watanganyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. digba sowey

    Samia: Yaliyotokea Oktoba 29 yalitokea pia Zanzibar mwaka 2001. Hakuna jipya! Je, tuamini ni kisasi cha wazanzibar dhidi ya watanganyika?

    Huyu Samia sijui kama yuko sawa kwenye bichwa lake,analinganisha mauaji ya October 29,2025 na mauaji ya Zanzibar yale ya mwaka 2001,huku akidai ni jambo la kawaida, Sawa mauaji ni mauaji lakini huwezi halalisha mauaji kwa mauaji mengine na kutaka tuone kuwa kuuana ni jambo la kawaida. Napata...
  2. R

    Kutokana na hotuba ya leo, ni kukaza ICC intervention. Amedhamiria kuwasafisha watanganyika

    This is my observation. No more No Less
  3. Lord Denning

    Imeisha hiyo: Kakiri mwenyewe mbele ya vyombo vya habari kuwa ameua Watanganyika kwa kudhamiria

    Wale wa ICC Kazi imeshaisha. Mungu si Athumani. Amekiri mwenyewe, tena mbele ya vyombo vya habari na camera kuwa aliua Watanganyika kwa kudhamiria. Anajisifia kabisa kuwaua Watanganyika wenzetu. Leo amejibu swali mubashara kabisa kuwa yeye ndo alitoa amri za watu kuuawa. Tukamalize kazi ICC...
  4. Nitaenda Misaa yaTatu

    Askari uhamiaji mwenye asili ya Rwanda kukagua uraia wa Watanganyika ni maajabu.

    Pale Kamsisi kama sijakosea ukiwa unatokea Tabora au Mpanda karibu na mzani Kuna Beria pale. Jana tulisimamishwa akaingia askari uhamiaji mwenye asili ya kihutu completely yaani huulizi mara2 Etii kaanza kunihoji kuhusu vitambulisho nilimuambia Sina kitambulisho hata kimoja nimesahau...
  5. M

    Je,Wajua ?Kuna Watanganyika wenzetu ambao risasi hazingii kwenye miili yao na Kuna wengine kwenye Tafrani hawaonekani

    Kwetu Kuna Mzee mmoja ambaye huwa anafuatwa na Jeshi wa( JWTZ) hasa wakiwa wanaenda kwenye nchi mbalimbali Kwa ajili ya kulinda amani ya nchi husika. Asilimia 100% ya wanaopita Kwa huyu Mzee huwa wanakuja kutoa ushuhuda na ahsante za kutosha Tukutane 09.12.2025
  6. Jidu La Mabambasi

    PostGE2025 Mpaka sasa, Jakaya Mrisho Kikwete hajalaani mauaji ya WaTanganyika!

    Ni jambo la fedheha kuwa si Rais Mstaafu Kikwete wala CCM hawajalaani mauaji ya vijana wa Tanganyika. Hili limekaaje wadau?
  7. KEKO JUU

    Damu za watanganyika Haziwezi kumwagwa bure hivi: Je, Samuya Atakwenda The Hague?

    Hakuna mtu aliyetarajia hivi. Mwaka 2021 tulipompokea Samuya tulidhani tumepata Mama , aliyeahidi kufungua nafasi ya kisiasa. Leo, miaka minne tu baadaye, vijana wetu wengi wamepotezwa hawaonekani tena.Video za mochwari za Dar es Salaam, Mwanza, Arusha na Mbeya ndo zinazidi kutia simanzi kubwa...
  8. Lord Denning

    PostGE2025 Kwa hiyo vyombo vya ulinzi na usalama vilikubali kutumika CCM ibaki madarakani licha kuhatarisha raia na uchumi wa nchi?

    Moja ya vitu vitakavyobadilishwa kwa wivu mkubwa sana baada ya Taifa hili kupata ukombozi wa kweli ni kuweka kiapo cha Utumishi wa Umma pamoja na vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa ni kuilinda Katiba, kuwalinda Wananchi na Kulinda misingi ya Haki, Uhuru na Umoja wa Kitaifa. Jambo la pili...
  9. Life2

    Tuzikatae nchi zote watakaojifanya wapo na Watanganyika baada vya Vikwazo

    Ndio kuna nchi kazi zao ni kutumia fursa wapo kama magonjwa nyemelezi wao hawajali maisha ya watu. Kwa sakata linaloendelea nyakati hizi baada ya ndugu zetu kumiminiwa Risasi na makatili tarehe 29/10/2025 ili kuwalinda watawala makatili wanywa damu kuna hatari vikwazo vikatembea vizuri tu...
  10. mwehu ndama

    Ni muda muafaka wa kujihami kwa silaha yoyote kila wakati

    Uzi huu hauna lengo la kuhamisha machafuko.. Ila ni wazi Serikali tiifu wameishiwa mpango kazi. Nimekuwa Arusha kwa karibu siku nane mpaka sasa, na hakuna siku imepita bila mtu kutekwa na wanaojiita wanausalama. Wito wangu kwa waTanganyika wenzangu " hatuna mtu wakutulinda zaidi yetu sisi...
  11. M

    Watanganyika tumejifunza nini?

    Nimewakusudia watanganyika wanaotumia mitandao ya kijamii. Wakati wapestina wanapigania haki zao na ardhi yao dhidi ya WaIsrael, Watanganyika walikua wakibeza na wakiona Palestina ni haki yao kufanyiwa vile. Leo watanganyika tumeonjwa tu, nasema tumeonjwa kilichotokea siku 1 , 2 au 3...
  12. L

    Former Pm - Majaliwa K. Majaliwa (Watanganyika tutakukumbuka)

    Kwa hii Press aliyofanya huyu aliyekupokea kijiti. Hakika wananchi watanganyika TUTAKUKUMBUKA. MUNGU akupe Maisha marefu Mzee wangu. Chao.
  13. Lord Denning

    Mwigulu ukome kabisa kutufanya Watanganyika Wapumbavu

    Kwa taarifa yako hakuna Propaganda mtakayotuuzia Watanganyika safari hii na kufanikiwa kuturubuni. KIla Mtanzania anajua Watanganyika waliouliwa waliuliwa kwa amri na maelekezo ya muuaji Samia na Wakuu wake wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Kila Mtanganyika ameona Samia ameingiza vikosi kutoka...
  14. Lord Denning

    Jambo pekee la kuwafanya CCM waogope kuwachezea Watanganyika linatimia kwa kasi sana mwaka huu

    Kwa muda mrefu sana, CCM waliwafanya Watanzania kama mazuzu na wapumbavu. Waliwateka, kuwaua, kuwaibia uchaguzi, kufisadi rasilimali za Taifa huku wakiwalisha propaganda za amani, udini, uzalendo, vita vya kiuchumi na nyingine nyingi. CCM hawakuweza tu kuwarubuni Watanganyika kwa uongo bali...
  15. secretarybird

    Tuwe na jadi ya kujitambulisha kama watanganyika popote tulipo kama wale jamaa zetu wanavyojiita Wazanzibari

    secretarybird huwa najifeel mzalendo nikikumbuka kuwa Mimi ni mtanganyika. Nikijitambulisha kama mtanzania ni kama kuna kitu napungukiwa, ndiyo maana sijawahi kuipenda Taifa stars. Jamaa zetu wa ng'ambo wanajiita wazenji halafu sisi tunakazania kuwa watanzania. Muungano huu ni wa kipuuzi sana...
  16. Alex khalifa

    Watanganyika maelfu wamekufa Simba na Yanga hawajatoa pole, eeh Mungu tukumbushe sisi niwapitaji tu hakuna mfalme wa milele isipo kua wewe baba

    Baba Kibu Denis kafariki wakatoa pole, kuchangusha watoto wao wakiwa wagonjwa wanaanda mechi za hisani ila watanganyika walio kufa kimya kimetawala, eti tujaze viwanja shut up wanao jaza viwanja wamo makaburini wamerundikwa ka mizoga, Kuna watu wanaamini dunia ni yao time will tell. Here we go...
  17. Samia atosha tukutane2030

    PostGE2025 Watanganyika msipojikomboa sasa, basi tena

    Hapa sizungumzii mambo ya chama, nazungumzia icon muhimu ya Tanganyika ambayo Nyerere aliitupa baharini. Kuna baraka watu wanashindwa kuzipata kwakuwa Mungu akituma anakuta hakuna adrees ya kueleweka hivyo zinakuwa suspended. Kusubiri CNN au BBC wakukomboe ni mstumizi mabaya ya akili. 2015...
  18. mwehu ndama

    Mapendekeko: Namna sahihi ya kuwasherekhea mashujaa wote waliopeteza maisha Mo29

    Wakati tukiwa njiani kuindea D9 , nivyema tukawakumbuka mashujaa wote walioanguka kwa ajili ya Tanganyika kuanzia Siku ya 29.10.2025 nakuendelea. Binafsi nitapenda machache yafuatayo yafanyike kuwaenzi wenzetu na sisi wengine tulioko njiani kuwafuata huko waliko kuanzia Siku ya D9 nakuendelea...
  19. R

    Watanganyika i.e vyombo vya usalàma vyote, vyote, mnaomlinda Mzanzibari anauza Tanganyika , jitafakari upya. Kwa nia njema tu kuweka mizania sawa.

    Tujitafakari sana wote, wote Watanganyika kwa nia njema tu na si kwa uhasama au mawazo hasi bali kuwekà mizania sawa
  20. Lord Denning

    Ukweli Mchungu: Samia haumizwi na vifo vya Watanganyika, hajali chochote kuhusu Watanganyika. Uteuzi wa Baraza la Mawaziri ni kielelezo tosha

    Kila siku tunasema humu. Kwa tulipofikia ni sisi Watanganyika kuamua kujikomboa tu. Na hiki ndicho kilichobaki na suluhisho pekee mbele yetu. Kama kuna mtu aliyekuwa anadhani kuwa Samia anaumizwa na vifo vya Watanganyika basi ajue anakosea sana. Kama kuna mtu alikuwa anadhani kuwa Samia...
Back
Top Bottom