PERAMIHO YETU
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 6,289
- 17,313
Nimefuatilia ripoti yake naona hajatuambia nan aliyetoa amri ya kuua WATANGANYIKA ila ametoa visababishi vya uchaguzi TU
Eti anasema wale waliokatwa wakat wa mchakato wa NDANI wa uchaguzi ndio waliochochea vurugu kuna mtu anatafutwa hapa hasa makamba junior
Kauli mbiu ya OCTOBA TUNATIKI ilochochea maandamano is it really? hata mtoto wa darasa la 2 haweZ amin
Nadhani mzee asuman kuna kitu anakitengeneza ndan ya Tanganyika.
Tuwe makn WATANGANYIKA taifa letu linapotea mdogo mdogo na hawa wazanzbar wanalitawala
Asante jaji warioba hukutaka ujinga wao kuusikiliza
Eti anasema wale waliokatwa wakat wa mchakato wa NDANI wa uchaguzi ndio waliochochea vurugu kuna mtu anatafutwa hapa hasa makamba junior
Kauli mbiu ya OCTOBA TUNATIKI ilochochea maandamano is it really? hata mtoto wa darasa la 2 haweZ amin
Nadhani mzee asuman kuna kitu anakitengeneza ndan ya Tanganyika.
Tuwe makn WATANGANYIKA taifa letu linapotea mdogo mdogo na hawa wazanzbar wanalitawala
Asante jaji warioba hukutaka ujinga wao kuusikiliza