukiuza kwa nini???? Kwa hiyo Bwana Gavana unatuambia...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Hivi familia kama hii inachuma na kuchuna mabilioni mangapi ya watanganyika kama posho, mishahara, retirement benefits etcetc

    1. Baba Rais mstaafu na trip za Western Countries kibao a month 2. Mama mbunge na mafao ya wenza 3. Mtoto waziri 4. Wajukuu ma CEO All combined wizi na biashara haramu za wizi wanazofanya zisizolipa kodi
  13. canular

    JamiiForums Tanzania Siri zenu tunazo kupitia Elimu kubwa CCM mambo yenu ya Gizani mnayo yafanya kuwadhulu watanganyika tunayo na yote yatawageukia ninyi

    Kujua siri za mtu yeyote. Kujua siri za herufi. Kujua siri za maneno. Kujua shughuli za siri. Kwa mashauri ya kijeshi ya kamanda. Kujua siri za... Kujua utajiri mtu alionao. Kujua siri ya sanaa zote. 12\1 MEGILLA, E....... G......, I......, L......, L......, A.....M 12\2 SIMBASI, I...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Hii ni njia mpya ya kuwatoa Watanganyika kwenye reli?

    Kuna mikakati mingi sana inapangwa ili. 1. kuwasahaulisha Watanganyika na mauaji ya October 29 2. Kufubaza harakati za Gen Z 3. Kuzoezwa uongo ili kuutambua uongozi batili 4. Kuacha kujadili kupanga na kuchambua mambo muhimu ya Tanganyika Kabla ya October 29 walikuwa wameshawapumbaza vizuri...
  15. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kama Samia ataitwa ICC si mtandao ndo utakuwa umeshinda na akibaki si ndo Watanganyika tutukuwa tumekwisha?

    Japo suala la Samia kufikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) bado halijafikia mwisho wake wala kujadiliwa. Je, Watanganyika tumejandaaje kama hii kitu itafanyika? Je, Samia ataponyoka au kuzama? Kuna uwezekano anajiandaa kwa lolote kiasi cha kupanga mijitu kama...
  16. M

    JamiiForums Tanzania !IMPORTANT, No sportwashing, Mkataba kati ya Manchester United kusafisha Damu ya Watanganyika mikononi mwa CCM

    Uzi wangu uliopita umefuta, ila lazima haki ipiganiwe Mnakumbuka hii picha kwenye hii ziara Matokeo yake ni kuwa Manchester United ilipewa tender ya karibu dola million 19 sawa na TZS billioni 50 kupromote vivutio vya Utalii Tanzania Hii ni summary ya huu mkataba Company: MANCHESTER UNITED...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Watanganyika Samia anatumia nguvu nyingi kutuharibia nchi yetu, Kwanini sio Dkt. Shein?

    Kwa nini asiwachague Wazanzibar wastaafu wamshauri? Watanganyika tukatae hili, kama anaweza kutawala akawatawale Wazanzibar wenzake
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kodi za Watanganyika zinajenga shule Zanzibar ambazo hapa Tanganyika hazipo

    Hii sio haki kabisa. Tunawajengea Wazanzibari mbona hapa Tanganyika hakuna shule kama hii?👇
  19. C

    JamiiForums Tanzania Baada ya kujiridhisha kwamba kumbe inawezekana nchi ikatawalika kwa mkono wa chuma basi sasa watanganyika jiandaeni kwa mazito zaidi

    Na ninapo sema jiandaeni namaanisha mjiandae kwa mengi yaani, mateso,dhihaka kejeli na mengine mengi na hamta kuwa na la kufanya kwa sababu hayupo aliye upande wenu kwa sasa na hayupo wakuwasaidia kwa sasa.
  20. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Enyi watanganyika, Samia hukaa Zanzibar kuchangamsha uchumi wa huko.

    GT Samia anachofanya wakati ninyi mkiamini amejificha lakini yeye anapeleka serikali huko na kuongeza mzunguko wa fedha. Ikulu inapohamia mahali pilikapilika zinakuwa nyingi. Hotels na migahawa hufurika.magari yanakuwa na movement za hapa na pale. In short huyo bi kidude anaipenda Zanzibar...
Back
Top Bottom